Hamisa Mobetto kuzimisha Nyota ya Wema Sepetu

Hamisa Mobetto kuzimisha Nyota ya Wema Sepetu

81e0cceb66e2a468be6b09265e46623f.jpg
 
Halafu anapenda chokochoko na sifa za mitandaoni. Hii picha angesubiria akashinda kesi aanze kuweka caption za hivi,mtu kila siku anamsema vibaya yeye yumo tuView attachment 627291
Mama dai nae kaweka ya kwakeView attachment 627293
Anachekesha sana huyu msichana [emoji23][emoji23][emoji23] sijui ndo kurukwa akili huko wanakosema. Maana sio kwa kujitutumua huku
 
Washauri wake walimwingiza choo cha kiume tena cha baa,huwez kuwa mchepuko wa mtu zaid ya miaka 5 hujawah panda daraja na bado unakubali kuwa unapendwa,Aligeuzwa chombo cha starehe na akakubal kutumika na mimba akabeba akijua labda angepanda daraja kumbe ndo amejipoteza mwenyew
well said,ngoja apambane na hali yake hamna namna.
 
Tununu alijua akizaa na diamond ndo atamkomoa zari, sasa hivi yamemtokea puani, anahaha kama mwehu, katakufa na presha *****, kupenda kuparamia vya watu kumemcost
Kupenda vya mteremko kama kitonga,Haoni wala hajisikii vibaya kuwa anazalishwa na kuachwa hapo,kama kwel super women alienda mahakamani kufanya nini,Anapenda kuzaa na watu wenye hela zao ili apat mafao,Haya kitumbua kimeingia mchanga
 
Back
Top Bottom