Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa hata mimi nilikuwa naamini kwamba wamarekani ni ma HB na cuties wakati huo naangalia miziki yao ila baada ya kutembelea huko da wapo waliochoka sana wenye ngozi za goti kama kina 50cent,birdman,seal.Yaan uende Us halaf urudi hivi hivi na wanaume wa kule walivyo mahndsome ,hamisa nakupongeza
What happens in Vegas stays in Vegas. [emoji4]Mambo yanayotokea Vegas huwa yanaachwa Vegas. Wabongo hawana taarifa hii?
Wabaya wapo lakin wengi ni machotara na wazuri sanaaaHahahaaa hata mimi nilikuwa naamini kwamba wamarekani ni ma HB na cuties wakati huo naangalia miziki yao ila baada ya kutembelea huko da wapo waliochoka sana wenye ngozi za goti kama kina 50cent,birdman,seal.
View attachment 926781
Hahahaaa hata mimi nilikuwa naamini kwamba wamarekani ni ma HB na cuties wakati huo naangalia miziki yao ila baada ya kutembelea huko da wapo waliochoka sana wenye ngozi za goti kama kina 50cent,birdman,seal.
View attachment 926781
Usimwombee mwenzako baya ombeni jema kwa wengine.. shida ndo maana wengi tunajiombea wenyewe na sip kwq wenzetu
Ameenda kudanga...Sasa hapo kutakua na mapenzi au show off tu??
🎆🎆sana my dearHongera Hamisa,kizuri ni happiness Kama una raha na mume mpya basi enjoy...wengi humu watakuponda Ila kila Mtu ana historia yake..wengi ni za kusikitisha wakiona mwenzao Yuko happy na uhusiano wake wanajiuliza WHY
Naongea larger possibility
Simuombei mabaya mana ata kuwafatilia siwafatilii
Kama we ni mwanaume najua husha wai kuiexperience
Hahaha dah jamaniNa mwili wote. Ukute hana malinda
Sawa Mama Sabrina.Wabaya wapo lakin wengi ni machotara na wazuri sanaaa
Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app