Sasa kama mmiliki wa show ni Dozen itakuwaje kama kaenda Efm
Zile ndio swaga za utangazaji wake mzee babaKwahiyo XXL imebaki chini ya yule jamaa mwenye Mafua yasiyoisha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti mnyama mkali perfect crispinTunamfuatilia hawezi,kipindi kizima atakuwa anasema tu " MNYAMA MKALI PERFECT " mpaka kipindi kinaisha
Kile kijamaa cha FNL siku hizi kinapwaya sanaHayupo Eatv,anapiga mishe zake tu binafsi inavyoonekana
Mmiliki wa content na Idea ni Clouds au Dozen ?Shoo itaendelea kama ilivyokua Ala za roho Diva hayupo ila Mo jay anapiga kazi
Mbongo anamshauri mtu aliyemzidi kila kitu afanye nini ili atoboe ili hali hata robo ya alipo anayemshauri hajafikaa.Huwa mnapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha yao wakati maisha yenu binafsi mnashindwa kuyapangilia
Mmiliki wa content na Idea ni Clouds au Dozen ?
Hapo sasa nimekuelewa mzee babaMkuu nazungumzia Mtangazaji Mkuu wa kile kipindi wengine wale walikua wanamsaidia kama ilivyo The Switch Mwenye kipindi ni lIly ommy waliobakia wanamsindikiza ila mwenye sauti ni yeye Ommy.
Achana na maneno ya uswahiliniIla kama zile tetesi ni za kweli basi Lulu wa Majizzo atakua anaumia kuliko mtu yeyote kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tatizo mahaliMbongo anamshauri mtu aliyemzidi kila kitu afanye nini ili atoboe ili hali hata robo ya alipo anayemshauri hajafikaa.
Ipi hiyo?Kuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza
Umemaliza kila kitu mkuuClouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
AlisemaIpi hiyo?
Kwa hiyo unataka kusema Adam is better that Hamis? be serious we jamaaIla XXL anayeinogesha ni Mchomvu yule jamaa amefit sana kwenye kile kipindi B dozen ni wakawaida sana sema kwa sababu yeye ndiye mwenye kipindi imembeba.
Nimeona hata Shilawadu yule jamaa Qwisa naye hayupo badala yake wamemuweka Mwijaku.
🚮🚮🚮🚮 we nae!Ila kama zile tetesi ni za kweli basi Lulu wa Majizzo atakua anaumia kuliko mtu yeyote kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alikwambia yupo single?Umeanza ulozi mapema