cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hakuna mwanamke mondi hajamdhalilisha kinachomsaidia Zari ni kimoja tu si kwa sababu amezaa nae hapana ni kwa sababu anajua akimdhalilisha atamfungulia mashatka na atamfilisi baasi huo ndo ukweli lakini kwenye mapenzi sio Wema, Sio Hamisa wala Zari waliomove on kirahisi hvyo!!kosa kubwa la hamisa ni hilo wanalolifanya wengine mpk Leo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anampenda Zari interview ya USA iliyozunguka tangu jana imeonyesha. Majutooooooooo
Si uliona firaha akiwa SA?