reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]alitaja Arusha na hamisa mobeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]alitaja Arusha na hamisa mobeto
Walikua wanasema anafichwa kama Arvs Leo anaonesha hadharani wanamkashifu...wabongo tuna wivu mnoo na huyu binti walitaraji baada ya kuachwa na wasafi baasi angerudi mbagala kuuza kukaa juu ya mawe dogo anazidi kushine sanaa tu...nafsi zinawachonyotaYaan whozu alikuwa anapita kwenye radio na kumkashfu utalinganisha na maisha ya mtu binafsi kimapenzi?
Sasa hapo misa yupo uchi mpk useme hamna heshima?
Na mimba kabisa😂, yaani itakua kila mtoto na baba yake 🙄 anavuna child supports tuAlipata akili ya kutanua wigo wa biashara yake😅 sema kwa mshindo wa Rick Rozey lazma aachwe vizuri tena ahakikishe kambebea na mimba kabisa ili avune zile child support za million 50 kila mwezi!
Walikua wanasema anafichwa kama Arvs Leo anaonesha hadharani wanamkashifu...wabongo tuna wivu mnoo na huyu binti walitaraji baada ya kuachwa na wasafi baasi angerudi mbagala kuuza kukaa juu ya mawe dogo anazidi kushine sanaa tu...nafsi zinawachonyota
Ndio kuna watu nliwaambia kule juu wanawake tunatofautiana....Kwa kweli hata mimi Diamond hanivutii. Sijui wanawake wenzangu wameonaga nini kwake ila mimi hapana
Mwaisa wa Marekani katisha sanaRick Ross amemuweka Hamisa open hata kufunguliwa milango ya limo, kufichwa fichwa kama kunguni zilipendwa.
Sijaona mkwe. Kapost insta kwake?Wanaumia kwa kua wanajua hawampati tena..?
Mkwe umeona posti ya Vunja bei?!![emoji2][emoji2][emoji2]
Loohh!
Hata huku mkuu miaka si mingi mambo ya kijinga yatafanyika ndo itakua sio ishuMademu wa kimarekani wanazinguwa sana, kwahiyo akikutana na demu wa Kibongo anajiona yuko dunia nyingine.
Nchi zilizowapa haki za kupitiliza wanawake ni tatizo.
Na kwa wivu huu watu walonao wakizeeka wanakua wachawai[emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania tumejawa na wivu jamani. Wivu utatuua
Mnoo yuko vzr siku moja Niko na watu Fulani hivi machawa wa mastaa,wenyewe wadada wa mjini wanakuambia Misaa kwa sasa yuko juu hashikiki kwa level zetu,kwanza ile kutengeneza shepu tu wanatamani balaa...yaani washanyayua mikono juu!Mpaka sasa kinachonishangaza ni Wanaume kuwa na makasiriko zaidi kuliko hata wanawake.Hamisa kwa sasa ni level nyingine,hata akiachwa na Ross bado keshampatia platform kubwa sana.Haijalishi ni ya kudanga au fursa zingine (kama hiyo ya kinywaji cha Bellaire maana Hamisa anaonekana kwa hiyo page akitangaza hicho kinywaji) lakini huyu binti kwa sasa kina Wema Sepetu wakae pembeni waone mwenzao anavyotumia fursa vizuri.
Mkuu ukitaka kua serious na maisha mda wote utajikuta na mi presha bure sometime unaangalia na vituko ili uchekeMwanaume unapata wapi nguvu za kufatilia mambo kama haya
Eeh mkwe hyo hapo ...!!!!
Eeh mkwe hyo hapo ...!!!!View attachment 2024831
kwa lugha ya kiwarsha,semina na makongamano ya "kimotivesheni spika", tunasema hamisa mobeto ni mjasiria-uchi.Mimi nampa heko huyu binti. Siyo kila siku kulia na akina Harmonize au Diamond. Anaenda kutafuta huko na analeta kuwekeza hapa nchini. Tumuunge mkono na kumpa mbinu ili asiwe kama Wema
Mnoo yuko vzr siku moja Niko na watu Fulani hivi machawa wa mastaa,wenyewe wadada wa mjini wanakuambia Misaa kwa sasa yuko juu hashikiki kwa level zetu,kwanza ile kutengeneza shepu tu wanatamani balaa...yaani washanyayua mikono juu!
Sasa kwa hili la Rick Rozi huko waliko wanatafutana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]!!!halafu sasa hivi katulia yaani hana time na mtu!ana circle ndogo ya watu wachache sana!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani anatamani awe na mbususu Mwaume unapata wapi ujasiri kwa kudhani kwamba D hawezi kukataliwa na mke yoyote yule ina maana ana tamani angekuwa na mbususu asingekataa
Wana washwa washwa (in Magufuli's Voice)Wanasema wanaume ndo wameumia Hamisa kwenda Dubai na tajiri kuliko sisi wanawake. Sasa unajiuliza hiyo hasira wako nayo ni ipi? Wanatamani wangekua na wao wanawake waliwe na mtu kama Rosey au ndo joto hasira wanaona hawamuwezi tena. Nawaza bado
Daaaah! Kweli kaumia,Eeh mkwe hyo hapo ...!!!!View attachment 2024831