lameckkawawa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 944
- 665
mbona wajitia aibu sana wao ndio wanaitwa ng'ombe wasio na mkia dah wabongo noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa arejee kama mwanachama wa kawaida lakini uongozi No no nooooo. Huyu ni nyumbu wa malisho hawezi kua kiongozi. Ameonyesha anaweza kununuliwa na kuuza wanachama kwa hela.Hali ndani ya Chadema kwa waliomfuata Lowasa imekuwa ngumu baada ya kukiridhisha kuwa chama walichoenda hakina nafasi kwa wageni. Hivyo wamegundua njia muafaka ni kurejea CCM ambako kuna uhuru wa kidemokrasia ikiambatana na fursa tele za kushiriki katika ujenzi wa Taifa. Kinachowaondoa CDM ni utaratibu wa chama kuwakumbatia wenye nacho badala ya kutoa nafasi sawa kwa wanachama wote kutoa maoni na kushiriki katika kufikia maamuzi yahususiyo maendeleo ya chama. Ufinyu wa demeokrasia ndani ya CDM unachangia aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, ndugu Hamisi Mgeja kufikia uamuzi wa kurudi nyumbani, CCM kuliko demokrasia ya uhakika na ushiriki mpana wa wanachama kuchangia maendeleo ya chama. Wakati wowote Ndugu Mgeja ataita waandishi wa habari na kutangaza kurejea CCM
Wala msithubutu, huyu ni nyumbu wa kufuata malisho.hata mkirudi hatuwapi uenyekiti CCM mkoa