Kabisaaaaaaaaaaaaahamisa the giant slayer[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajambisha madale nzima
Team misa ni wehu....kuutwa kung'ang'ana eti Dylan wa mondi wakati hata kope hawajafanana mwenye mtoto huyo[emoji116] View attachment 627278
Ghafla bin vuu malaria ikapona baada ya zari kuonekana karibu na baby wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ajikondeshe VIP, unaambiwa maralia yalimpanda kichwani, atajibeba now, dunia imemgeuka
Anachekesha sana huyu msichana [emoji23][emoji23][emoji23] sijui ndo kurukwa akili huko wanakosema. Maana sio kwa kujitutumua hukuHalafu anapenda chokochoko na sifa za mitandaoni. Hii picha angesubiria akashinda kesi aanze kuweka caption za hivi,mtu kila siku anamsema vibaya yeye yumo tuView attachment 627291
Mama dai nae kaweka ya kwakeView attachment 627293
Anachekesha sana huyu msichana [emoji23][emoji23][emoji23] sijui ndo kurukwa akili huko wanakosema. Maana sio kwa kujitutumua huku
Halafu cha kuchekesha majority wanao msupport ni team wema. Nadhani na yeye watamchoka kama walivyomchoka boss wao wa mwanzoSana hata waliokuwa wanamtetea wameshaanza kumchoka
loooh jf sitoki[emoji23] [emoji23] [emoji23]Amekonda, anunue tu vigodoro vya kutosha kuvalia mishazali yake
loooh jf sitoki[emoji23] [emoji23] [emoji23]Amekonda, anunue tu vigodoro vya kutosha kuvalia mishazali yake
well said,ngoja apambane na hali yake hamna namna.Washauri wake walimwingiza choo cha kiume tena cha baa,huwez kuwa mchepuko wa mtu zaid ya miaka 5 hujawah panda daraja na bado unakubali kuwa unapendwa,Aligeuzwa chombo cha starehe na akakubal kutumika na mimba akabeba akijua labda angepanda daraja kumbe ndo amejipoteza mwenyew
Halafu cha kuchekesha majority wanao msupport ni team wema. Nadhani na yeye watamchoka kama walivyomchoka boss wao wa mwanzo
Mpaka huruma jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na vile hawana cha kupost kuhusu boss wao baasi wote wamehamishia kiki kwa hamisa ili kuendelea kupata followers na pesa za matangazo.
Kupenda vya mteremko kama kitonga,Haoni wala hajisikii vibaya kuwa anazalishwa na kuachwa hapo,kama kwel super women alienda mahakamani kufanya nini,Anapenda kuzaa na watu wenye hela zao ili apat mafao,Haya kitumbua kimeingia mchangaTununu alijua akizaa na diamond ndo atamkomoa zari, sasa hivi yamemtokea puani, anahaha kama mwehu, katakufa na presha *****, kupenda kuparamia vya watu kumemcost
Anang'ang'ania kupendwa jamnAnachekesha sana huyu msichana [emoji23][emoji23][emoji23] sijui ndo kurukwa akili huko wanakosema. Maana sio kwa kujitutumua huku
Mjini raha binamu, umbea siachiii, khaa mama dai yumoHalafu anapenda chokochoko na sifa za mitandaoni. Hii picha angesubiria akashinda kesi aanze kuweka caption za hivi,mtu kila siku anamsema vibaya yeye yumo tuView attachment 627291
Mama dai nae kaweka ya kwakeView attachment 627293
Kakutana na mswahil anamkomeshaje mpka rahaMjini raha binamu, umbea siachiii, khaa mama dai yumo
Ngoja yawakuteHawajielewi wale. Wamesahau wanavyomsakama nillan
Ukipewa jibu fanya kun tag.Who's Tununu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sudy wa jf karudi