cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hakuna mwanamke mondi hajamdhalilisha kinachomsaidia Zari ni kimoja tu si kwa sababu amezaa nae hapana ni kwa sababu anajua akimdhalilisha atamfungulia mashatka na atamfilisi baasi huo ndo ukweli lakini kwenye mapenzi sio Wema, Sio Hamisa wala Zari waliomove on kirahisi hvyo!!kosa kubwa la hamisa ni hilo wanalolifanya wengine mpk Leo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala sisononeki!!nasikitika tu maana kwa kua wale maarufu ndo maana twayaona Yale!Hamisa ni mjinga, Diamond ni mjinga hata Zari pia ni mjinga. Asitokee yeyote kati ya hawa wajinga watatu akaifanya nafsi yako ipate sononeko.
Nimegee ubuyu kidogoWanawake wa JF bana kila mtu anajiona perfect ana akili kuliko Hamisa,wengine tunawajua majina yenu halisi,hadi nyumbani kwenu,kuna mmoja hapa na
ona yuko mstari wa mbele kuponda but nikisema lile tukio la aibu lililokukuta juzi unaweza kuihama JF,msiwe wepesi wa kuhukumu ilihali wewe ndo umeoza kweli kweli.
Uvumilivu kwa mume na una mwisho pia sio kirahisi hvyo hawara hata kwenu hawamjui [emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]kujipa moyo kwa ujinga huko anakojipa hamisa!!Naona hamisa ana apply ile mapenzi uvumilivu atabadilika maisha kupanda na kushuka misukosuko ya mahusiano kubali yote kama wanawake wa zamani ila jamani hadi kutukaniwa mtoto hapana hiyo ni nehiiiiiii uzuzu wa kiwango cha mwendokasi
Mauno gani bibi mtu hata kuolewa hujaolewaa shunie huo uchizi tuu!![emoji23] [emoji23] wanawake wote wa daimond mahawara tu halafu hakuna hata aliyetolewa barua hata kwa bahati mbaya na bado unakaa unakubali kudhalilishwa kisa dudu aaah!wapi!Dyudyu mama na mauno
Tabia yake kila Dee akitoka SA alikuwa anapenda kurusha ka vile kawa nae
Trip hii jibebe imemuumbua na wao kuwa ma side tu.. ila dee kachoka kuchafuliwa jina nae ka vile wako wote moto moto.. jana hiyo ya kukuuma duh lazima ilimchoma.
Pia washauri wake wao pesa tu wanazogawana kwa kumsaidia ndio wanampelekesha. Ametemwa live hasikii labda sasa atasikia
Pugi maana yake nini?
Tabia yake kila Dee akitoka SA alikuwa anapenda kurusha ka vile kawa nae
Trip hii jibebe imemuumbua na wao kuwa ma side tu.. ila dee kachoka kuchafuliwa jina nae ka vile wako wote moto moto.. jana hiyo ya kukuuma duh lazima ilimchoma.
Pia washauri wake wao pesa tu wanazogawana kwa kumsaidia ndio wanampelekesha. Ametemwa live hasikii labda sasa atasikia
Pugi maana yake nini?
Yaani mtoto kabisaa!!!side kid!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kumnangaa!!Nakwambia anawapata wa kuwaburuza hivo!!
Mi niache ila USITHUBUTU KUNIONGELEA SHOMBO,PRIVATE OR PUBLIC!!
since I won't do the same!!
ELSE!
enenehehhehehhehehehe
much worse unaingiza na mtoto
Mauno gani bibi mtu hata kuolewa hujaolewaa shunie huo uchizi tuu!![emoji23] [emoji23] wanawake wote wa daimond mahawara tu halafu hakuna hata aliyetolewa barua hata kwa bahati mbaya na bado unakaa unakubali kudhalilishwa kisa dudu aaah!wapi!
Mi bwana jeuri nakuacha na pesa zakooo!!!hapoo na dudu yako kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maneno ni kwa wanao jipeleka kwake wakiwa na ny**e
Watu wanakuza tu.. lazima pia anaumia Zee kukazana kukataa kurudiana nae tena.
Hakujua kuandika alichomaanisha lazima anajuta imechanganya watu.
Mauno gani bibi mtu hata kuolewa hujaolewaa shunie huo uchizi tuu!![emoji23] [emoji23] wanawake wote wa daimond mahawara tu halafu hakuna hata aliyetolewa barua hata kwa bahati mbaya na bado unakaa unakubali kudhalilishwa kisa dudu aaah!wapi!
Mi bwana jeuri nakuacha na pesa zakooo!!!hapoo na dudu yako kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali hebu tupa na jina lake kabisaa maana humu sisi ni maperfect watupuWanawake wa JF bana kila mtu anajiona perfect ana akili kuliko Hamisa,wengine tunawajua majina yenu halisi,hadi nyumbani kwenu,kuna mmoja hapa na
ona yuko mstari wa mbele kuponda but nikisema lile tukio la aibu lililokukuta juzi unaweza kuihama JF,msiwe wepesi wa kuhukumu ilihali wewe ndo umeoza kweli kweli.
Aiseeee Aiseeeee AiseeeeeMajizzo alimuacha alipogundua tabia yake ya ku... ndio maana kule hawezi jaribu. Inaahamgaza dee hakumjua kwasababu bado hajaacha.. ni mileleeee
Ohooo
Kama nami namemwona huyo mtu
Anamtukana sana misa na mwanae
Hahahah ana uchungu kuliko hata zari
Wanawake tupendane
Dimondo anatumia kitopendana wanawake kuwatumia na kuwadhalilisha period
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna aliyeitwa kima leo huyu diamond hapana jamani anawadhalilisha mababy mama zake woiiiiiii
Exactly daimond anatumia wanawake kwa kua hatupendani kudhalilisha yaani anacheza na team tu anajua kabisaa hapa nkifanya hiki timu hii itanipa sapoti!Leo kamuita mtu side chick baadae kima anajua hapa watarumbana wenyewe kwa wenyewe!ila tungeshikana asingethubutu kumdhalilisha hata mmojaOhooo
Kama nami namemwona huyo mtu
Anamtukana sana misa na mwanae
Hahahah ana uchungu kuliko hata zari
Wanawake tupendane
Dimondo anatumia kitopendana wanawake kuwatumia na kuwadhalilisha period
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamisa ni mjinga, Diamond ni mjinga hata Zari pia ni mjinga. Asitokee yeyote kati ya hawa wajinga watatu akaifanya nafsi yako ipate sononeko.