Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

Mkuu hivi yale makabrasha madokoma,wanayopewa wabunge wakayapitie...hivi jamaa anayasoma
Kweli [emoji1]

Ova
HAHAHA! Kwakweli sidhani, na hata wakisoma ni wachache husoma kwa mazingatio ila majority husoma kama wanasoma message tu... kuelewa ila mazingatio na utendaji sidhani.

Hawa jamaa walio wengi pale ni waigizaji tu... huko ni pa ulaji ndo mana wengi wanakimbilia huko. Sasa eti huyo nae mbunge na alipita bila kupingwa... dahh! Waafrika sisi 😅😅😅🙌🏾
 
Ujinga wako tu. Newton alipewa uprofesa na kufundisha chuo kikuu akiwa hana hata shahada ya kwanza; kilichozingatiwa ni uvumbuzi wake wa nguvu ya uvutano (gravitational force) na mengine yakiyofuata.

Diamond alianza muziki kwa wimbo wake maarufu wa Mbagala, mbele ya nyumba jalala. Huyu babu Tale aliyemuibua Diamond toka jalalani mbagala kumfikisha hapa alipo kuna ubaya gani kutunikiwa udaktari wa heshima?

Mbona hawa wanaoliangamiza taifa wakipewa hizo heshima hamsemi?

Have we lost our civility to this extent?

Acheni wivu. Babu Tale more than deserves that honor.
Wewe ni mwendawazimu.
 
Ujinga wako tu. Newton alipewa uprofesa na kufundisha chuo kikuu akiwa hana hata shahada ya kwanza; kilichozingatiwa ni uvumbuzi wake wa nguvu ya uvutano (gravitational force) na mengine yakiyofuata.

Diamond alianza muziki kwa wimbo wake maarufu wa Mbagala, mbele ya nyumba jalala. Huyu babu Tale aliyemuibua Diamond toka jalalani mbagala kumfikisha hapa alipo kuna ubaya gani kutunikiwa udaktari wa heshima?

Mbona hawa wanaoliangamiza taifa wakipewa hizo heshima hamsemi?

Have we lost our civility to this extent?

Acheni wivu. Babu Tale more than deserves that honor.
Jistukie sometimes! Ficha ujinga wako kidogo usiumwage sana kwa UMMA unazidi kujishusha we kilaza.

Watu kama kina Newton na wengineo ni CHOOSEN FROM GOD! Katafute kitabu cha watu mashuhuri zaidi wa pekee "100" walioletwa duniani kwa dhumuni/madhumuni maalum na mungu, kisha utulize akili umsome kila mmoja utaelewa.

Na ndomana karama walizojaaliwa na mungu wazilete ulimwenguni kwa nia fulani zinaishi miaka na miaka na zitaishi daima! Hata asingepewa au kutunukiwa chochote mpaka kesho kanuni na theory zake zitaishi.


DIamond ndio sababu ya mtu kupewa PhD...?! Tena kiongozi wa eneo fulani nchini... hivi una miaka mingapi na elimu gani jamaa?! Unachokieleza chenyewe hukijui! Nyimbo ya kwanza ya huyo kijana ni "nenda kamwambie" waliomtoa mpaka leo hasemeshani nao... sina hakika maana si mfuatiliaji sana ila najua ni bwana mmoja akiitwa "BOB JUNIOR" na ndo alimrekodia nyimbo kadhaa huyo kijana na kumpa moyo sana kwamba subra ndo kila kitu, atafanikiwa... badae akamuona FALA baada ya kupata, msemo wa MASIKINI AKIPATA MATAKO HULIA MBWATA ukadhihirika rasmi, na maneno tele kwenye vituo vya televisheni na redio kwamba BOB JUNIOR mara alimfanya, mara alimfanya vile... basi ilimradi tu. Watu mkaaminishwa ila tabia hiyo aliendelea kuidhihirisha yule kijana kwa watu kadhaa aliokuwa akifanya nao kazi na ushahidi upo.... HIVYO NI TABIA YAKE KUKATAA WATU NA KUWAZUSHIA MANENO AKISHAPATA.


Kingine ni Swala la rizq na kumtoa mtu ni bidii/jitihada yako na mungu... wengine ni njia ya wewe kufika destination maishani mwako.


