Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kwanini huyo mganga asijitokeze mbele ya vyombo vya habari akahojiwa tukamfahamu, hiyo clip inatakiwa iwe collaborated na mahojiano ya mganga ili watu wamfuatilie kama amepangwa itajulikana mapema au atajwe jina ili waandishi wamfuate kumuhoji lakini hivi hivi ni ngumu mtu kusikiliza clip na kuamini wakati kuna mafundi wa kuigiza sauti ukiwalipa tu ni dk sifuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app