Hebu kwanza niwaingilie, wale si ni waislamu? Kuna imani ngapi ndani ya uislamu?Hiyo ni Imani yako,inaguide maisha yako.
Imani ya Zari na Diamond ni kitu kingine.
Kila mtu anaendeshwa na misingi yake tofauti sio ya mtu mwingine.
Opps nimekua hater tena!ayt nisiseme mengi..kweli watanunua waliozoea kupigwa bei.Tunaozifahamu zinapouzwa tutaenda.Zitanunuliwa tu
Pole hater
Kuzaa watu wanazaa kila siku. Drama walizotaka kuleta kisa amezaa ndio zinaleta vichekesho.Kwanza huwezi Kuishi Asilimia mia unategemea biashara ya Duka hasa za nguo yaendeshe maisha yako hasa kwa haya maisha ya kistaa wanayoish. Boutique hizi za kuzugia mjini.
Wala sio tatizo Hamisa Kuzaa na dai. Hamisa alitaka Kushindana na Zari. Na kujiona yeye Atakuwa nyumba Kubwa Kibao kimemgeukia.
Kuna ndoa aina tatu,Hebu kwanza niwaingilie, wale si ni waislamu? Kuna imani ngapi ndani ya uislamu?
Au ndio hiyo "misingi ya malezi"!!!!
Akikujibu niiite!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji14] poleeeee sana!kannue panadol basi walau upunguze maumivuKaweka boutique uchwara ili kupunguza maneno ya u gold digger wake kupitia watoto. Kwa uchumi huu wa anko magu hakunaga biashara ya mbwembwe hivyo eti inalisha familia yake hapo kasahau kutaja child suppprt na kodi ya nyumba anayopewa na majizo
Hivi wadada wa jf huwa hamfanyi biashara mkazitangaza humu?!Hongera Madam drama...ila ndo ajitahidi kuweka bei za kawaida maana wakiweka yale mabei vichaa atajikuta anavaa hizo nguo na mama ake.
Lini uliwahi kunishuhudia nikimchukia zari!! Thibitisha.Hivi zari aliwafanya nini mbona mnamchukia sana? Support atapewa na side chicks wenzie. Yeah anaiga akili za watu modo my foot!
Mie nna biashara my dia..uzur biashara nilianza kufanya tokea nikiwa mdogo kwa kweli nna base kubwa ya wateja kiasi kwamba wanazifuata wenyewe!haina haja ya kupiga mboyoyo...[emoji5]Hivi wadada wa jf huwa hamfanyi biashara mkazitangaza humu?!
Mara nyingi naona mnasifia biashara za wengine
Hajanijibu, kaishia kuingiza uswahili tu na kuniuliza swali ambalo hata sijui vina mahusiano gani!!!Akikujibu niiite!
Diamond alisema imani yake inaruhusu wanne upooo?!
Mbona hata hivyo matangazo ya biashara humu yamo kibao, au anataka tutangazeje!!Mie nna biashara my dia..uzur biashara nilianza kufanya tokea nikiwa mdogo kwa kweli nna base kubwa ya wateja kiasi kwamba wanazifuata wenyewe!haina haja ya kupiga mboyoyo...[emoji5]
Yani bora nikanunue imported yenye quality na bei rafiki au nkashoneshe kwa fundi Juma kuliko kununua nguo kwa bei ya kutupwa usawa wenyewe huu...mtumbani napata designer brand nzuri tu second hand kama mupyaaOpps nimekua hater tena!ayt nisiseme mengi..kweli watanunua waliozoea kupigwa bei.Tunaozifahamu zinapouzwa tutaenda.
Asante
Kwakweli na wajue kizur chajiuza kibaya chajitembezaApambane na hali yake.
Umeonaa enhe kila siku watu wanapishana leba, Eti tunamuonea wivu tusiache kumuonea wivu klyn aliyezaa na mengi tumuonee yeye chaaaaaKuzaa watu wanazaa kila siku. Drama walizotaka kuleta kisa amezaa ndio zinaleta vichekesho.
Amejifunza sasa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sawasawa!Diamond alisema imani yake inaruhusu wanne upooo?!
Hivi kumbe hukumu bado!!