Bas wote wanaloga diamond, na mama yake kwahyo sio mbaya wakiendelea kuloganaSimlaumu kwenda kwa Mganga maana watoto wa mjini ndiyo zao.
Namlaumu kumpigia mganga simu ambaye huyo mganga anajuana na mama diamon na ashawahi kumtibia mama diamond....ilo ndo kosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha missa na malika kugombana ni baada ya malika kumsikilizisha Wema voice note ambazo hamissa alikua anamsema wema dukani kwa malika.Hilo lajulikana ila sio kua nampenda sana Missa hapana!!ila Wema tukubali anamchukia Misa waziwazi yaani ugomvi wa Hamisa lazima ashadadie halafu mange ndo hua anamuingiza Missa but Missa hajawahi mtukana wema labda kwa siri ila hadharani sijaskia yaani Wema anaumwa jamani na Missa kuliko ilivyo!!!
Hua wanapewa maswali ndio sikatai ila nafikiri yule alifanyiwa manuva yenyewe yotee!
[emoji23] [emoji23] Wema nampenda a anazingua sana mjini!
Mtetee tu mama!ila Ukweli Wema bwana ndo nimeona rangi zake Leo!Chanzo cha missa na malika kugombana ni baada ya malika kumsikilizisha Wema voice note ambazo hamissa alikua anamsema wema dukani kwa malika.
Kihamissa kinafki ka chini chini .
Nampenda sana Wema so hapa lazima nimtetee lol![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eehh!mwendo wa kurogana tu mpk kielewekeBas wote wanaloga diamond, na mama yake kwahyo sio mbaya wakiendelea kulogana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na diamond pia yanamuuna hana lolote alikosewa na kina Snura hawachukii hvyo suese Missa kiukweli Wema nae ni mnaafikiMwanafunzi wako kuna siku alikua anamsema wema huku mbele za watu anajidai dada angu. Wema akaja kuyapata ndio kumchukia from then
Hakuna bongo movie asiye mnaafiki Wema wanawake wote waliolala na diamond kagombana nao shoo...kama hujui hakuna aliyeachwaUkiona wema anamfanyia misa visa ujue lazima wanaconflict chini chini. Ila misa si unajua ye anajifanyaga innocent,, kumbe nyuma ni nyoka mweusi
Wote ni wanafki sema wanazidiana viwango.Na diamond pia yanamuuna hana lolote alikosewa na kina Snura hawachukii hvyo suese Missa kiukweli Wema nae ni mnaafiki
Watu wa hivyo waogope mbele za watu malaika akiwa gizani shetani [emoji23][emoji23]Mwanafunzi wako kuna siku alikua anamsema wema huku mbele za watu anajidai dada angu. Wema akaja kuyapata ndio kumchukia from then
Hilo lajulikana ila sio kua nampenda sana Missa hapana!!ila Wema tukubali anamchukia Misa waziwazi yaani ugomvi wa Hamisa lazima ashadadie halafu mange ndo hua anamuingiza Missa but Missa hajawahi mtukana wema labda kwa siri ila hadharani sijaskia yaani Wema anaumwa jamani na Missa kuliko ilivyo!!!
Hua wanapewa maswali ndio sikatai ila nafikiri yule alifanyiwa manuva yenyewe yotee!
[emoji23] [emoji23] Wema nampenda a anazingua sana mjini!
Kabisaaa. Yani nje she is innocent reality sasa.Watu wa hivyo waogope mbele za watu malaika akiwa gizani shetani [emoji23][emoji23]
Bora Wema hanaga unafki anakuchukia live
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wa hivyo waogope....wewe fikiria kile kipindi anaenda anamtunza Zari kumbe pembeni anatembea na mond hata hofu hanaUkiona wema anamfanyia misa visa ujue lazima wanaconflict chini chini. Ila misa si unajua ye anajifanyaga innocent,, kumbe nyuma ni nyoka mweusi
Nikiangaliaga ile video. Mimi kama mwanandoa,,huwa najisi uchungu sana,, nahisi kumchukia huyu dada alimuumiza sana mwenzie,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wa hivyo waogope....wewe fikiria kile kipindi anaenda anamtunza Zari kumbe pembeni anatembea na mond hata hofu hana
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kabsaa shoga angu mmoja ndo zake anapiga Simu anaeleza matatizo ela anatuma kwa M-PESAmmh hamna uganga wa ivo zaidi ya kutapeliwa,anawezaje ongea mambo mazito ivo kwenye simu labda kama ni mganga wake wa siku zote
Issue ya missa kumsema kwa malika ilimuuma mnoo...na missa ana bahati mbaya ya kurekodiwa ila hakomi.
Ila ka hamissa kanafki ka chini chini sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiangaliaga ile video. Mimi kama mwanandoa,,huwa najisi uchungu sana,, nahisi kumchukia huyu dada alimuumiza sana mwenzie,,
Jana mume wangu hajuagi hzi habari ila kwa furaha ,,nilimsimulia ,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mange ni noma.kawazimia kiki wamebaki icuHilo lajulikana ila sio kua nampenda sana Missa hapana!!ila Wema tukubali anamchukia Misa waziwazi yaani ugomvi wa Hamisa lazima ashadadie halafu mange ndo hua anamuingiza Missa but Missa hajawahi mtukana wema labda kwa siri ila hadharani sijaskia yaani Wema anaumwa jamani na Missa kuliko ilivyo!!!
Hua wanapewa maswali ndio sikatai ila nafikiri yule alifanyiwa manuva yenyewe yotee!
[emoji23] [emoji23] Wema nampenda a anazingua sana mjini!
Nikiangaliaga ile video. Mimi kama mwanandoa,,huwa najisi uchungu sana,, nahisi kumchukia huyu dada alimuumiza sana mwenzie,,
Jana mume wangu hajuagi hzi habari ila kwa furaha ,,nilimsimulia ,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]