Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Mambo.Heehhehee anataka kusema picha duka au
Pale maji yalizidi unga....ilibidi anywe tu ujiYeye na baba yake wameishia wapi? I mean dimpozi
hahahahahaaaa!Hi mambo yakupiga mapicha kitandani sijui ni tabus gani? Mimi nikiwa na michepuko nahakikisha simu zote zinafungiwa kabatini kwanza ndo tuendelee na shughuli hawa viumbe si wa mchezo mchezo unaweza jikuta upo Facebook unakoroma.
Tatizo umalaya mkuuDiamond na yeye vipi bwana, anaanzaje kumshtaki mtoto mkali kama huyo...Mwanaume Mashine bwana!