Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Ina maana hujui kuwa JF ni ya kila MTU. Jinsia zote na hadi wenzako kina James delicious WAPO humu ndio maana na wewe upon, unatukana ila tunakuvumilia
 
Gardner alirudi kwa kukosa ajira huko alikokuwa au alirudishwa kwa dau?
 
Cha ajabu kuna wajinga humu wanataka kufanya kuwa Gardner aliondoka akarudi as if huko alikokwenda alipoteza kazi akawa hana mchongo. Hawasemi kuwa Clouds ilibidi wamnunue tena.
 
Kwani huyo alohama ni mwanamke au mwanaume na ilikuaje mwenyekiti wa kijiji hajapewa barua ya wito polisi
 
The King Of The Afternoon Shows.
 
Kimsingi ni kuwa watangazaji wengi wa clouds walikuwa loyal kwa Ruge kuliko clouds yenyewe.So bila Ruge chochote kinaweza kutokea.Kingine ni kuwa hakuna mtu mwingine wa kufikiria nini cha kufanya kinachovutia kama alivyokuwa akifanya Ruge..Hili litawagharimu sana clouds.
 
Radio One imezidiwa na Times fm!? Hii hii Times fm inayosikika mikoa miwili sijui mitatu huko? Hii survey yako ulifanya lini!?
 
Hauko sahihi kwenye hili mkuu, clouds kuna mishahara mikubwa kuliko media yoyote upande wa redio nchini ukirudi kwenye marupurupu ndio kabisa na hili Jo aliweka wazi kuna mwezi millad aliingiza pesa nyingi kuliko Kusaga
 
Hivi bado watu wanasikiliza redio? Wanasikilizia wapi?

Kwenye simu ama kwenye gari? Najua tecno ndio zina redio.

Aisee.
Kuna online radio mkuu, kama mimi kwa siku nna vipindi vyangu kwenye radio, kumi nambili kamili nipo radio1 naakiliza bbc, kumi nambili na nusu rfa magazeti, moja kamili r1 habari hadi uchambuzi wa magazeti, hapo nazima nafanya mishe zingine, mbili kamili narudi PB wakimaliza magazeti, hapo ndio siwashi tena radio hadi tatu kamili ucku Sports Xtra
 
Ww una uhakika gani kua amefukuzwa?
Acha vioja. Nime_quote post yako kuwa "Twangana hapa naona hajafikiria kabsa". Ndio maana nikakuuliza wewe una uhakika gani hajafukuzwa? Maana umeandika "hajafikiria kabsa" kuonesha kuwa aliondoka kwa utashi wake.
 
Za chini ya kapeti

- Adam Mchomvu to Efm
- Jeff Lea to Efm
- Barbara Hassan to Efm

Maisha ni kama sifuri unapoanzia kuchora ndipo utakapo malizia....
Tetesi zinasema hali ya kiuchumi sio nzuri sana mjengoni na kuna azimio la kupunguza mishahara ambalo wengine wameona sio poa bora wajiondokee zao. Ndio maana kuna kampeni kubwa ya kutoa promotion ya matangazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…