Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I see! Kumbe huko nako kuna vituko!!!anachofanya Hamisa snapchat ana jidhalisha yeye na familia yke
Kula likeHivi kuolewa nako ni deni?!
Kumbe Diamond yupo sahihi kusema "no matter what, siwezi kuachana na Zari!" Manake best option katu haiwezi kuwa mwanamke anayepigania ndoa manake hiyo nayo ni dalili ya kutaka kuifanya ndoa ndio mtaji wake!!!
Mwanamke anayejitambua na kujiamini tena katika umri mdogo kama wa Hamisa, katu kuahidiwa ndoa hakuwezi kuwa hoja ya kujadili hadharani kwamba "aliniahidi ndoa."
Hapa sasa naanza kuuona ukweli wa aliyosema Diamond kwamba Hamisa alikuwa anamfanyia vitimbi Zari kwakuwa aliahidiwa ndoa!
Hivi mpaka leo hii hafahamu kwamba kati ya 100% ya wanaume ambao hawajaoa, zaidi ya 75% wameshawahi kuahidi ndoa?
😱😀😀😀😀😀mwanaume una mumeo anakwambia nikubalie nitakuoa 🙄🙄wanaume wakiwa wanafikiri kwa kutumia kichwa cha chini Akili zao wanazijua wenyewe 😀😀😱😀😀Naye mjanja wa mjini, anadanganywa ntakuoa, akaona ampe Papa yote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa, nazinywea chai kabisa!Kula like
BASI SAWA MADAME ..IYO NDO SHIDA ,,ALAFI NAHISI KUKAA MBAGARA NAKO NICJANGAMOTO KUBWA SANA KIAKILI.Unless awe ameunga unga na vi-certificate vinavyopatikana kila kona ya Kariakoo lakini formal education aliishia kidato cha nne, Tandika!
nilijua anatoa papa samaki kumbe kipochi manyoya😳😳😳😳😳Unafikiri Gigi money. Alimaanish papa ipi.
Jiongeze.