Kungwi Mtoto
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 796
- 776
- Thread starter
- #61
Asante sana kwa jibu lako.watu wamezoea kuwaona waliozaa ni majinga na hayajielewi.Kwani mtu akizalishwa huwa kuna kitu kinakuwa kimeharibika na hivyo hatakiwi kuchukuliwa na mwingine! kwahiyo unataka kutuambia nini kuhusu bosi wa WCB alivyomchukua Zari..?
Tena utakuta mtu kawapa mabint mimba kibao na kasepa yeye anategemea huyo asipate mtu wa kumpenda na wanaishi na wapenzi waliochomoa mimba lukuki heri muuaji au aliyezaa!!