Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Mkuu nazungumzia Mtangazaji Mkuu wa kile kipindi wengine wale walikua wanamsaidia kama ilivyo The Switch Mwenye kipindi ni lIly ommy waliobakia wanamsindikiza ila mwenye sauti ni yeye Ommy.
Mmiliki wa content na Idea ni Clouds au Dozen ?
 
Mkuu nazungumzia Mtangazaji Mkuu wa kile kipindi wengine wale walikua wanamsaidia kama ilivyo The Switch Mwenye kipindi ni lIly ommy waliobakia wanamsindikiza ila mwenye sauti ni yeye Ommy.
Hapo sasa nimekuelewa mzee baba
 
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Ila XXL anayeinogesha ni Mchomvu yule jamaa amefit sana kwenye kile kipindi B dozen ni wakawaida sana sema kwa sababu yeye ndiye mwenye kipindi imembeba.

Nimeona hata Shilawadu yule jamaa Qwisa naye hayupo badala yake wamemuweka Mwijaku.
Kwa hiyo unataka kusema Adam is better that Hamis? be serious we jamaa
 
Kama kaondoka Dj Fetty yupo atachukua hiyo nafasi mbona naye anabalaa lake Clouds hawashindi kupata mtu mwengine lakini naona Dozen atarudi tu atamiss sana Chemistry ya watu ambao alikuwa nao Mjengoni kuanza maisha mapya sio kitu rahisi na kuendelea kufanya mazuri kama alivyokuwa akiyafanya na wenzie.
 
Back
Top Bottom