mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Bado unazunguka bila point ya msingi,kwa hiyo mbunge msukuma ndio reference yako wewe.
Two wrongs doesnt make correct.
Two wrongs doesnt make correct.
Hicho ulichokinukuu ndio kinastahili kuwa majibu kwako kulingana na kile ulichokinukuu awali.
.
Mtu kama Tale ambaye ni maarufu masikini wengi wanahitaji kuona anaishi vile wanavyoona na kutaka wao na si anavyotaka yeye aliyepambana akapata hivyo alivyonavyo!
.
Hapo mnapopabeza kama kweli ana nia ya ubunge tayari ameshaupata huo ubunge kwa hayo makazi tu.
nenda leo hii Nyehunge kwa kina Joseph Msukuma ukapaone anazidiwa na nyumba za watu kibao and still anamiliki mabasi mengi na migodi pia.
.
na wakati akiwa mwenyekiti wa CCM Geita alikuwa anatembea na Land cruiser zaidi ya 20 kwenye msafara wake ila kwao pabaya kuliko kwangu changamka wewe