Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Wale majamaa wanajua kipindi walinogesha sana ni kama wapo tu kijiweni wanapiga stori
Wimbo wao ule kila ijumaa ulikua nyoko..

Mbinguni hakuna bia
Ndo maana tupo hapa tunakunywa bia
Ukifa tutakunywa zako bia

Hawa wan walikua nuksi
 
Clouds wana kazi kubwa sana. Kwasasa wanapambana bila Ruge ambaye ndiye aliyekuwa key master pale. Ni kosa kuanza kupoteza icon kama B12 (kama kwa Wasafi kumpoteza Jonijoo) wakati bado wanatengeneza future mpya bila Ruge.

Ninachoona Majey anajua kwa kiasi fulani njia za Ruge na ameona gape ambalo ameamua kuli target. Clouds ile ya matamasha imekufa, hawana tena king maker na wabunifu wao uwezo wao ni wa kawaida kama media zingine tofauti na Ruge na Majey hawamuwezi.

Clouds wasipoelewa position yao baada ya Ruge kuondoka na kufikiri mambo yataenda kama kawaida ni kujidanganya, lazima wabuni njia mpya. Kusaga ni mwekezaji tu lakini anategemea brains kama Ruge ndio maana ku spread risk kawekeza sehemu nyingi.

Nani alitegemea Radio one leo kuzidiwa hadi na Times Fm? Clouds wajipange sana sana!
 
Kuna kipindi fety nae aliaga hiv hiv
Akidai anaenda kusmamia biashara zake
Lakin kwa Sasa amerud mwenyewe
Clouds

Twangala hapa naona hajafikiria
Kabsa
 
Aliondoka Dj Fetty sasa karudi. Clouds ipo

Akaondoka Gadna na sasa amerudi. Clouds ipo

XXL kuna vipaji halisi pale. Yule dogo Perfect ataziba pengo lake..
Kwani waliorudi wamerudi kwa sababu walikosa kazi huko walikokuwa kwa hiyo wakarudi baada ya kuomba tena ajira !?? Au walirudi baada ya kupewa maslahi makubwa kuliko kule walikoenda ndio wakarudi!? Niyonzima alirudi Yanga kwa sababu alikosa timu huko alikokuwa au Yanga ndio walimfata!? Au Okwi aliporudi Simba, yeye ndio aliomba au Simba ndio walimfata kumuomba!?
 
Halafu mi naona huyo jamaa atapotea wale clouds sijui wan nini si mnaona Diva tumemsahau fasta maana alijiona kile kipindi hakiwi kitamu kama hayupo.
sawa umemsahau. Sasa unasikiliza Clouds na yeye hatangazi hapo utaachaje kumsahau!?
 
Kuna kipindi fety nae aliaga hiv hiv
Akidai anaenda kusmamia biashara zake
Lakin kwa Sasa amerud mwenyewe
Clouds

Twangala hapa naona hajafikiria
Kabsa
Wewe umejuaje kuwa hajafukuzwa!? Uliambiwa kuwa kahama ofisi yeye mwennyewe!? Kuhusu Fetty kurudi I
Hiyo inategemea zaidi makubaliano aliyokubaliana na waajiri wake kwa kuwa hakufukuzwa.
 
Wewe umejuaje kuwa hajafukuzwa!? Uliambiwa kuwa kahama ofisi yeye mwennyewe!? Kuhusu Fetty kurudi I
Hiyo inategemea zaidi makubaliano aliyokubaliana na waajiri wake kwa kuwa hakufukuzwa.
Ww una uhakika gani kua amefukuzwa?
 
Afu mimi sijaelewa kwani huyo jamaa ni mwanamke au mwanaume? Na ilikuaje akatoka sumbawanga hadi ileje?
 
Kuna kipindi fety nae aliaga hiv hiv
Akidai anaenda kusmamia biashara zake
Lakin kwa Sasa amerud mwenyewe
Clouds

Twangala hapa naona hajafikiria
Kabsa
Kwani huyu Twangala naye kaaga? Unajua mwajiri kukupa airtime ya kuaga nayo ni credit kwako na hapa unakuwa umeondoka kiroho safi, so kama aliaga maana yake hakuna mgogoro ni makubaliano wamefikia

Nakumbuka Fetty alikatiwa hadi keki ya kuagwa kama sikosei na Salama Jabir wakati anatoka kwenye Planet Bongo na kumuachia Dulla naye aliaga kiroho safi na alishiriki kumpata Dula kama Fetty alivyomkaribisha Kennedy siku ya mwisho kabla hajaondoka
 

Clouds haifi leo wala kesho

Creativity ya kufa mtu iko pale

Kuua clouds ni

1.ondoa watangazaji wote
2.ondoa staff wa kawaida wote

Ruge ndio alipoondoka ilitegemewa inakufa
 
Clouds FM ushawishi wake kwenye jamii ni mkubwa Sana.. Mizizi yake imekita Sana.. Kufanya kazi kituo kile kwanza fursa ni nyingi.. Vituo Vingine Bado havina ushawishi na kupendwa Sana.. Huko aendako Sidhani Kama atafanya vizuri zaidi ya kuharibu career yake aliyojenga muda mrefu
 
Una mawazo ya kipumbervu
 
Clouds wanapenda sana kuendekeza mabifu ya kifala. Sasa kama hata Dozen aliekunywa maji ya bendera kasepa/kafukuzwa nani atabaki?
Inabidi sometimes ukumbushwe nan boss na nan mfanyakaz ili usijione untouchable

"kama mnanifukuza kazi nifukuzen tu ila........."
 
Mungu tusamehe tu sisi binadamu. Kwani hatujui tutokako wala tuendako.

Leo hii B12 anapendwa hapa. Matusi yote aliyotukanwa hapaa.

Dah.. Manina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…