Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Familia ya platnumz daah wamenisikitisha saaana ukisikiliza kwa makini ile voice note eti Hamissa anasema anamjua diamond miaka 10 iliyopita wakati hamisa ana miaka 23 kwahyo Hamisa kaanza kugongwa na mondi kipindi ana miaka 13 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndipo walipobugi


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hivi hujui madada wa mjini kwa kujidogodesha miaka ya kuzaliwa kiukweli ni 28 mwaka huu ila maisha ya insta ni 24 anatasema muhusika
Utauliza nimejuaje ila classmate wake ambae walijiingiza kwenye modelling yuko umri huo na walisoma tangu form 1
 
Raynavero unampenda hamissa ila kwa hili hapana ungeongea ukweli khaaa!![emoji23][emoji23][emoji23]

Huyo ni hamissa kweli ....kabisa kwa hili awe mpole tu!

Halafu why hamisa akumng'ang'ania majizzo kama anavyomng'ang'ania Diamond?

Si angetulia kwa yule wa SBL kama Mond haeleweki?

Nilikua nampenda ila anachosha sana aisee mpaka unahisi anazaa ili awatumie watoto kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Majizo wallet sio nzito kama chibude

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom