Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Clouds haifi leo wala kesho

Creativity ya kufa mtu iko pale

Kuua clouds ni

1.ondoa watangazaji wote
2.ondoa staff wa kawaida wote

Ruge ndio alipoondoka ilitegemewa inakufa
Kufa kwa kituo cha radio sio sawa na kufa kwa mtu bali ni kupoteza nguvu ya ushawishi na soko lako kwa wadau wako. Mfano Radio One ya kina Charles Hillary sio hii ya sasa kwa ushawishi. Au RFA ya kina Fredwaa sio hii ya sasa kwa ushawishi, ingawa vituo vyote bado vipo hewani.
 
Kimsingi ni kuwa watangazaji wengi wa clouds walikuwa royal kwa Ruge kuliko clouds yenyewe.So bila Ruge chochote kinaweza kutokea.Kingine ni kuwa hakuna mtu mwingine wa kufikiria nini cha kufanya kinachovutia kama alivyokuwa akifanya Ruge..Hili litawagharimu sana clouds.
Royal!!!
 
Hivi kuna radio au Tv station ilikuwa inafuatiliwa au kuwa na watangazaji mahiri Kama radio one na ITV? Hii media house (IPP) wakati inaingia miaka ya mwanzoni mwa 90 ilikamata Sana soko la media, ilichukua watangazaji kibao toka RTD na kulikamata haswa soko la habari, Embu angalia hv sasa iko wapi, leo nikikuambia nitajie watangazaji hata watatu wa Radio one au ITV, sidhani Kama utaweza. Kutokana na kutokubadilika kwa hii station (IPP) na mishahara kuwa duni, watangazaji wote mahiri na icon wamesepa, pale mkongwe kabaki Abubakari Sadick kwa fujo, na Kama wengine wapo Basi wachache.

Lazima tukubali kila Zama na kitabu chake, itafika muda clouds nayo itasanda tu.
Unasema watatu ahahaha watu tunakutajia mpaka editors, cameramans, na watu wa TX maudhui ya ITV/RADIO ONE kidogo yanapishana na media zingine isipokuwa Star tv/RFA na TBC/TBC FM ile Taifa ni ya mababu sana
 
Kuna kipindi fety nae aliaga hiv hiv
Akidai anaenda kusmamia biashara zake
Lakin kwa Sasa amerud mwenyewe
Clouds

Twangala hapa naona hajafikiria
Kabsa
Fetty wakati anaaga alisema haendi kwenye media nyingine na katu hawezi kufanya kazi ya media sehemu nyingine tofauti na CMG!
Ameishi maneno yake.
 
Clouds haifi leo wala kesho

Creativity ya kufa mtu iko pale

Kuua clouds ni

1.ondoa watangazaji wote
2.ondoa staff wa kawaida wote

Ruge ndio alipoondoka ilitegemewa inakufa
Kuna mtu pale CMG anamfikia hata karibu mtu mmoja wakuitwa NCHA KALI?
Alivyoondoka huyu yalisemwa mashudu sana ila ile chombo ikazidi kwenda juu kileleni
 
Fetty wakati anaaga alisema haendi kwenye media nyingine na katu hawezi kufanya kazi ya media sehemu nyingine tofauti na CMG!
Ameishi maneno yake.
Fety anatambua sana alikotolewa na clouds
Kuanzia anasoma mpaka anamaliza
University

Nlimpenda aliamua kurudisha shukran
CMG
 
Acha vioja. Nime_quote post yako kuwa "Twangana hapa naona hajafikiria kabsa". Ndio maana nikakuuliza wewe una uhakika gani hajafukuzwa? Maana umeandika "hajafikiria kabsa" kuonesha kuwa aliondoka kwa utashi wake.
Na ww umejibu kwakua unajua amefukuzwa?? Una uhakika gani
Amefukuzwa maybe kaamua kuondoka
Kufuata maslah bora
 
Hauko sahihi kwenye hili mkuu, clouds kuna mishahara mikubwa kuliko media yoyote upande wa redio nchini ukirudi kwenye marupurupu ndio kabisa na hili Jo aliweka wazi kuna mwezi millad aliingiza pesa nyingi kuliko Kusaga
Hii Ni chai kabisa
 
Hivi bado watu wanasikiliza redio? Wanasikilizia wapi?

Kwenye simu ama kwenye gari? Najua tecno ndio zina redio.

Aisee.
Unajifanya huyajui maisha ya kibongo sio?
Asilimia 30% ya wakazi wa Dar asubuhi wanakua kwenye vyombo vya usafiri iwe daladala au gari binafsi wanasikiliza redio vipindi vya asubuhi

Asilimia kubwa ya "wamama wa nyumbani" wanasikiliza vipindi vya kuanzia saa 3 asubuhi, vipindi vya umbea umbea kama Leo tena nk

Asilimia kubwa ya vijana wa vijiweni, saluni, masista duu wasio na kazi wanafunzi nk wansikiliza vipindi vya mchana kama XXL nk

Inapofika jioni wale wote waliokwenda makazini wanarudi majumbani na usafiri mbali mbali wansikiliza radio vipindi kama Jahazi

Kuanzia saa moja usiku wapo wanaosikiliza samari za habari kama kipindi cha count down nk na taarifa za habari kwa wasio na access ya tv kwa wakati huo

Vipindi vya usiku ndio utashangaa watu wanapiga simu usiku kucha wanasalimia watu walio lala ha haaa

Radio zinasikilizwa zaidi kuliko tv inavyo tazamwa sababu kuangalia tv kunahitaji muda wa ziada tofauti na kusikiliza
 
Na ww umejibu kwakua unajua amefukuzwa?? Una uhakika gani
Amefukuzwa maybe kaamua kuondoka
Kufuata maslah bora
Hakuna post yangu inayosema jamaa kafukuzwa. Kama ipo ilete hapa. Ila nilichofanya ni kukosoa statement yako kuwa "Twangala hapa hajafikiria kabsa" . Statement ambayo inaonesha kuwa jamaa kaondoka kwa utashi wake.
 
Unajifanya huyajui maisha ya kibongo sio?
Asilimia 30% ya wakazi wa Dar asubuhi wanakua kwenye vyombo vya usafiri iwe daladala au gari binafsi wanasikiliza redio vipindi vya asubuhi

Asilimia kubwa ya "wamama wa nyumbani" wanasikiliza vipindi vya kuanzia saa 3 asubuhi, vipindi vya umbea umbea kama Leo tena nk

Asilimia kubwa ya vijana wa vijiweni, saluni, masista duu wasio na kazi wanafunzi nk wansikiliza vipindi vya mchana kama XXL nk

Inapofika jioni wale wote waliokwenda makazini wanarudi majumbani na usafiri mbali mbali wansikiliza radio vipindi kama Jahazi

Kuanzia saa moja usiku wapo wanaosikiliza samari za habari kama kipindi cha count down nk na taarifa za habari kwa wasio na access ya tv kwa wakati huo

Vipindi vya usiku ndio utashangaa watu wanapiga simu usiku kucha wanasalimia watu walio lala ha haaa

Radio zinasikilizwa zaidi kuliko tv inavyo tazamwa sababu kuangalia tv kunahitaji muda wa ziada tofauti na kusikiliza
Hao unaodai wanakuwa kwenye vyombo vya usafiri, wanasikilizishwa redio (kwa maana ya redio ya gari iliyowashwa na dereva) au wanasikiliza wenyewe kutoka kwenye simu zao?
 
Unajifanya huyajui maisha ya kibongo sio?
Asilimia 30% ya wakazi wa Dar asubuhi wanakua kwenye vyombo vya usafiri iwe daladala au gari binafsi wanasikiliza redio vipindi vya asubuhi

Asilimia kubwa ya "wamama wa nyumbani" wanasikiliza vipindi vya kuanzia saa 3 asubuhi, vipindi vya umbea umbea kama Leo tena nk

Asilimia kubwa ya vijana wa vijiweni, saluni, masista duu wasio na kazi wanafunzi nk wansikiliza vipindi vya mchana kama XXL nk

Inapofika jioni wale wote waliokwenda makazini wanarudi majumbani na usafiri mbali mbali wansikiliza radio vipindi kama Jahazi

Kuanzia saa moja usiku wapo wanaosikiliza samari za habari kama kipindi cha count down nk na taarifa za habari kwa wasio na access ya tv kwa wakati huo

Vipindi vya usiku ndio utashangaa watu wanapiga simu usiku kucha wanasalimia watu walio lala ha haaa

Radio zinasikilizwa zaidi kuliko tv inavyo tazamwa sababu kuangalia tv kunahitaji muda wa ziada tofauti na kusikiliza
Umeukimbia ule uzi wa mikeka,vp umestaafu?
 
Nimeelezea vitu viwili hapo, mishahara na bonus, kipi chai? Watangazaji bongo wasiotaka kwenda clouds ni wa bbc pekee, kuhusu bonus aliongea Jo mwenyewe nenda utube clip ipo
Labda ungeleta data inaonesha hiyo mishahara ningekubali tofauti na hapo Ni porojo
 
Back
Top Bottom