Kungwi Mtoto
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 796
- 776
- Thread starter
-
- #61
Asante sana kwa jibu lako.watu wamezoea kuwaona waliozaa ni majinga na hayajielewi.Kwani mtu akizalishwa huwa kuna kitu kinakuwa kimeharibika na hivyo hatakiwi kuchukuliwa na mwingine! kwahiyo unataka kutuambia nini kuhusu bosi wa WCB alivyomchukua Zari..?
Tajiri mmja ana viwanda tz[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio nani huyo Hamisa?
Haya bana AsanteUzi aliyeleta sip uliyemtaka[emoji16]
Oh haayaanisinge kuwa natumia Jf na ku unstore IG ..
Usiulize mengi. Siku hizi umalaya umekuwa u-celebrity mradi umalaya wenyewe uufanye kidital. Kinachofanywa na hawa kina mama ni umalaya per se ila ni ule wa class ya juu.Kwani mtoto ameshaacha kunyonya
Hivi Kungwi Mtoto nikikuuliza huyo jamaa ni nani na anafanya shughuli gani unaweza kunijibu?Raha ya kuachwa jaribu kuchagua mpz ambaye hata ex wako akimuona au akimsikia roho inamuuma na sio kutafuta bwegeee..
Yaan uende Us halaf urudi hivi hivi na wanaume wa kule walivyo mahndsome ,hamisa nakupongeza
Kifaa unique ni huyo baunsa wa kinaigeria?Maumimivu mlonayo nyie hujifanya wababe mbele y penzi ila mkiona ex kapara kifaaa unique mnapata tabu sana...