Kwa mataifa yalioendelea na ya watu wenye akili timamu hiyo si hoja ya kuzungumza watu wangemtaka ajiuzuru mara moja!


Alijisemeaga "MIRAJI KIKWETE~ wabongo wengi hutumia matako kufikiri, vichwa ushahidi tu au muonekano"
 
Watu wanaitukana Elimu, ila wanaenda kununua PhD nje ili waitwe madoctor. Nilimsikia msukuma anasema kuwa Sasa ataenda kutoa lecture vyuo vikuu, kisa anaitwa Doctor.
Huyu Musukuma ukiacha hela ya kichawi aliyonayo atatoa lecture gani huyu kenge!
 
upuuzi huu tuilaamu ccm. iliendekeza kuteua watu wenye pdh...saa hiki kirusi kimeingia kila mahali hadi viongozi wa dini wengi wanaojiita madokta wametumia sadaka wakanunua udhalimu huu
Maccm ni hovyo Sana!
 
View attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500

Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Kwani huyu ni wa chama gani cha siasa?
Kama anatoka chama kubwa basi mh,spika ataelewa lugha inayoongelewa kwa miaka mingi kwamba hawa jamaa hawajambo kwa kufoji.
 
Semeni yote ila jina limeshabadilika,sasa hivi anaitwa Dokta Taletale,hatari sana kwa kweli...
 
PhD ziko 3 moja wapo ya heshima .

Wenye PhD za kuandika na tafiti ukifwatilia asilimia 50% feki za kusaidiwa kuandikiwa au kupasishwa leo wakiambiwa wafanye tena mitihani na kuandika tena tafiti ni 0%.

Kwa hiyo waliopata ya heshima wamepata kinachowauma nini ?
 
Sawa yeye ndo kasema... wewe kwanini utuletee hapa kauli hiyo ya kipuuzi?! Bilioni moja "1" anayolipa huyo bwana inakunufaisha wewe au walalahoi wa taifa hili unafkiri?!
Sasa huwezi nipangia cha kuleta hapa... Wewe ni nani upangie watu cha kuposti... Peleka stress zako za maisha huko.

Mtanzania anayelipa kodi 1 billion tsh kwa mwaka ni wa kumheshimu sana huo ni mshahara wa walimu wa degree 1176.

Hapo hatujaongeles vijana wa KiTZ aliowaajiri kwenye kampuni zake kuanzia
Wasafi BET
WASAFI MEDIA
WASAFI MUSIC
ETC
 
PhD ziko 3 moja wapo ya heshima .

Wenye PhD za kuandika na tafiti ukifwatilia asilimia 50% feki za kusaidiwa kuandikiwa au kupasishwa leo wakiambiwa wafanye tena mitihani na kuandika tena tafiti ni 0%.

Kwa hiyo waliopata ya heshima wamepata kinachowauma nini ?
Jamani mnisaidie kuna hili gazeti la TCU magazine january - june 2020 lenye kichwa cha habari "A reflection on honorary doctorate (Honoris Causa) award in Tanzania By Professor Joseph Kirende. Nimesoma hii article naona ni nzuri na imetoa mwongozo kwamba wenye digrii za heshima hawastahili kuitwa doctor....fulani sasa kwa nini waandishi wa habari bado wanawaita Doctors? Na hawa waliopewa PhD za heshima kwa nini wasikemee waandishi kuwaita Doctors? Kichekesho kingine kuna nchi fulani ilitoa Uprofesa wa heshima hapa Tanzania, nafikiri ni mara ya kwanza duniani kutolewa hii heshima, ni vema iingizwe kwenye Guiness world record book
 
Hujaangalia Bunge?.

Takriban dakika 30, zilikua zamotoo.

Nahisi Dr Taletale, alipatwa na muhalo 😂
afadhali umesema "muhalo", ungebadili tu l na kuwa r tungesikia harufu hapa. hizi digrii ziwe za kupewa au za kununua pia naamini Zina mpangilio wake wkt wa kuzitumia - kuna zinazotangulia kama ya Jina na kuna zinazokuja baada ya Jina ...nk. ingependeza zikitumika hivo pia
 
Back
Top Bottom