Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
kaparamia ****Tununu alijua akizaa na diamond ndo atamkomoa zari, sasa hivi yamemtokea puani, anahaha kama mwehu, katakufa na presha *****, kupenda kuparamia vya watu kumemcost
Zari ndo kiboko ya diamond, hata wema alikua anapwaya japo diamond alimpenda sana....Maskin pole yake ndo kwanzaa mganda anaongeza karangaView attachment 627290
Ila hata zari angeondoka hamisa asingemuweza dai.maana akili ya hamisa imeshikwa na mama yake.
Kujikondesha nani kasema!!!!Kweli kakonda. Sijui kujikondesha au mawazo mengi. Kidevu kimekua kirefu kama kona ya godoro
Hapo tu ndipo aliwatibua waswahili wa tandale, kaishia kuchambwa na mama mkweAliniboa alivyoanza kuvujicha picha hadharan na kujifanya malkia, mwache yamkutr
Mtoto akifikisha umri wa kwenda shule mama mtu atakua mirembeAmekonda, anunue tu vigodoro vya kutosha kuvalia mishazali yake
😀😀😀😀😀Mtoto akifikisha umri wa kwenda shule mama mtu atakua mirembe
Mtoto wa tatu sijui atazaa na nani😀😀😀😀😀
Ha ha ha baba mtu anakula tu good times mara south mara London, hizi mimba za kujibebesha hizi mweh!!! Mimbamtaji
Anaangalia angalia mahali ambapo atapata na chenji za kushona mishazali, akazae na AslayMtoto wa tatu sijui atazaa na nani
Mara paaap anadai aslay alikua mtu wake toka anaimba naenda kusema kwa mamaAnaangalia angalia mahali ambapo atapata na chenji za kushona mishazali, akazae na Aslay
ha ha ha mchepuko bora wa karneMara paaap anadai aslay alikua mtu wake toka anaimba naenda kusema kwa mama
Akili zake anazijua mwenyewe
Na mtt nimemuona ana saaa ya maaan nahis ile ni gold nyeusi[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] !!! Chibokooooo,Tununu anatumia nguvu kubwa kuusaka umaarufu. Wiki nzima kasingizia anaumwa kichaa. Baada ya zari na dai kwenda london naona kichaa kimepona full kurusha picha na video zake na mtoto
Bila kukusahau kwenye IsidingoooNice,mie kiti changu kipo kila kona kwenye comments
Anastahili tuzo kwa kweli miaka kumi ya kuwa mchepuko sio mtu wa kawaida huyoha ha ha mchepuko bora wa karne
Hana tofauti na Madame umaarufu kwao ni muhimu kuliko kipatoNatatizika kidogo ,kuna uhusiano wowote kati ya umaarufu wake na ongezeko la kipato chake ??
Na mtt nimemuona ana saaa ya maaan nahis ile ni gold nyeusi[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] !!! Chibokooooo,
Kuumbe!Hana tofauti na Madame umaarufu kwao ni muhimu kuliko kipato
Wasipo mtibu kile kichaa atazaa na best nassoMtoto wa tatu sijui atazaa na nani