Hamisa Mobetto atarajia kufungua Duka la nguo na urembo

Pongezi kwa Hamisa, angalau umeuonyesha ulimwengu kua wewe bado ni shupavu umesemwa sana! Unasemwa sana na bado utaendelea kusemwa wewe waonyeshe kwamba yanaingilia kushoto na kutokea kulia! Hiyo ndio sifa ya mwanamke shupavu
Ameen dada
 
Nafikiri anaweza fika mbali kwa changamoto aliyokutana nayo.
Naomba atambue kuwa heshima yake ni kuheshimu utu wake.
Najisikia vibaya kwa namna mdogo wangu anavyofanya,kitendo cha kutokutoa nafasi ya Amisa kwa nia njema ya kujenga mahusiano ya ulezi ,hii haipendezi.
Hata kama hakuwatenga na nia ya kumbuka,alipaswa kama baba kuwa mpole na kumpa amani mwenza wake ktk kazi hii ya ulezi.
Atambue kuwa ni vibaya kumpa maumivu mama anayenyonyesha kwa kuwa maziwa ya mama ni zao la vichocheo vya mwili.
Kwa kina mama tutambue kuwa Mobeto alifuatwa na kushawishiwa,mwenye wa kulaumiwa ni yule aliyeahidi na kutotimiza.Hatuwezi jua aliambiwa nini wakati anashawishiwa.
Kama baba mwenye watoto wa kike ,napinga mwenendo huu wa kuwaharibu wasichana kwa hali yoyote ile.
Namkumbusha ndg yangu kuwa kwa Kila alichonacho ni Mali ya Mwenyezi,ajitafakari kwa tabia hii ya kufanya uchafu.
Mama Hamisa rudi kwa Mola wako,jiamini na simama kwa kumtegemea Mungu atakusaidia.
Jiepushe name marumbano,kaa kimya na Lea mtoto wako.
Muda utaongea
 
Maskini yaan unataman ungekua na nyundo ya block kwa watu wasiokuunga mkono utufutilie mbali kwenye thread yako. Basi tu mods wabaya hawaaa wakuhurumie ka nafasi ka upendeleo utufukuze kabisa
Numbisa acha tabia za kiswahili hizo lol
 

Hapo bold Zari na Diamond hawajawahi.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Asante kwa taarifa
 
Kwanza nakupongeza kwa pongezi kwa dada Hamisa.
Tusipokuwa makini maana ya teknolojia haitapatikana.
Si lazima usajili kwa maneno,hata kujaza kimya pia ni jibu bora zaidi.
Thank yuu ntawakalia kimya kama anavyofanya mwenyewe hamisa mambo chini kwa chini

Ntazingatia hili thank uuu be blessed
 
Kulilia child support Kwa kitoto kile ni uvivu na tabia ya kuangalia movie za mbele, Watu wanakiza wenyewe, alaa
 
Huu ndo ushauri murua ubarikiwe
 
Vyovyote vile sisi tunafungua duka letu!
Sorry,,hivi wewe ndo hamisa? Mi natamanigi niwe na team siwezi mbona,, yani nimsemee mtu kama kanituma!!! ? Sijui zari Sijui wema sijui hamisa ,,daaah, nawapenda kuwafuatilia ila kuanza kumsemea mtu au kugombana na MTU kwaajili ya flani,,,mweee bado,,labda wazazi wangu na ndugu wa damu basiiii
 
Wala usijali halafu hata simjui ujue!!halafu sina team nshaachanaga na huo ujinga wa team nampenda tu basi sipendi wanavyomkashifu yule ni mzazi kama Mimi
 
Mimi huwa nashangaa watanzania mnaomshobokea huyu dada hivi kweli bossy lady alikuwa anaishi kwenye apartment mpaka diamond kununua nyumba ya wcb kha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…