Nyie siyo mimiKwanini msiache simba na yanga ambazo ni za kizamani kumkaanzisha timu zenu za kisasa?
Mimi nataka kujua Mo akiondoka wewe, Kilomoni na Bi Hindu mtachangia angalau kiasi gani20bn hiko wapi? Ahadi kibao huku anajipa competitive advertising advantage Africa nzima na football global connections bila kutoa chochote ila maneno. Hizo anazotoa Ni ndogo uklinganisha na flagship anayopewa na Simba Ss
Mimi nataka kujua Mo akiondoka wewe, Kilomoni na Bi Hindu mtachangia angalau kiasi gani
Wakimpa hati ndiyo watajua maana alivyopewa hati ya mashamba ya mkonge hakuyaendeleza ng'o badala yake aliyakopea mikopo mikubwa matokeo yake mashamba yamekuwa mapori matupuMimi nataka nijue mo anaujanja ujanja kivip labda
Wewe si Upo kamlindeHuu ni ujumbe wangu kwa wapenda haki wote kwenye soka la Tanzania .
Huyu mwamba hapa alikuwa anaenda wapi na kufanya nini? Au ilikuwa simba day?
Unavyosema muhindi atoe hela Simba wao wameweka?? MO ana 49% je Simba sports wenye 51% wameweka ngapi??Mwambie huyo muhindi atoe hela kama makubaliano yalivyo asilete janja janja kama alivyowafanyia serikali kwenye mashamba ya mkonge na Africa lyon
acha ulofa basi tumia akili maana mkataba unasema mwenye kutaka 49 lazima atoe b20 na mo alikubali sasa atoe hizo hela au arudishe hiz0 49%Unavyosema muhindi atoe hela Simba wao wameweka?? MO ana 49% je Simba sports wenye 51% wameweka ngapi??
Bora ungeomba nifafanue why nasema hivyo lakini unaanza na matusi *lofa* hivi unaweza Thibitisha mm lofa?? Hebu Lete huo mkataba uliouona unasema mwenye 49% atoe 20bn na mwenye 51% akae kimya??acha ulofa basi tumia akili maana mkataba unasema mwenye kutaka 49 lazima atoe b20 na mo alikubali sasa atoe hizo hela au arudishe hiz0 49%
[emoji23][emoji23]Kwanini msiache simba na yanga ambazo ni za kizamani kumkaanzisha timu zenu za kisasa?
Mkuu na Bibi Hindu pia anatakiwa kulindwa kwa nguvu zote sababu na yeye alishiriki kubeba mawe ya Ujenzi pale MsimbaziHuu ni ujumbe wangu kwa wapenda haki wote kwenye soka la Tanzania .
Yaani huyu Mo namsikitikia sana hakupata somo kwa Manji Kanjibai mwenzake?mwacha aipate shuruba sasa.Mwambie huyo muhindi atoe hela kama makubaliano yalivyo asilete janja janja kama alivyowafanyia serikali kwenye mashamba ya mkonge na Africa lyon
Bi Hindu alishiriki kujenga Simba,so yeye ni miongoni mwa wamiliki wa Simbwa.Ohooo??? Bi Hindu naye mwekezaji na mfadhili wa simba au yeye ni nani. Kuna vitu vya kukaa na kusikiliza lakini kwa mpira wa sasa wa kisasa Bi Hindu anajua nini? hata huyu mzee Kilomoni ana tofauti gani na mzee Akilimali ya Yanga. Ni vizee vinavyocheza mpira kwa mdomo bila
Zamu yenu sasa kulamba dongo,wakati ule mlikuwa mnamshabikia Mzee Akilimali dhidi ya Manji,tulieni.Hawa wazee wa hizi timu wanajifanya wajuaji tim ikiwa vizur zikipitia kipind kigum umsikii kilomon wala bi hindu wao wanapenda ziwe na hali ngum tu
Uzeni sasa hayo majengo mumpe hela yakeacha upumbavu na ujuha we gongowazi..hela ya usajili na mishahara aliyolipa moo kwa wachezaji na makocha hadi sasa ni thamani ya Yale majengo pale kkoo..mpira pesa na biashara skuiz..sisi tunataka ushindi na furaha basi ..
Hahahaha manina Walah kweli Soka la Bongo nuksi.Apeleke hati za mali ya timu yake Tanganyika arms au BENKI KUU wakamhifadhie kwenye SAFE watukuja kuvunja nyumba na kuiba hati za timu yake ili wampelekee kumridhisha MO
Unavyosema muhindi atoe hela Simba wao wameweka?? MO ana 49% je Simba sports wenye 51% wameweka ngapi??