Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Alaa.!Ina maana hujui kuwa JF ni ya kila MTU. Jinsia zote na hadi wenzako kina James delicious WAPO humu ndio maana na wewe upon, unatukana ila tunakuvumilia
Yuko wapi hivi sasa huyo?Kuna yule jamaa PJ alikuwa anahangaika tu leo Efm kesho Clouds [emoji23][emoji23][emoji23]
Gardner alirudi kwa kukosa ajira huko alikokuwa au alirudishwa kwa dau?CMG sio rahisi kudorola kwa mfanyakazi mmoja tu kuondoka
Ni kweli kabisa kipindi Kama kipindi kinaweza ku shake kidogo na hii ni kwa muda mfupi sana
Tuangalie coverage Kwanza. Efm na Clouds ni redio gani ina coverage kubwa kuliko nyingine? Utagundua ni Clouds
Turudi kwenye XXL, huyo the Navigator hicho kipindi alikuwa peke yake? Jibu ni hapana. Kama ni hapana, ana nini cha ziada? Jibu ni ana kipaji, ameshajijenga hivyo ana ushawishi kwa jamii ya vijana na wanamuziki. Sawa, hapa unajiuliza je, ni rahisi kuhama na mashabiki wake wote? Hapa jibu ni hapana kwasababu hata XXL yenyewe watu wanapenda segment ya mwisho ambayo inakuwa mseto ikiongozwa na Mchumvo
Kwa hiyo utagundua huenda na yeye akakutwa na waliyokutana nayo kina Gardener walivyoondoka na baadae wakarudi
Clouds imeji establish sana kiasi kwamba mtangazaji mmoja sio rahisi kuua kipindi akiondoka. Nadhani aliyebuni utaratibu wa kuwaweka wengi aliona mbali
Kazi kubwa naiona kwake kuanza kuwashawishi shabiki zake wahamie alikohamia ikiwa ni pamoja na wadhamini wa kipindi maana hao huangalia coverage na audience
But all in all, wakati mwingine ni bora kutembea tembea kuliko kukaa sehemu moja. Huko akafanye cha tofauti zaidi ili watu wathibitishe talent yake
Nakuzingua mwanangu. Kwema lakini mkuuAlaa.!
Naona unamwogopa. Vp amekupiga biti pm?Nakuzingua mwanangu. Kwema lakini mkuu
Hamna. Gentleman Huyo nilikuwa namzingua tuNaona unamwogopa. Vp amekupiga biti pm?
Cha ajabu kuna wajinga humu wanataka kufanya kuwa Gardner aliondoka akarudi as if huko alikokwenda alipoteza kazi akawa hana mchongo. Hawasemi kuwa Clouds ilibidi wamnunue tena.Gardner alivyoondoka Jahazi kipindi kilishake sana, wakapita watangazaji kadhaa lakini hakuna aliyeweza kufit, ikaubidi uongozi umwage pesa ndefu ya mshahara kumshawish kurudi tena, so tukubali tu kwamba Team ni kubwa kuliko mchezaji lakini wakati mwingine mchezaji anaweza kuifanya team itetereke
Akikujibu ni_tag.Baba Jonii amebuni kitu gani?
The King Of The Afternoon Shows.Walisema hvy kwa Hando, B-12 ni moja ya icon ya clouds fm, Kama hamjui.....jamaa yupo pale inakaribia miaka 20 hv tangu enzi za kina marehemu Vivian....so kusepa kwake Kuna impact kubwa kwa XXL,na CMG, jamaa ndy alikuwa mkali kwe interview na hata ku MC matamasha, ana uweledi wa kuuliza maswali, ni mtulivu akiwa kwe Mike na ana exposure ya mmb lukuki.
Kuna mtu kasema Adam ndy kila kitu pale XXL, itakuwa huyu mdau ameanza kufuatilia clouds miaka miwili nyuma. B12 ndy influencer wa watangazaji wote wa afternoon shows, kila mtangazaji wa radio ya kisasa alikuwa anajaribu ku imitate style yake ili aonekane bab kubwa.
XXL kwisha kabisa.
Radio One imezidiwa na Times fm!? Hii hii Times fm inayosikika mikoa miwili sijui mitatu huko? Hii survey yako ulifanya lini!?Clouds wana kazi kubwa sana. Kwasasa wanapambana bila Ruge ambaye ndiye aliyekuwa key master pale. Ni kosa kuanza kupoteza icon kama B12 (kama kwa Wasafi kumpoteza Jonijoo) wakati bado wanatengeneza future mpya bila Ruge.
Ninachoona Majey anajua kwa kiasi fulani njia za Ruge na ameona gape ambalo ameamua kuli target. Clouds ile ya matamasha imekufa, hawana tena king maker na wabunifu wao uwezo wao ni wa kawaida kama media zingine tofauti na Ruge na Majey hawamuwezi.
Clouds wasipoelewa position yao baada ya Ruge kuondoka na kufikiri mambo yataenda kama kawaida ni kujidanganya, lazima wabuni njia mpya. Kusaga ni mwekezaji tu lakini anategemea brains kama Ruge ndio maana ku spread risk kawekeza sehemu nyingi.
Nani alitegemea Radio one leo kuzidiwa hadi na Times Fm? Clouds wajipange sana sana!
Kwani huko anakoenda almas inapendwa?Almasi imemponza?
Hauko sahihi kwenye hili mkuu, clouds kuna mishahara mikubwa kuliko media yoyote upande wa redio nchini ukirudi kwenye marupurupu ndio kabisa na hili Jo aliweka wazi kuna mwezi millad aliingiza pesa nyingi kuliko KusagaNadhani Clouds hakuna mshahara na marupurupu kama wengi wanavyochukulia, ila wanachofanya wao hasa ni kuwahamasisha vijana wao kutumia fursa ya kuwa clouds kuanzisha biashara na mambo yao mengine na wao wanawapa platform ya kutangaza na kupigia promo bure
Kuna online radio mkuu, kama mimi kwa siku nna vipindi vyangu kwenye radio, kumi nambili kamili nipo radio1 naakiliza bbc, kumi nambili na nusu rfa magazeti, moja kamili r1 habari hadi uchambuzi wa magazeti, hapo nazima nafanya mishe zingine, mbili kamili narudi PB wakimaliza magazeti, hapo ndio siwashi tena radio hadi tatu kamili ucku Sports XtraHivi bado watu wanasikiliza redio? Wanasikilizia wapi?
Kwenye simu ama kwenye gari? Najua tecno ndio zina redio.
Aisee.
Acha vioja. Nime_quote post yako kuwa "Twangana hapa naona hajafikiria kabsa". Ndio maana nikakuuliza wewe una uhakika gani hajafukuzwa? Maana umeandika "hajafikiria kabsa" kuonesha kuwa aliondoka kwa utashi wake.Ww una uhakika gani kua amefukuzwa?
Tetesi zinasema hali ya kiuchumi sio nzuri sana mjengoni na kuna azimio la kupunguza mishahara ambalo wengine wameona sio poa bora wajiondokee zao. Ndio maana kuna kampeni kubwa ya kutoa promotion ya matangazo.Za chini ya kapeti
- Adam Mchomvu to Efm
- Jeff Lea to Efm
- Barbara Hassan to Efm
Maisha ni kama sifuri unapoanzia kuchora ndipo utakapo malizia....