Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Au ile kauli yake ya juzi kuhusu ile performance ya Diamond MTV base ndio imemponza.

Wanajiua wenyewe taratibu kwa vinyongo na beef zisizo na maana ,nimeona Majizzo kaposti kwenye page yake ya Instagram.
[emoji769] Clouds kwisha habari yake, hii media Ruge Mutahaba pekee yake ndio alikuwa anaiweza tutasikia mengi Sana
 
Daaah No comment on that,,ila I can't believe msafiri(The navigator)katoka CMG,,Time will tell
 
XXL imeanza, huyu dogo Perfect Crispin Robidinyo Ze Mnyama Mkali anachapia sana aisee
Sio Perfect uyo ni Kennedy the Remedy babuu,,,ila kweli Perfecto bado mzito mdomoni waga anachapiaga kinyax
 
Ncha kali achukue kipindi ili akina mchovu wasipitilize mizaha..
Kennedy ajitahidi naye sio kila wakati sure sure
Kweli mchomvu hayuko serious ndo maana hata kipindi kilipewa mtu mwenye haiba
 
None of my business!


Kwa lipi? Mimi nilichokikataa ni wewe kusema UONGO dhidi ya Mandi.


Hiki ndicho ulichokisema ulitegemea nikujibu nini?


Hili swali lako ndo likafanya niandike sina tabia kama zako.


LMAO! i don't care!
But stop gossiping to watu who don't f*ckin show their personal life kwa public
Bro pole sana kwa kuumizwa hisia zako ila nikwambie tu umeumia buree sababu sielewi wewe umejishtukia kwa kipi,

Wewe ni kijana wala sio mtoto kua na bebe halishangazi na kua na bebes halishtui pia, au ulikua una mpango wa kua padri?? Lol,

Kikubwa nikutakie kila la kheir huko uendako.
[emoji38][emoji38]

[emoji2380]
 
Kuna yule jamaa PJ alikuwa anahangaika tu leo Efm kesho Clouds [emoji23][emoji23][emoji23]
 
CMG sio rahisi kudorola kwa mfanyakazi mmoja tu kuondoka

Ni kweli kabisa kipindi Kama kipindi kinaweza ku shake kidogo na hii ni kwa muda mfupi sana

Tuangalie coverage Kwanza. Efm na Clouds ni redio gani ina coverage kubwa kuliko nyingine? Utagundua ni Clouds

Turudi kwenye XXL, huyo the Navigator hicho kipindi alikuwa peke yake? Jibu ni hapana. Kama ni hapana, ana nini cha ziada? Jibu ni ana kipaji, ameshajijenga hivyo ana ushawishi kwa jamii ya vijana na wanamuziki. Sawa, hapa unajiuliza je, ni rahisi kuhama na mashabiki wake wote? Hapa jibu ni hapana kwasababu hata XXL yenyewe watu wanapenda segment ya mwisho ambayo inakuwa mseto ikiongozwa na Mchumvo

Kwa hiyo utagundua huenda na yeye akakutwa na waliyokutana nayo kina Gardener walivyoondoka na baadae wakarudi

Clouds imeji establish sana kiasi kwamba mtangazaji mmoja sio rahisi kuua kipindi akiondoka. Nadhani aliyebuni utaratibu wa kuwaweka wengi aliona mbali

Kazi kubwa naiona kwake kuanza kuwashawishi shabiki zake wahamie alikohamia ikiwa ni pamoja na wadhamini wa kipindi maana hao huangalia coverage na audience

But all in all, wakati mwingine ni bora kutembea tembea kuliko kukaa sehemu moja. Huko akafanye cha tofauti zaidi ili watu wathibitishe talent yake
 
CMG sio rahisi kudorola kwa mfanyakazi mmoja tu kuondoka

Ni kweli kabisa kipindi Kama kipindi kinaweza ku shake kidogo na hii ni kwa muda mfupi sana

Tuangalie coverage Kwanza. Efm na Clouds ni redio gani ina coverage kubwa kuliko nyingine? Utagundua ni Clouds

Turudi kwenye XXL, huyo the Navigator hicho kipindi alikuwa peke yake? Jibu ni hapana. Kama ni hapana, ana nini cha ziada? Jibu ni ana kipaji, ameshajijenga hivyo ana ushawishi kwa jamii ya vijana na wanamuziki. Sawa, hapa unajiuliza je, ni rahisi kuhama na mashabiki wake wote? Hapa jibu ni hapana kwasababu hata XXL yenyewe watu wanapenda segment ya mwisho ambayo inakuwa mseto ikiongozwa na Mchumvo

