Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

Dunia inapoelekea ni balaa tupu
Yani mwanamke ndio anasambaza picha za utupu kwa shangwe zote(kwamba yuko so proud kwamba mtu fulani ameshawahi kumfcuk)

What's so good kuhusu Diamond jamani!


Kwani hiyo dyudyu ya diamond ina kitu gani special mbona wanaigombania hivyo kama rupia ya mjerumani

Practice makes it perfect...go n try him mnaweza mkaja na uvumbuzi wenu na kutuletea mrejesho humu...maana cdhani km kuna mwenye jibu sahihi la hilo swali.
 
Dunia inapoelekea ni balaa tupu
Yani mwanamke ndio anasambaza picha za utupu kwa shangwe zote(kwamba yuko so proud kwamba mtu fulani ameshawahi kumfcuk)

What's so good kuhusu Diamond jamani!

Na huyo ni mama pata picha watoto wake watakuwaje, siku hizi kina mama heshima hatuna kabisa, imagine unakuwa mkubwa unakutana na picha za utupu wa mama ako.
 
Na mbaya zaid mond anavyomtumia Sasa mara washikane matako mara Maziwa hlf uamke ukute picha kama zile na mwanamke mwengine inaumaje mungu ampe wepec kama alipata ujasiri wa kushikanashikana kwenye msiba wa mamake hata hili pia atalivumilia tu
Haya ndo malipo yake unadhani hata mamake huko peponi alipenda vile
 
Na huyo ni mama pata picha watoto wake watakuwaje, siku hizi kina mama heshima hatuna kabisa, imagine unakuwa mkubwa unakutana na picha za utupu wa mama ako.
Ufamous utawamaliza akyanan!
Pale hamisa kaona anawakomoa Diamond na Zari ila hajui madhara ya mbeleni
 
Practice makes it perfect...go n try him mnaweza mkaja na uvumbuzi wenu na kutuletea mrejesho humu...maana cdhani km kuna mwenye jibu sahihi la hilo swali.
Kaijaribu wewe uje utupe majibu
 
Wanawake ni pasua kichwa, mkimaliza shughuri yeye huamka usiku na kupiga picha amekusogelea. Alafu analala anazisevu kuwaonesha mashoga zake....wanawake buana!!!
 
Daah Dunia imefika Ukingoni
Zamani ilikuwa aibu sana kwa Mwanamke kujulikana ni Nyumba ndogo ya Mtu fulani lakin Siku hizi ukienda kuwagonga wanaweka ushahidi ili Siku ukiwatema wanakulipua
Waqt ule demu ukimtokea akikupa siku hiyo hiyo iliku tayari unampa certificate yake kuwa malaya sasa siku hizi na jinsi vyuma vilivyo kaza plus maadili yalivyo momonyoka ulijumusha na umaarufu pasipo mipaka matokeo yake ndio haya pointi zimebana kwelikweli nyuso ya haya hakuna
 
Asee noma sana...

Zari kapanick huko mitandaoni full povuu bora akae kimyaaa tu!
 
kesho diamond atakua [HASHTAG]#LeoTena[/HASHTAG] clouds fm na tv kuanzia saa 4 asubuhi nadhan atajbu maswal meng
 
Inasemekana Diamond Platinumz anampango wa kumpeleka Hamisa Mobeto Polisi kwa kuvujisha picha zao za kitandani. Shilawadu wamtafuta Dada yake diamond ili kuthibitisha, ila dada yake aonyesha kutoelewa chochote kwa kukwepa Maswali.
Hakuna kitu kama hicho, kwani hizo picha zina maudhui mabaya? Zinaleta hatari gani kwa 'mke' wa diamond?
 
Inasemekana Diamond Platinumz anampango wa kumpeleka Hamisa Mobeto Polisi kwa kuvujisha picha zao za kitandani. Shilawadu wamtafuta Dada yake diamond ili kuthibitisha, ila dada yake aonyesha kutoelewa chochote kwa kukwepa Maswali.
dah. dunia ndipo ilipofikia huku. kuzaa nje ya ndoa ndio dili siku hizi, kutupia picha za uchi mtandaoni ni sifa na watu wanapongeza.
 
Anafkli kwenda polisi ni suluhisho hapo suluhisho aache uhuni...
 
Practice makes it perfect...go n try him mnaweza mkaja na uvumbuzi wenu na kutuletea mrejesho humu...maana cdhani km kuna mwenye jibu sahihi la hilo swali.
Itabidi nfanye mpango ili nijionee kama yaliyomo yamo lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…