Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Wadada wa mjini kwa waganga utawaweza shoo!!wanaroga balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji16][emoji16]sio yeye Mimi akili inagoma kabisaa kwa sababu naona kabisaa ule ni mtego hakuna mganga wa vile bwanaa!!mi nakuambia kweli!sikatai kua harogi ila yule si yeye!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakuambia Hamisa anaroga ila yule si yeye ukweli utajulikana tu!yaani mganga wako huwezi Fanya ule upuuzi!yaani wale wamefake sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ubuyu nimeupata mda sana,kila nkija huku haujawekwa, mama ni mwalimu na ndo wanaoturekebisha tunapokosea ila kwa hamissa ni tofauti kabisa, yaani naona wanaona maisha hayawezi kwenda bila Diamond.
Ujinga tu kuhisi huwezi kuishi bila Fulani wadada wa mjini nao wapunguze ndumba kaah!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa[emoji3][emoji16][emoji23]hii ndo naisikia kwako!kumbeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawa tunasubiri akashtaki walaa haina shida akikaa kimya kwa hili ntaamini kweli ni yeye!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kabisaa usiombe umpate mwanaume wa aina ile!yule mama kwa sasa tishio ni Missa tu maana Zari yuko mbali ataona rangi zote Missa ila dai akili hana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…