Kwa hiyo utagundua huenda na yeye akakutwa na waliyokutana nayo kina Gardener walivyoondoka na baadae wakarudi

Clouds imeji establish sana kiasi kwamba mtangazaji mmoja sio rahisi kuua kipindi akiondoka. Nadhani aliyebuni utaratibu wa kuwaweka wengi aliona mbali

Kazi kubwa naiona kwake kuanza kuwashawishi shabiki zake wahamie alikohamia ikiwa ni pamoja na wadhamini wa kipindi maana hao huangalia coverage na audience

But all in all, wakati mwingine ni bora kutembea tembea kuliko kukaa sehemu moja. Huko akafanye cha tofauti zaidi ili watu wathibitishe talent yake
Siumeona Leo XXL ilivyopwaya
 
Siumeona Leo XXL ilivyopwaya
Inaweza ikawa kweli kama ameachiwa Kennedy peke yake (sijasikiliza kipindi), Kennedy bado kuna vitu vingi anatakiwa kuvifanyia kazi

Kumpa XXL Kennedy ni sawa na kusema kina Kipanya wamuachie kipindi Cza

Hawa watu wawili Kennedy (XXL) na Cza (PB) wana assignment kubwa hawajazimalizia kukamilisha kuwa bora ku host kipindi na wasikilizaji wakawaamini
 
Bro pole sana kwa kuumizwa hisia zako ila nikwambie tu umeumia buree sababu sielewi wewe umejishtukia kwa kipi,

Wewe ni kijana wala sio mtoto kua na bebe halishangazi na kua na bebes halishtui pia, au ulikua una mpango wa kua padri?? Lol,

Kikubwa nikutakie kila la kheir huko uendako.
[emoji38][emoji38]

[emoji2380]
Mimi ni mtawa karibu kwenye parokia yetu ya Dodoma upate kuongoka!
 
CMG sio rahisi kudorola kwa mfanyakazi mmoja tu kuondoka

Ni kweli kabisa kipindi Kama kipindi kinaweza ku shake kidogo na hii ni kwa muda mfupi sana

Tuangalie coverage Kwanza. Efm na Clouds ni redio gani ina coverage kubwa kuliko nyingine? Utagundua ni Clouds

Turudi kwenye XXL, huyo the Navigator hicho kipindi alikuwa peke yake? Jibu ni hapana. Kama ni hapana, ana nini cha ziada? Jibu ni ana kipaji, ameshajijenga hivyo ana ushawishi kwa jamii ya vijana na wanamuziki. Sawa, hapa unajiuliza je, ni rahisi kuhama na mashabiki wake wote? Hapa jibu ni hapana kwasababu hata XXL yenyewe watu wanapenda segment ya mwisho ambayo inakuwa mseto ikiongozwa na Mchumvo

Kwa hiyo utagundua huenda na yeye akakutwa na waliyokutana nayo kina Gardener walivyoondoka na baadae wakarudi

Clouds imeji establish sana kiasi kwamba mtangazaji mmoja sio rahisi kuua kipindi akiondoka. Nadhani aliyebuni utaratibu wa kuwaweka wengi aliona mbali

Kazi kubwa naiona kwake kuanza kuwashawishi shabiki zake wahamie alikohamia ikiwa ni pamoja na wadhamini wa kipindi maana hao huangalia coverage na audience

But all in all, wakati mwingine ni bora kutembea tembea kuliko kukaa sehemu moja. Huko akafanye cha tofauti zaidi ili watu wathibitishe talent yake
Gardner alivyoondoka Jahazi kipindi kilishake sana, wakapita watangazaji kadhaa lakini hakuna aliyeweza kufit, ikaubidi uongozi umwage pesa ndefu ya mshahara kumshawish kurudi tena, so tukubali tu kwamba Team ni kubwa kuliko mchezaji lakini wakati mwingine mchezaji anaweza kuifanya team itetereke
 
Gardner alivyoondoka Jahazi kipindi kilishake sana, wakapita watangazaji kadhaa lakini hakuna aliyeweza kufit, ikaubidi uongozi umwage pesa ndefu ya mshahara kumshawish kurudi tena, so tukubali tu kwamba Team ni kubwa kuliko mchezaji lakini wakati mwingine mchezaji anaweza kuifanya team itetereke
Aangalie Leo aone namna Xxl ilivyopwaya
 
Back
Top Bottom