Hamisa Mobetto umekosea kuongea na waandishi JKIA

Ingekua hivo wasanii wengi wangekua matajiri,hapa bongo mishe za kulipana kisa habari hakunaga
 
Kwani jf Sio chombo cha habari?
Kwani waandishi wa habari sio wafanyakazi wa vyombo vya habari?

Ndio maana nikamwambia mleta mada kua kama anadhani ilikua ni makosa kufanya interview na waandishi wa habari basi hata yeye hii thd yake asinge iweka hapa,maana anadhani waandishi wa habari sio vyombo vya habari.
 
Ametoka kuuza mbususu dubai
 
Na pia kama iyo miguu ni yako, basi umejaaliwa, inafaa sana kwa kuiweka begani.
 
Malaya anafunguliwa uzi ati na waandishi wa habari wanamfuata airport kumuhoji kweli? Wanahoji Nini wakijua kabisa kilichompeleka kule [emoji44][emoji44][emoji44]
 
Angefanya exclusive interview na kulipwa. Angepata ya kutumia ya mwezi.
 
Malaya anafunguliwa uzi ati na waandishi wa habari wanamfuata airport kumuhoji kweli? Wanahoji Nini wakijua kabisa kilichompeleka kule [emoji44][emoji44][emoji44]
Hakuna hata mmoja ajuwaye dhahiri shairi Amisa amekwenda Dubai kufanya nini?

Binafsi naamini Amisa amekwenda Dubai kufanya video shooting na huyo Rick Ross.

Mengine ni mbwembwe tu za kuwakoga wananchi, hawa wadada kwa kupenda kuwaringishia wenzao lazima angepiga picha yupo kitandani na ule mtumbo kama safari nzima malengo yake yalikuwa kwenda kutifuliwa Dubai.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiih.
 
Walivujisha video za Hamisa akiwa kwa mganga ili kumdhalilisha, Zari alimuita Hamisa โ€˜low lifeโ€™.

Jamani muacheni Mungu aitwe Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani limbwata ajabu, zari ana haha hko insta.
 
Means huyu Ross condoms zinambana?tusiendekeze sex za kizembe
 
nipm naona kama tunaendana
sina makuu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