Hamissa Mobeto vs Wema Sepetu inaitwa rise and fall

Hamissa Mobeto vs Wema Sepetu inaitwa rise and fall

Waziri wa madini

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
379
Reaction score
466
Katika pitapita zangu huko mjengoni insta nkaona habari inatrend sana ya mlimbwende Hamisa Mobeto kutumbuiza Ikulu hadi mkulu kumsifia "kusifiwa na mkulu si mchezo" alisikika mtu mmoja akisema.

Nyota imemuwakia huyu mdada kila anachofanya kinanoga kila akigusa imoo kila anapokuwepo anaonekana ,sijui ndo muda wake au ndumba ila hali imekuwa tofauti upande wa pili kwa madame founder na CEO wa endless fame Sepenga sijui anakwama wapi

Bibie amekuwa mtu wa mahakamani kila kukicha mara skendo hii mara mama kampa laana mara shida hii mara tabu ile nafikiri wakati ushamtupa mkono.

Huu wakati wa kurise kwa Mobeto na kufall kwa Sepenga

Zingatia utumie muda kabla hali haija change somo kwa wadangaji wa mitandaoni pia
 
Anatembelea nyota ya Simba....

Amshukuru sana
 
Anatembelea nyota ya Simba....

Amshukuru sana
Hakuna Simba gani kale kanyau eti simba hujaona simba masimba ni hawa wafuatao ni Jay Z na Christian Bella .
Na huyo hamisa nyota wala haijamuwakia ni kamganda sana Christian Bella ndio akamchongea hiyo dili
 
Hakuna Simba gani kale kanyau eti simba hujaona simba masimba ni hawa wafuatao ni Jay Z na Christian Bella .
Na huyo hamisa nyota wala haijamuwakia ni kamganda sana Christian Bella ndio akamchongea hiyo dili
Kamgande na wewe akuchongee dili.team wema mnakwama wapi?madame amekonda Kama Fito kabaki kichwa tu.
 
Mtu kucha a post video za ngono, aitwe ikulu? Wema kwisha habari yako.

Usipate taabu kumjua mtu mpuzii, wewe angalia marafiki zake,

Hamisa ni rafiki Wa DC kidoti, wema marafiki zake wataje mwenyewe😁😁😁
 
Tokea alivyofanya video na diamond kama video vixen pale ndipo alipopandisha jina.Baada hapo alianza kujulikana Sana nchi nyingi + skendo ya kutoka na mondi me nilikuwa simjui happy kabla nimemjua baada ya hiyo video
 
Hakuna Simba gani kale kanyau eti simba hujaona simba masimba ni hawa wafuatao ni Jay Z na Christian Bella .
Na huyo hamisa nyota wala haijamuwakia ni kamganda sana Christian Bella ndio akamchongea hiyo dili
Kwanza kabisa ujui kuandika Cha pili ujui hata ulichoongea Ni Nini.Hamisa ameanza kupata umaarufu mkubwa baada ya kuwa video vixen wa wimbo wa Salome wa diamond + skendo za kutoka na diamond kabla ya hapo watu waliomfahamu walikuwa wachache diamond ni msanii mkubwa Africa na Kila anaye date lazima awe maarufu cos ndio msanii anayefatiliwa maisha yake kuliko msanii yoyote Africa mashariki na pia anafatiliwa Africa ndo maana baada ya hamisa kudate na mondi akajulikana east Africa, Nigeria, Zimbabwe,Zambia,Namibia etc so dada usipinge hata ukipinga huwez kubadilisha ukwel.
 
Acha wivu dada kwa mwanamke mwenzako
Tokea alivyofanya video na diamond kama video vixen pale ndipo alipopandisha jina.Baada hapo alianza kujulikana Sana nchi nyingi + skendo ya kutoka na mondi me nilikuwa simjui happy kabla nimemjua baada ya hiyo video
Kwanza kabisa ujui kuandika Cha pili ujui hata ulichoongea Ni Nini.Hamisa ameanza kupata umaarufu mkubwa baada ya kuwa video vixen wa wimbo wa Salome wa diamond + skendo za kutoka na diamond kabla ya hapo watu waliomfahamu walikuwa wachache diamond ni msanii mkubwa Africa na Kila anaye date lazima awe maarufu cos ndio msanii anayefatiliwa maisha yake kuliko msanii yoyote Africa mashariki na pia anafatiliwa Africa ndo maana baada ya hamisa kudate na mondi akajulikana east Africa, Nigeria, Zimbabwe,Zambia,Namibia etc so dada usipinge hata ukipinga huwez kubadilisha ukwel.
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]hamisa kashasoma mchezo sasa hivi, Najua kabisaa akicheza imekula kwake anajiweka kwa watu wazito tu!!!
Mtu kucha a post video za ngono, aitwe ikulu? Wema kwisha habari yako.

Usipate taabu kumjua mtu mpuzii, wewe angalia marafiki zake,

Hamisa ni rafiki Wa DC kidoti, wema marafiki zake wataje mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom