Hiko = iko.20bn hiko wapi? Ahadi kibao huku anajipa competitive advertising advantage Africa nzima na football global connections bila kutoa chochote ila maneno. Hizo anazotoa Ni ndogo uklinganisha na flagship anayopewa na Simba Ss
Unajiaibisha mkuu,Bora ungeomba nifafanue why nasema hivyo lakini unaanza na matusi *lofa* hivi unaweza Thibitisha mm lofa?? Hebu Lete huo mkataba uliouona unasema mwenye 49% atoe 20bn na mwenye 51% akae kimya??
Simba na yanga ni zaidi ya uzijuavyo mkuu
Mo ajiandae kufungasha hatutaki wawekezaji wahuni
Hivi ulichiniquote hapa kina uhusiano gani na nilichouliza mimi?
Mimi nimeuliza maswali wewe unaniropokea.
Hivi ulichiniquote hapa kina uhusiano gani na nilichouliza mimi?
Mimi nimeuliza maswali wewe unaniropokea.
Uko sahihi kabisa! Uwazi muhimuIfahamike kwamba Uwekezaji ni jambo muhimu sana lakini ni vema ukafanyika kwa uwazi usio na chembe ya mashaka
Yaani we jamaa nashindwa kukuelewa sijui ni shabki wa Yanga unaitakia Simba mabaya au ni wale wanufaika wa mifumo mibovu. Sasa wewe uhuni gani umekuchosha,kama wewe ni mwanachama au shabiki wa timu fulani kitu gani unahitaji zaidi ya timu kufanya viziri.Simba na yanga ni zaidi ya uzijuavyo mkuu
Mo ajiandae kufungasha hatutaki wawekezaji wahuni
nikiona mtu anaandika na pumba kama zako natamani ata nikutafune,,..sidhani hata kama simba yenyew unaijua na unajua iliyoyapitia hapo katkat ..simba imepitia kipindi kigumu sana hadi wachezaji wengne tulikua tunapewa kwa huruma za viongozi wa timu ndogo wenye mapenzi na simba,,..simba ilipitia kipindi kiongozi aje mazoezini wachezaji wapewe elf tano tano asubuhi waondoke wakanywe chai na nauli yakurudia jioni mazoezi,,..we unataka uturudishe huko ..hii step tuliyopiga kwa sisi tunaoijua simba yetu ni kubwa mnooo ..usituambie turudi kule tena..unanitia uchungu sana nikikumbuka kipindi kile manji anatutesa sana ..Mimi mwenyew mwaka 2008 nishatoa buku 10 langu mfkon mazoezini tunachangishana wachezaji wapate hela chai.acha kuongea ujinga kbsa soka la bongo hulijui wewe. ..kivyovyote vile moo inabid aheshimiwe na alindwe pale simba ..mengine ni yakujadiliana tu.Hata huko arsenal mtu wawekezaji hawakuowa timu kiujanja ujanja. Anagalia uwekezaji wa kujenga uwanja mpya, kuendeleza uwanja wa zamani etc . Mo anafanya Nini? Anataka apewe bure
Hivi we mjinga unajua kiasi gani mo anachopata kwa logo ya mo energy kukaa pale kifuani kwenye jezi ya simba?uzee una msumbua mzee kilomoni.
Moo aweke bil 20.
Wakati ligi hata wafadhili hainaaa.
Anachotoa kinatosha tena sanaa. Kikubwa usajili ufanyike wachezaji na benchi la ufundi wapate mishahara yao.
Kama timu ingekuwa na uwezo si ingejiendesha yenyewe?
au mnataka tuwe omba omba kama YANGA.
Manji aliomba kitu kama iko cha kuwa na timu ba logo,mali zingine za klabu wala akuzitaka na aliletewa figisu,ajabu huyu mo anataka hati za jengo kabisa,na kishalifanyia hesabu eti lina thamani ya bln 3!Wangefanya kama timu nyingine tu za ulaya mfano Chelsea Jina na miundombinu ibaki kuwa mali ya wanachama na bwana Mohamed apewe uwezo wa kuiendesha kama afanyavyo tajiri wa kirusi kuna wanaoamini klabu kubinafsishwa ndio usasa la hasha club kubwa duniani kama Real Madrid na Barcelona bado zipo katika mfumo wa Rais wa club na mambo yanasonga vizuri tu cha muhimu ni uwazi,uwajibikaji na mfumo sahihi
Hivi we mjinga unajua kiasi gani mo anachopata kwa logo ya mo energy kukaa pale kifuani kwenye jezi ya simba?
Manji aliomba kitu kama iko cha kuwa na timu ba logo,mali zingine za klabu wala akuzitaka na aliletewa figisu,ajabu huyu mo anataka hati za jengo kabisa,na kishalifanyia hesabu eti lina thamani ya bln 3!
Mjinga yule ni mwekezaji,nembo ya simba ndio itakayomlipa,we mwenyewe ushamchangia mo kwa kununua bidhaa zake mara kibao tuSasa kama jengo lina thamani ya billion 3.kwanini simba wasichukue hizo billion 3.
Ikajiendesha yenyewe?
WEWE unadhani kodi ya zile fremu ndo unaweza ukaendeshea timu kuanzia usajili mpaka mishahara ya wafanyakazi?
Simba ina vyanzo Gani vya mapato?
kuhusu hati za Simba zinatakiwa zikae ofisini sio kwa mtu binafsi. Mzee kilomoni ana cheo gani pale simba? Mpaka akae na hati za Simba? Na aliyemwambia kuwa simba inataka kuuzwa kwa moo ni nani?
Hivi unadhani hata tukiamua tuiuze simba kuna mtu atakae inunua hata kwa billion 2?. Hakuna vyanzo vya mapato. Hela yake itarudi vipiii?
Leo HARAMBEE ipo Shinyanga. Timu Zahera tuonane huko!Huu ni ujumbe wangu kwa wapenda haki wote kwenye soka la Tanzania .
Inawezekana kweli una machungu na unayoiita "Simba yetu" miaka karne. Maamuzi yaliyofanywa kwa njaa na kukata tamaa yan majuto mbeleni" na serikali ilisema hivyo hivyo kwenye mashamba ya mkonge subiri uone. Mo is cool but shroud, tricky businessman.nikiona mtu anaandika na pumba kama zako natamani ata nikutafune,,..sidhani hata kama simba yenyew unaijua na unajua iliyoyapitia hapo katkat ..simba imepitia kipindi kigumu sana hadi wachezaji wengne tulikua tunapewa kwa huruma za viongozi wa timu ndogo wenye mapenzi na simba,,..simba ilipitia kipindi kiongozi aje mazoezini wachezaji wapewe elf tano tano asubuhi waondoke wakanywe chai na nauli yakurudia jioni mazoezi,,..we unataka uturudishe huko ..hii step tuliyopiga kwa sisi tunaoijua simba yetu ni kubwa mnooo ..usituambie turudi kule tena..unanitia uchungu sana nikikumbuka kipindi kile manji anatutesa sana ..Mimi mwenyew mwaka 2008 nishatoa buku 10 langu mfkon mazoezini tunachangishana wachezaji wapate hela chai.acha kuongea ujinga kbsa soka la bongo hulijui wewe. ..kivyovyote vile moo inabid aheshimiwe na alindwe pale simba ..mengine ni yakujadiliana tu.
Mjinga yule ni mwekezaji,nembo ya simba ndio itakayomlipa,we mwenyewe ushamchangia mo kwa kununua bidhaa zake mara kibao tu
Hati fungani ni nini hasa,fafanua kidogo nipate darasa kidogoPovu la nini?!..........CEO wa Simba SC Magori alikiri pale Clouds kuwa MO hajatoa hizo fedha bali ana mpango wa kununua Hati fungani za serikali siku za mbeleni. Ndiposa watu makini kama Manara wakashtuka.