Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

Mwanamke mjeuri we kamata bwana ake mpe yote na mauno juu tuone sasa, waaaaapi bibi tukinao
 
hizi zote ni hasira za dai kumkana mtoto na pia kutokupiga picha na mwanawe siku y 40 hiyo jana 😱😱😱😱😱😱 huyu bint ana nux majizo alimpiga pamnyaga akamwacha dai naye kamakana
Diamond hakuwa Tanzania
 
Duh yaani KUNA WATU WANAMUONEA WIVU SANA ZARI KHEEE UZI UNAMHUSU HAMISA ILA WAO WAMEBAKI KUMNANGA ZARI.

WAKIENDA KWENYE PAGE YA ZARI NA KUONA PICHA PICHA ZA MAENDELEO YAKE BAASI WIVUUU UNAWAJAA WANAAMUA KUJA HUKU KUTOA NYONGO ZAO.

BLA BLA BLAAAA ZARI NI ZARI. ANAHONGWA KILA KITU ANZIA NYUMBA GARI,WATOTO ETC.
 
Mwanamke mjeuri we kamata bwana ake mpe yote na mauno juu tuone sasa, waaaaapi bibi tukinao
Na wivu wako kwa Zari ukute hata posa hujawahi kuletewa hahahaha


Pambana na hali yako mwenzio ni level nyingine
 
Na mbaya zaid mond anavyomtumia Sasa mara washikane matako mara Maziwa hlf uamke ukute picha kama zile na mwanamke mwengine inaumaje mungu ampe wepec kama alipata ujasiri wa kushikanashikana kwenye msiba wa mamake hata hili pia atalivumilia tu
Yaani hata siku moja usijione wewe babu kubwa kudharau wenzio au kurushana roho utaumbuka tu!mpende kwa nafas yako ila usitake kuwadharau wenzio
 
Bibi kasema ye anaangalia Pesa tu mwache kijana aangaike lkn jioni mahesabu kwa Bibi
 
Back
Top Bottom