SIOGOPI LOLOTE
Member
- Apr 25, 2012
- 6
- 4
Za hapa jamani? Nimesikia sifa zenu njema kwa ujenzi wa Taifa hili. Nimeamua kwa dhati kujiunga nanyi. Nimechoka kutetea uozo. Naombeni kiti nikae niwasimulie ya Serikalini mwenu. ANGALIZO: sitaweka nyaraka kwakuwa nyingi nimeshiriki kuzisaini/kuzitengeneza