Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchakali umri umemtupa kila kipindi sio cha age yakeNcha kali achukue kipindi ili akina mchovu wasipitilize mizaha..
Kennedy ajitahidi naye sio kila wakati sure sure
Bagheshi dimaga polepole chuu! 😂😂Unajikutaga msemaj wa wasafi kumbe boya tu. Ujuaji mwng kumbe hakuna ulijualo..
Kama Ni hivyo mbona yeye alimtaja diamond na hakuishia tu kumtaja mpaka akampigia na simu kabisa
Kwenye reply yangu uliyoi quote kuna sehemu nimetaja hilo bifu?Mmiliki wa bifu la Clouds na diamond ni nani?
Alivyo mshamba atakuja kukujibu tenaNone of my business!
Kwa lipi? Mimi nilichokikataa ni wewe kusema UONGO dhidi ya Mandi.
Hiki ndicho ulichokisema ulitegemea nikujibu nini?
Hili swali lako ndo likafanya niandike sina tabia kama zako.
LMAO! i don't care!
But stop gossiping to watu who don't f*ckin show their personal life kwa public
Ngumu kumeza hiHuwa mnapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha yao wakati maisha yenu binafsi mnashindwa kuyapangilia
Adam Ni mropokaji na Hana sifa za kuhost,fetty hayupo kwenye Xxl Tena so kipindi kitadorora Sana huyo Kennedy ajafika hata nusu ya bdozen
Lowassa ndani ya chademaNatabiri hatakuwa na muda mrefu E FM, atarudi Clouds tena.
Efm daraja tuAtaenda Wasafi
Mbona mnakuwa wapiga ramli sana kwenye maisha ya watu Jamani.Aiseee atakuwa amehamua kumaliza career yake! Binafsi namtakia kila la kheri lakini bado najiuliza atatangaza kipindi gani? EFM watabadili vipindi?
nchakali umri umemtupa kila kipindi sio cha age yake
Kwamba Fetty yupo XXL? Tulia dawa iwaingieXXL ni kipindi chenye vipaji vingi mno,
Pale kuna
Adam Mchomvu
Fetty
Kennedy the remedy
hao wote hawashindwi kuendesha kipindi.
NaamPerfect hawezi hata kidogo..hapo wamchukue Sam misago akae na Kenedy wasukume kipindi
pengo halitakuwa kubwa sana maana kennedy anaweza cover kiainaKukisimamia na kutunza nidham
Maana ukimwacha meena na Adam kelele nyingi
yap sam misago angekuwa pale ingekuwa lit sanaNaam
Huu ndo muda sahihi wa kumvuta Sam
ila majay nasikia amempa salary nzuri sana nasikia hata wewe usingeweza kuliacha hilo dau unajua bdozen ni brand hivyo efm wataingiza sana kupitia huyo mwanaEfm daraja tu
Picha ya Hamisi iko wapi?Kupitia akaunti ya Instagram ya E Fm(efmtanzania) wameandika haya
Hamisi Mandi @bdozen, kati ya majina yake anayopenda ni #TheNavigator (msafiri). Kwenye safari hiyo kavusha wengi kiasi kwamba Tanzania ikampa nyota 12.
.
Ni wakati wa Navigator huyu kutua kwenye uwanja uliobeba ndoto na maono halisi ya mitaa na vijana wote wa Tanzania. #DozenAmetua @efmtanzania na @tvetanzania : kinachofuata ni kupaa juu sana, tuendelee kuruka na kuzipeleka kileleni ndoto za mitaa. Mafanikio zaidi ya Tanzania yetu yako mbele yetu.
Check hili jinga! ,walimjaribu meena kwenye ala za roho?Sawa diva kaondoka Nani kafit nafasi yake? Walimjaribu meena Ally akashindwa
Wewe kweli unasikiliza ala za roho kweli? Unashindwa kujua hata hiliCheck hili jinga! ,walimjaribu meena kwenye ala za roho?