Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
- Thread starter
- #161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnooo!ila kwa hili angechukua hatuaAcha tu. Nimeumia kama vile ni mimi. Ila hata hili litapita tu. Anapitia wakati mgumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Diamond hanywi wala kuvuta,kwa hiyo anaonekana anatulia sana nakua makini akiwa kazini
Pesa kamapata wapi?
Nakazia!kama ni uongo usimshauri akae kimya,mwambie atoke hadharani kupinga na kuwafikisha mahakamani Sandra na binti yake
Kuna taarifa kwamba Hamisa alianza juhudi za mapema ku pre empt situation kwa kutuma watu watangaze kuwa kuna interview ya sauti,anatakiwa mwenye kufanana sauti nae ili atumike kumchafua.
Ili asafishe jina anatakiwa akanushe na aende Tcra,yeye ni balozi wa mitandao.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu atamsogolea mwanamke mchawi
Hakuna asiyeenda kwa mganga hawa bongo movie!dyadyaa!!ila hili ndo tunalipingawakati amejifungua kuna mtu alimkuta mama ake kwa mganga mbagala
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sanaaaaa!Mlio na mama wakwe kama mama daimond [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 856898
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli!Kwani unadhani ni kweli? Ile sio familia. Tunawaona kama watu lakin kiukwel wale n ndugu kabisa na shetani.
Sent using Jamii Forums mobile app
remember voice of wema na mbowe....voice zinatengenezwa tu......achana na izi drama za watafuta kiki mjini ili wasisahaulikeRaynavero unampenda hamissa ila kwa hili hapana ungeongea ukweli khaaa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni hamissa kweli ....kabisa kwa hili awe mpole tu!
Halafu why hamisa akumng'ang'ania majizzo kama anavyomng'ang'ania Diamond?
Si angetulia kwa yule wa SBL kama Mond haeleweki?
Nilikua nampenda ila anachosha sana aisee mpaka unahisi anazaa ili awatumie watoto kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache kusoma umbea 😛😛😛😛
Hapo kwa majay huyo lulu alikutwa na hirizi zinapumua kabisaa!!!walizidiana tu ndumbaayani alishindwa kumloga majey anamloga mond familia yenyewe iyo ya shake well before use hamna atachoambulia,na kuna kipindi alilalamika mama mond anataka kummaliza yeye na mwanae
Umeona eeKweli kabisa na pia uyo baby mama analoga ila ilo la voice note sijalipata vizuri,ivi inawezekanaje ukampgia mganga simu ukamwelezea shida zako zote bila kufika kilingeni mi siami labda kama alirekodiwa akiwa kwa maganga anaongea apo sawa otherwise wanamsingizia
Hakuna linaloshindikana chini ya jua 😉mmh hamna uganga wa ivo zaidi ya kutapeliwa,anawezaje ongea mambo mazito ivo kwenye simu labda kama ni mganga wake wa siku zote
Ulimuona.muogopeni mungu jamani maisha ya mitandaoni yasiwafanye muongee sanaInawezekana ingawa wanasema hamissa alipewa no na shoga ake.
Ila Hamissa unakumbuka wakina cynthia walimtoa kwenye show after kukutwa nyumbani kwa cynthia anafanya dawa? Yaani issue zake hapigi mahesabu vizuri anakurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] JesusAisee acha tu kuna ya kulishwa maji ya maiti hiyo from kondoa/singida huyo mwanaume haachii labda huyo maiti afufuke
Hivi familia ya diamond sio washirikina?Huu ubuyu nimeupata mda sana,kila nkija huku haujawekwa, mama ni mwalimu na ndo wanaoturekebisha tunapokosea ila kwa hamissa ni tofauti kabisa, yaani naona wanaona maisha hayawezi kwenda bila Diamond.
😛😛😛😛Pussy so hot kho kho khooooo kalumanzira medicine so sweet mscheeeewwwwxxxxxx
Hahaaaaa Hamisa unamjua siku si nyingi vijembe vitaanza akisha mvulia tena DomoMhhhh jamani hivi Hamisa ana akili za kushikiwa ama?? au na yy wamemroga ili awe kama zezeta kwa huyo mond. Halafu ipo siku huyo mond atajuta na kukumbuka maneno yake machafu kwa mzazi mwenzie. Any way life goes on. Kuna ambaye alijua sakata la Bashite na vyeti feki lingeisha? kila kitu kina mwanzo na mwisho. Kama kuroga watu wanarogaaa kila kukicha wanasiasa na watu wakubwa na familia zao. Cha msingi Hamisa ajielewe aaache yote aanze upya hata kama atanyang'anywa kila kitu aanze upya. Umaarufu una harufu avumilie hiyo harufu