Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Kama kaondoka Dj Fetty yupo atachukua hiyo nafasi mbona naye anabalaa lake Clouds hawashindi kupata mtu mwengine lakini naona Dozen atarudi tu atamiss sana Chemistry ya watu ambao alikuwa nao Mjengoni kuanza maisha mapya sio kitu rahisi na kuendelea kufanya mazuri kama alivyokuwa akiyafanya na wenzie.
Walisema hvy kwa Hando, B-12 ni moja ya icon ya clouds fm, Kama hamjui.....jamaa yupo pale inakaribia miaka 20 hv tangu enzi za kina marehemu Vivian....so kusepa kwake Kuna impact kubwa kwa XXL,na CMG, jamaa ndy alikuwa mkali kwe interview na hata ku MC matamasha, ana uweledi wa kuuliza maswali, ni mtulivu akiwa kwe Mike na ana exposure ya mmb lukuki.

Kuna mtu kasema Adam ndy kila kitu pale XXL, itakuwa huyu mdau ameanza kufuatilia clouds miaka miwili nyuma. B12 ndy influencer wa watangazaji wote wa afternoon shows, kila mtangazaji wa radio ya kisasa alikuwa anajaribu ku imitate style yake ili aonekane bab kubwa.
 
Wakisema hvy kwa Hando, B-12 ni moja ya icon ya clouds fm, Kama hamjui.....jamaa yupo pale inakaribia miaka 20 hv tangu enzi za kina marehemu Vivian....so kusepa kwake Kuna impact kubwa kwa XXL,na CMG, jamaa ndy alikuwa mkali kwe interview na hata ku MC matamasha, ana uweledi wa kuuliza maswali, ni mtulivu akiwa kwe Mike na ana exposure ya mmb lukuki.

Kuna mtu kasema Adam ndy kila kitu pale XXL, itakuwa huyu mdau ameanza kufuatilia clouds miaka miwili nyuma. B12 ndy influencer wa watangazaji wote wa afternoon shows, kila mtangazaji wa radio ya kisasa alikuwa anajaribu ku imitate style yake ili aonekane bab kubwa.
Usiongee sana mkuu bakiza na maneno ya kesho tuombe uzima tuone kama XXL ilikuwa ni ya Dozen au ni Chemistry ya kina adamu nk.. alafu wakati huo huo tutajua ukubwa wa Dozen huko Efm tunaona maajabu yake kama anaweza akiwa nje ya Clouds au atachemsha..
 
Kupitia akaunti ya Instagram ya E Fm(efmtanzania) wameandika haya

Hamisi Mandi @bdozen, kati ya majina yake anayopenda ni #TheNavigator (msafiri). Kwenye safari hiyo kavusha wengi kiasi kwamba Tanzania ikampa nyota 12.
.
Ni wakati wa Navigator huyu kutua kwenye uwanja uliobeba ndoto na maono halisi ya mitaa na vijana wote wa Tanzania. #DozenAmetua @efmtanzania na @tvetanzania : kinachofuata ni kupaa juu sana, tuendelee kuruka na kuzipeleka kileleni ndoto za mitaa. Mafanikio zaidi ya Tanzania yetu yako mbele yetu.


Kikubwa maslahi, na kubadilika ama kuhama sehemu moja kwenda ingine ni hatua pia.
 
Mbona unarudia sana hiyo mada ya babe ,we utakuwa una uwalakini si bure
Bro pole sana kwa kuumizwa hisia zako ila nikwambie tu umeumia buree sababu sielewi wewe umejishtukia kwa kipi,

Wewe ni kijana wala sio mtoto kua na bebe halishangazi na kua na bebes halishtui pia, au ulikua una mpango wa kua padri?? Lol,

Kikubwa nikutakie kila la kheir huko uendako.
[emoji38][emoji38]

[emoji2380]
 
Hivi kuna radio au Tv station ilikuwa inafuatiliwa au kuwa na watangazaji mahiri Kama radio one na ITV? Hii media house (IPP) wakati inaingia miaka ya mwanzoni mwa 90 ilikamata Sana soko la media, ilichukua watangazaji kibao toka RTD na kulikamata haswa soko la habari, Embu angalia hv sasa iko wapi, leo nikikuambia nitajie watangazaji hata watatu wa Radio one au ITV, sidhani Kama utaweza. Kutokana na kutokubadilika kwa hii station (IPP) na mishahara kuwa duni, watangazaji wote mahiri na icon wamesepa, pale mkongwe kabaki Abubakari Sadick kwa fujo, na Kama wengine wapo Basi wachache.

Lazima tukubali kila Zama na kitabu chake, itafika muda clouds nayo itasanda tu.
 
Hivi kuna radio au Tv station ilikuwa inafuatiliwa au kuwa na watangazaji mahiri Kama radio one na ITV? Hii media house (IPP) wakati inaingia miaka ya mwanzoni mwa 90 ilikamata Sana soko la media, ilichukua watangazaji kibao toka RTD na kulikamata haswa soko la habari, Embu angalia hv sasa iko wapi, leo nikikuambia nitajie watangazaji hata watatu wa Radio one au ITV, sidhani Kama utaweza. Kutokana na kutokubadilika kwa hii station (IPP) na mishahara kuwa duni, watangazaji wote mahiri na icon wamesepa, pale mkongwe kabaki Abubakari Sadick kwa fujo, na Kama wengine wapo Basi wachache.

