Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Huwezi ukasemaunakariri mdogo wangu,mimi nimeongea kwa maneno yangu mwenyewe sijakaririshwa
Huwezi ukasema
"Sisi ninakuja"
Halafu ukirekebishwa kwamba sentensi sahihi ni
Sisi tunakuja au Mimi ninakuja,
Unaongea mashudu mengine.
Hopeless.
Kum follow mtu ni lazima??ni wao wenyewe wanataka wafuatiliwe maisha yao...
kwenye kurasa zao mitandaoni kuna kitufe cha FOLLOW
na umaarufu wao unapimwa kwa wangapi wanafuatilia maisha yako, FOLLOWERS
sasa huwezi kufiwa ukasema leo msini follow maisha yangu...
na kijana wa Tandale mbona simwoni pembeni ya jeneza, hakuja au alikataa kuingia ndani ya hiyo nyumba?
Ona usha panic bwana mdogo,Kakini umeelewa nilichomaanisha au unataka kujimwambafy uonekane mtaalamu wa lugha
Ona usha panic bwana mdogo,
Kakini ni nini sasa ?
Sema lakini
Jeneza.....asili ya neno lenyewe ni walioleta Uislam, Waarabu. Kiarabu huitwa Janaiza....hivyo basi...Waislam wanayajua majeneza miaka mingi kabla Wamisionari hawajaja East Africa.
Utopolo.Jeneza.....asili ya neno lenyewe ni walioleta Uislam, Waarabu. Kiarabu huitwa Janaiza....hivyo basi...Waislam wanayajua majeneza miaka mingi kabla Wamisionari hawajaja East Africa.
Ohoooo sawa kabisa mama utopoloUtopolo.
Hatarious [emoji849]Aibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri, hata kuweka curtains tu kumemshinda? Kashindwa kuendeleza kwao ndio huyu anataka ubunge? Au anataka ubunge ili anufaike ? Aibu hii. Maisha ya social media bwana........
[emoji122][emoji122][emoji122]Mmmmh.. ni wapi hapo nje ya nchi watu hawathamini kumiliki nyumba?
Tena nje ya nchi, watu ndo wanakuwaga na dream za ku own nyumba (real estate), sema shida ni kwamba kumiliki nyumba ni gharama sana ndo mana wengi wanaishia kupanga mpaka wanakufa.
Sioni kama ni akili kuwa na mihela mingi kwenye account halafu usiwe na nyumba, ni kukosa akili.. pesa hii hii ambayo ikitokea inflation inakuwa haina tofauti na makaratasi?
Mtu yoyote mwenye akili popote pale lazima uwaze kumiliki nyumba, at some point in your life... Hakuna ufahari wa kutokuwa na nyumba nzuri.
Refere basic needs
- Food
- Shelter (Housing)
- Cloth
Hivi ndo vitu vitakupa heshima duniani.. How you eat (become healthy), Where you live (Good House), what you wear (Good Clothes).. sijui kama umenisoma mkuu
Au sio bora tuishi nyumba ya nyasi nje tupaki Bentley choo tukachimbe kishimo huko porini, kwa hiyo mkuu hujawah kuwa na plan ya kumiliki asset yako ndio maana wachaga. Bila shaka mkuu haufanyi kazi na pia sio mchaga wala hujawahi kuishi sehemu tofauti na hapo ulipo mkuu tafuta marafiki wengine hao ulionao hawakufai tafuta mke mwenye akili atakuelewesha maana ya maisha bora na mazuri.Aende Mpakani mwa Tanzania na Zambia watu wanaishi kwenye nyumba za nyasi hafu nje amepaki Range lover, Tanzania tunapenda kujenga sana ndo maana mtu anakaa miaka kibao anajenga nyumba tu.
Kwani we unazani ukiishi kwenye ghorofa na mwenzio akaishi nyumba ya nyasi hafu anakuzidi pesa na maisha nani mjanja? Ndo vijana mkipata tu vihela mnakimbilia apartment Masaki, Mikocheni au Mbezi mkiishiwa mnaanza kutapatapaAu sio bora tuishi nyumba ya nyasi nje tupaki Bentley choo tukachimbe kishimo huko porini, kwa hiyo mkuu hujawah kuwa na plan ya kumiliki asset yako ndio maana wachaga. Bila shaka mkuu haufanyi kazi na pia sio mchaga wala hujawahi kuishi sehemu tofauti na hapo ulipo mkuu tafuta marafiki wengine hao ulionao hawakufai tafuta mke mwenye akili atakuelewesha maana ya maisha bora na mazuri.
Refer vee moneywatu maarufu wanambwembwe tu za kwenye mitandao pamba kali,jina kubwa, ila kiukweli hawana pesa.
Duuu kwa hiyo niache ghorofa niende nyumba ya nyasi ili ninunue gari.Kwani we unazani ukiishi kwenye ghorofa na mwenzio akaishi nyumba ya nyasi hafu anakuzidi pesa na maisha nani mjanja? Ndo vijana mkipata tu vihela mnakimbilia apartment Masaki, Mikocheni au Mbezi mkiishiwa mnaanza kutapatapa
Pouwar![emoji846]Mambo!
romy jones tulia basi mnapoambiwa ukweli mkubali....wewe nahisi madirishani ndio utaweka mifuko ya sementi iliyokwishatumika badala ya bendera za CCM.Ndio akili zenu za kimbumbumbu nilizosema. Mawazo yote kwenye nyumba kama vile mmekuwa kobe. Kobe ndiye lazima awe na nyumba ili mwili usiishiwe maji. Wewe binadamu unayezikwa na sanduku tu na shuka moja, utashupalia nyumba kiasi hicho cha nini?
Hata kusoma Kiswahili haujui. Nimeandika mtu ana nyumba nzuri, anakaa nyumba ya kupanga nzuri kwenye eneo zuri la mji (Dar - Masaki, Oysterbay nk). Halafu unaniponda huku unarudia kile kile nichokisema. Una akili kweli? Siyo ujinga huo. Halafu wajinga wenzio wamesoma halafu wakakupa "Thanks"!
Kuna wengine tulizaliwa vijijini, tkasomea huko, baadaye tukaingia mjini kufanya kazi. Mtu umefanya kazi miaka 30 au zaidi, ukizeeka unakuwa na hamu kurudi ulikokulia. Lakinoi kama hukujenga huko unabakia mjini ukisononeka na hekaheka za mjini. Mjini kuzuri ukiwa kijana. mimi niliona hivyo siku nyingi ndiyo maana nikajijengea kabanda ninakokaaa siku hizi huko kijijini.wengi mnaojenga kijijini, mnajenga ku maintain status ni kama pride Fulani, wala hakuna linguine linalowasukuma kufanya hivyo.. which is sad... pride wengine sio tu pride hawana bali pia sio priority....
Maendeleo kijijini tafuta kwa nini hamna.