warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 May 26, 2019 #1 Shoga kaenda Dubai hiyo caption sasa ukurasa mzima et kujifanya unaonewa wivu, mxieew , ushamba tu unakusumbua, Dubai yenyewe umefikia Deira huko mashenzin, kujifanya unaendesha Lamborghini Mxiee my foot , naona umeenda kuvizia madanga RAMADHANI iishe uanze kudanga sasa , mxiee halafu kesho unakuja insta kulia kodi Hamisa Mobetto yuko Dubai na Msanii mwenzie Christian Bella kwa ajili ya ku shoot music video walioimba pamoja, kila la kheri hamisa, kazi na Dawa
Shoga kaenda Dubai hiyo caption sasa ukurasa mzima et kujifanya unaonewa wivu, mxieew , ushamba tu unakusumbua, Dubai yenyewe umefikia Deira huko mashenzin, kujifanya unaendesha Lamborghini Mxiee my foot , naona umeenda kuvizia madanga RAMADHANI iishe uanze kudanga sasa , mxiee halafu kesho unakuja insta kulia kodi Hamisa Mobetto yuko Dubai na Msanii mwenzie Christian Bella kwa ajili ya ku shoot music video walioimba pamoja, kila la kheri hamisa, kazi na Dawa
TADPOLE JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,914 Reaction score 9,472 May 26, 2019 #2 Watu wameiangalia hii thread wakapotea ina lisaa limoja lakini no comment till now..ngoja nijicommentie tu Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Watu wameiangalia hii thread wakapotea ina lisaa limoja lakini no comment till now..ngoja nijicommentie tu Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,378 Reaction score 56,047 May 26, 2019 #3 Hahaaa...ila wewe dàah!,sikuwezi....unauma na kupulizaa!!! Hamisa nampenda lakini kwa hili analofanya mwezi mtukufu nasikitika Sana daaahhh!!ameshindwa kusubiri uishe ndo afanye ujinga wake Uzima unatupa kibri sana wanadamu!
Hahaaa...ila wewe dàah!,sikuwezi....unauma na kupulizaa!!! Hamisa nampenda lakini kwa hili analofanya mwezi mtukufu nasikitika Sana daaahhh!!ameshindwa kusubiri uishe ndo afanye ujinga wake Uzima unatupa kibri sana wanadamu!
Da Lu JF-Expert Member Joined Jul 18, 2016 Posts 1,209 Reaction score 2,840 May 26, 2019 #4 Hebu tupia na kapicha basi[emoji1]
B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,721 May 26, 2019 #5 Kuna msemo huku mtaani kuwa ni heri ya mchawi kuliko mbeya. Kuna ukweli hapo wakuu?
Sir Khan JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 5,730 Reaction score 11,576 May 27, 2019 #6 Mwenzako anakula bata mambele we endelea kupambana na dengue hapo uswahilini. Povu ruksa nguo zangu chafu.
Mwenzako anakula bata mambele we endelea kupambana na dengue hapo uswahilini. Povu ruksa nguo zangu chafu.
pumzihaiuzwi JF-Expert Member Joined Mar 27, 2015 Posts 3,273 Reaction score 3,083 May 27, 2019 #7 Yuko anamdangia mkongo wa wema yule baunsa kaka wa bella apocalypse
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,095 Reaction score 22,731 May 27, 2019 #8 Hapo hakuna funguo wa Lamborghini, kuna ufunguo wa Maserati na Rolls-Royce...... Muwe mnatafiti kwanza
Hapo hakuna funguo wa Lamborghini, kuna ufunguo wa Maserati na Rolls-Royce...... Muwe mnatafiti kwanza
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 May 27, 2019 #9 Mfungo wa mwaka huu unaumbua wasanii wengi,haiyaa shamsa nae kaenda kudanga dubai kwa kisingizio cha vacation
Mfungo wa mwaka huu unaumbua wasanii wengi,haiyaa shamsa nae kaenda kudanga dubai kwa kisingizio cha vacation
hopaje JF-Expert Member Joined Jan 11, 2013 Posts 1,726 Reaction score 1,218 May 27, 2019 #10 Nasikia mizigo mingi ikienda dubai inakuwa ishalipiwa...
Papi Chulo JF-Expert Member Joined Jun 8, 2018 Posts 6,260 Reaction score 7,395 May 27, 2019 #11 Hizo funguo za ndinga za bei mbaya Bongo nzima anayo mtu mmoja tu
Bulaya001 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2018 Posts 5,987 Reaction score 6,682 May 27, 2019 #12 mbona mnafuatilia maisha ya watu hivi?
bbc JF-Expert Member Joined Jan 18, 2016 Posts 3,836 Reaction score 4,146 May 27, 2019 #13 BEHOLD said: Kuna msemo huku mtaani kuwa ni heri ya mchawi kuliko mbeya. Kuna ukweli hapo wakuu? Click to expand... Nadhani wanasema "mbea" na siyo "mbeya"!
BEHOLD said: Kuna msemo huku mtaani kuwa ni heri ya mchawi kuliko mbeya. Kuna ukweli hapo wakuu? Click to expand... Nadhani wanasema "mbea" na siyo "mbeya"!
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,956 Reaction score 14,032 May 27, 2019 #14 Hii thread imedoda sana co kawaida kulikon
K kabombe JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 26,153 Reaction score 18,740 Jun 2, 2019 #15 Hamisa anapenda sana kuiga swaga za Zari Hiyo lamboghini huko dubai ni taxi,ukitaka unaletewa airport dereva anakususia funguo
Hamisa anapenda sana kuiga swaga za Zari Hiyo lamboghini huko dubai ni taxi,ukitaka unaletewa airport dereva anakususia funguo
ccm mtoto wao JF-Expert Member Joined Dec 19, 2018 Posts 562 Reaction score 482 Jun 3, 2019 #16 Ww acha uongo bwana mana kwenye screenshot yako juu naona jina la zarithebosslady, sasa hamisa anakujaje
Ww acha uongo bwana mana kwenye screenshot yako juu naona jina la zarithebosslady, sasa hamisa anakujaje
Lexus SUV JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 4,493 Reaction score 5,591 Jun 3, 2019 #17 KAENDA KUTOMBEKAS TUUUUU HUKOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO