severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Sasa unashabikia timu hafu hujui mmiliki wake ebo? Tambua hilo muda wote unashabikia timu ya Hamis! Pigeni magoti na muandamane kwa magoti hadi kwa mwenye timu ili malengo ya bosi mwizi yatimie.Shit! Kilomoni ni mmiliki wa klabu ya Simba?
Nenda kinondoni Block 41 kaombe appointment na mmiliki Wa simba hafu akikukubalia basi itakuwa ni wasaa mzuri Wa kukueleza kwa kina timu hii aliipataje, ha ha haHivi hizo hati Kilomoni anazoziita anaimiliki Simba SC zimeanfikwa kwa jina la Kilomoni? Au umiliki huo umeanzaje?:-
1) Kilomoni Ndiye aliyeianzisha Simba kama timu Yake mwenyewe?
2) Kilomoni aliinunua Simba SC kutoka kwa walioianzisha?
3) Kilomoni sio mmiliki Bali alikabidhiwa hati za timu tu azihifadhi?
Au hebu nielewesheni kuhusu huyu the so called Kilomoni.
Hapana asee Simba ni ya Hamis KilomoniMi nilijua Simba ni ya wanachama kumbe ni mali ya Kilomoni asee! Inaonesha huyu mzee kavimbiwa Komoni anajiropokesha
Mimi ni Yanga ila propaganda nyingine haziingii akilini hivi Mo anashindwa kununua nyumba Kariakoo hadi atumie njia ndefu hivi ili aipate?
Nadhani ilikuwa Simba day, hapa anapita na kutambulishwa kama mmiliki Wa Simba mbele ya mashabiki Wa timu yakeHuyu mwamba hapa alikuwa anaenda wapi na kufanya nini? Au ilikuwa simba day?
Mawazo ya kimasikini kama haya will take ages for that clubs to successMjinga yule ni mwekezaji,nembo ya simba ndio itakayomlipa,we mwenyewe ushamchangia mo kwa kununua bidhaa zake mara kibao tu
Bora yule huwa anapiga kelele tu,wao Mzee wao ndiye mmiliki Wa timuZamu yenu sasa kulamba dongo,wakati ule mlikuwa mnamshabikia Mzee Akilimali dhidi ya Manji,tulieni.
Wewe unaangalia Leo tu eti?Yaani we jamaa nashindwa kukuelewa sijui ni shabki wa Yanga unaitakia Simba mabaya au ni wale wanufaika wa mifumo mibovu. Sasa wewe uhuni gani umekuchosha,kama wewe ni mwanachama au shabiki wa timu fulani kitu gani unahitaji zaidi ya timu kufanya viziri.
Yaani wewe unaijua Simba kuliko mmiliki wake halala Hamis Kilomoni?nikiona mtu anaandika na pumba kama zako natamani ata nikutafune,,..sidhani hata kama simba yenyew unaijua na unajua iliyoyapitia hapo katkat ..simba imepitia kipindi kigumu sana hadi wachezaji wengne tulikua tunapewa kwa huruma za viongozi wa timu ndogo wenye mapenzi na simba,,..simba ilipitia kipindi kiongozi aje mazoezini wachezaji wapewe elf tano tano asubuhi waondoke wakanywe chai na nauli yakurudia jioni mazoezi,,..we unataka uturudishe huko ..hii step tuliyopiga kwa sisi tunaoijua simba yetu ni kubwa mnooo ..usituambie turudi kule tena..unanitia uchungu sana nikikumbuka kipindi kile manji anatutesa sana ..Mimi mwenyew mwaka 2008 nishatoa buku 10 langu mfkon mazoezini tunachangishana wachezaji wapate hela chai.acha kuongea ujinga kbsa soka la bongo hulijui wewe. ..kivyovyote vile moo inabid aheshimiwe na alindwe pale simba ..mengine ni yakujadiliana tu.
Mjinga weweSasa kama jengo lina thamani ya billion 3.kwanini simba wasichukue hizo billion 3.
Ikajiendesha yenyewe?
WEWE unadhani kodi ya zile fremu ndo unaweza ukaendeshea timu kuanzia usajili mpaka mishahara ya wafanyakazi?
Simba ina vyanzo Gani vya mapato?
kuhusu hati za Simba zinatakiwa zikae ofisini sio kwa mtu binafsi. Mzee kilomoni ana cheo gani pale simba? Mpaka akae na hati za Simba? Na aliyemwambia kuwa simba inataka kuuzwa kwa moo ni nani?
Hivi unadhani hata tukiamua tuiuze simba kuna mtu atakae inunua hata kwa billion 2?. Hakuna vyanzo vya mapato. Hela yake itarudi vipiii?
Tunahitaji Timu ya kisasa, inayokwenda na wakati.. huwezi kuwa na timu yenye Jina kubwa kimataifa kisha ofisi na makao yake makuu ni kama jiko la mamantilie muwe mnaona aibu sometime na kuficha upumbavu wenu.!Huu ni ujumbe wangu kwa wapenda haki wote kwenye soka la Tanzania .
Ni wivu tu wa vyura Fcacha upumbavu na ujuha we gongowazi..hela ya usajili na mishahara aliyolipa moo kwa wachezaji na makocha hadi sasa ni thamani ya Yale majengo pale kkoo..mpira pesa na biashara skuiz..sisi tunataka ushindi na furaha basi ..
Hivi yanga fans mmekumbwa na nin lakin!?Huu ni ujumbe wangu kwa wapenda haki wote kwenye soka la Tanzania .
hao wazee wewe huwafahamu vizuri ,,hawaendi uwanjani wala mikutanoni hawaji ..na hata ukimuliza kuhusu simba ataanza kukutajia hiatoria ya mwaka stini hajui hata timu inaendeshwa vp wanachkulia poapoa tu ,,..na tunaozijua hizi timu tunajua kilomoni anataka nini ,,baada week mbili subiri ka utamsikia ..Yaani wewe unaijua Simba kuliko mmiliki wake halala Hamis Kilomoni?
ugomvi ni mkataba tu na makubaliano , sisi wanasimba hatuna jengineTunahitaji Timu ya kisasa, inayokwenda na wakati.. huwezi kuwa na timu yenye Jina kubwa kimataifa kisha ofisi na makao yake makuu ni kama jiko la mamantilie muwe mnaona aibu sometime na kuficha upumbavu wenu.!
Eneo kama kariakoo ni eneo bora kwa uwekezaji wa kibiashara, nadhani Simba wana viwanja viwili pale msimbazi vinavyoweza kujenga jengo Zuri kubwa litakalofaa kuwa ofisi ya kisasa ya makao makuu ya club ikibidi na Hotel kwa ajili ya wachezaji kama sio makazi yao.
Kikubwa na mkataba ulio wazi kwa muwekezaji unaoweza kuondoa shaka kwa watu wote.. lets wake up people.
niombe radhi haraka sana !Hivi yanga fans mmekumbwa na nin lakin!?
Mkuu usihangaike kubishana na haya mashabiki ya makwasukwasu fc...yameona hakuna jipya linaloendelea kwenye timu yao so yanachojaribu kufanya ni kutengeneza maneno ionekane simba kuna mgogoro ili yajifariji kuwa hayavurugani peke yaoKuna mchezaji yoyote aliyelalamika hajalipwa mshahara?
unajua hela zinatoka wapi?
hauwezi ukaweka bil 20.halafu haujui zitarudi vipi hyo ni biashara kichaa.
Mimi nipo na moo..
timu imetulia.
ligi ya Tanzania kwa sasa haina uwezo wa kurudisha bil 20.
Hahaaaah shabiki la ombaomba fc linatoa povu kuhusu maswala ya simba ambayo hayalihusu....badala ya kuhamasisha kuchangisha mia tano mia tano ili wawalipe mishahara wakina fei toto wasife njaa linatoa mipovu kuhusu simba....TABU IPO PALE PALE...KISU KIMEFIKA KWENYE MFUPA LAZIMA MUWEWESEKESasa unashabikia timu hafu hujui mmiliki wake ebo? Tambua hilo muda wote unashabikia timu ya Hamis! Pigeni magoti na muandamane kwa magoti hadi kwa mwenye timu ili malengo ya bosi mwizi yatimie.