Lazima tukubali kila Zama na kitabu chake, itafika muda clouds nayo itasanda tu.
Haya hutokea pale viongozi wa Taasisi husika wanapoamua kulala

Kila mtu anataka kupata kinacholingana na thamani yake. Na Clouds wakijisahau wakaanza kutojali maslahi ya watu wao lazima watapotea. Lakini maslahi yakizingatiwa ni kichaa peke yake atakataa donge nono na kubaki kwenye maslahi duni
 
Gardner alivyoondoka Jahazi kipindi kilishake sana, wakapita watangazaji kadhaa lakini hakuna aliyeweza kufit, ikaubidi uongozi umwage pesa ndefu ya mshahara kumshawish kurudi tena, so tukubali tu kwamba Team ni kubwa kuliko mchezaji lakini wakati mwingine mchezaji anaweza kuifanya team itetereke
Tusubiri kipindi hiki cha taharuki kipite tuwapime.

Ni dhahiri kabisa siku hizi za mwanzo kutakuwa na mapungufu ya hapa na pale. Mapungufu hayo yakiendelea lazima viongozi watatafuta namna ya kuziba pengo

Haina ubishi kwamba mchezaji anamchango mkubwa kwenye timu na akiondoka timu inaweza kutetereka.

Lakini Kuna wakati mchezaji nyota anapoondoka hutoa nafasi kwa nyota nyingine kung'aa mfano mzuri ni PJ alivyoondoka PB kwenye kudadisi akaja Sam Sasali na nyota ya Dakota inavyoanza kung'aa kwenye kipindi cha Bonge. Hii hutokea pia na si ajabu ikatokea kwenye XXL japo ki ukweli uwezekano wa kipindi kuyumba pia upo
 
Clouds either hawakujiandaa na huu ushindani wa media (wasafi na efm), au wali wa under estimate wapinzani wao.

Kwa ninavyoskia, clouds hawalipi vzr sana ukilinganisha na hizi media mpya. Clouds wanajivunia ukongwe wao kwenye burudani ya kisasa na kuliteka soko la habari haswa kwa vijana. Wanajua ni ndoto ya kila mtangazaji hapa nchini kufanya kazi clouds, na ndy maana Kuna wengine wako radhi wasilipwe Ila waonekane wanafanya kazi CMG, ilimradi wapate jina.

Na waliendelea kuliteka soko zaidi, baada ya kuanzisha summer jam, ambayo baadae iliitwa Fiesta kupitia Prime time promotion, hapa ndipo walipolikamata soko sasa na media na muziki. Enzi zile hakukuwa na media au mtu yeyote anaeweza anzisha tamasha kubwa Kama lile, tena walikuja kumaliza baada ya kuwaleta wasanii toka US, Fiesta ilikuwa msimu wa sikukuu, kila mwaka watu walikuwa wakilisubiria kwa hamu. Lakini ona sasa leo hii Fiesta imebaki jina tu, hakina jipya Tena. Sababu wakina Majay nao kila leo wana program zao zinazofanana na fiesta, sjui "sepa na Kijiji" sjui nini, watu wawanaona wasanii kila siku jukwaani. Enzi zile ilikuwa msanii unamuona jukwaani kipindi Cha Fiesta tu.

Sasa kwa bahati mbaya Sana Zama zinabadilika, na clouds imepata wapinzani wenye "content" zinazofanana na pengine hao wapinzani wamejiongeza zaidi ya wao kwa upande wa content, lkn pia wanawalipa vzr sana watangazaji.

Kwa kumalizia ni kwamba kila Zama na kitabu chake, na moja ya dalili ya kufifia kwa media ni hama hama ya watangazaji mahiri.
 
Tusubiri kipindi hiki cha taharuki kipite tuwapime.

Ni dhahiri kabisa siku hizi za mwanzo kutakuwa na mapungufu ya hapa na pale. Mapungufu hayo yakiendelea lazima viongozi watatafuta namna ya kuziba pengo

Haina ubishi kwamba mchezaji anamchango mkubwa kwenye timu na akiondoka timu inaweza kutetereka.

Lakini Kuna wakati mchezaji nyota anapoondoka hutoa nafasi kwa nyota nyingine kung'aa mfano mzuri ni PJ alivyoondoka PB kwenye kudadisi akaja Sam Sasali na nyota ya Dakota inavyoanza kung'aa kwenye kipindi cha Bonge. Hii hutokea pia na si ajabu ikatokea kwenye XXL japo ki ukweli uwezekano wa kipindi kuyumba pia upo
Hakuna mtu wa hovyo Kama Sam Sasali. PB ilikuwa na Hando, PJ na Barbara! Nafuu ungesema ujio wa KP kidogo lkn si huyo Sam.
 
Back
Top Bottom