Hamjambo ?

Samahan wandugu.. Kwa anayejua jinsi ya know kupost anielekeze maana kila nikijaribu naambiwa u are not able to post anything.. Hata pm nayo I nagoma,, exceptionally ipo kwenye comment tuu

Msaada tafadhali
 
Ee unajua humu kuna kitu kinaitwa ban ni kama jela fulani hivi

Ban tena kwani kuna faida kuwep[o humu ? yaani ndio ukiwa banned utakosa nini ? mgen sijui vingi
 
Samahan wandugu.. Kwa anayejua jinsi ya know kupost anielekeze maana kila nikijaribu naambiwa u are not able to post anything.. Hata pm nayo I nagoma,, exceptionally ipo kwenye comment tuu

Msaada tafadhali

wakali humu yaani sio wamchezo mchezo mfano kuna futures hapa nahis hazifanyi kaz ila hata kuuliza mmm naogopa
 
Hujatoa like hata moja(acha ubahili),fikisha kwanza comment 30 ndio uanze hizo harakati
Samahan wandugu.. Kwa anayejua jinsi ya know kupost anielekeze maana kila nikijaribu naambiwa u are not able to post anything.. Hata pm nayo I nagoma,, exceptionally ipo kwenye comment tuu

Msaada tafadhali
 
Hamna bonans ila ukiwa na ka hela unaweza changia hii forums. Maelekezo yapo ukizurura sana utayaona

Hii platform iko tofauti kidogo na zingine kwanza naona futures baadhi nazipata leo tangia ni signup jana so ni vingi bado hum sijavipata
 
Wana jukwaa hamjambo ?

Jaman mimi mgen hum ndani natumaini mtanipa taratibu za hum jukwaani

nini napaswa kukisema na nini sipaswi kukisema

Asanteni wote natumai niko kwenye mikono salama
Tupiamo picha tukujuwe kwa sura.
 
Hujatoa like hata moja(acha ubahili),fikisha kwanza comment 30 ndio uanze hizo harakati

huku kweli sio pamchezo mchezo kumbe unatakiwa ku-like bila hivo kuna futures huwez pata ?
 
Mpaka uzoee ndio utavipata vingi. Pitia jukwaa la members only ukajifunze mengi.
Hii platform iko tofauti kidogo na zingine kwanza naona futures baadhi nazipata leo tangia ni signup jana so ni vingi bado hum sijavipata
 
Hahahahaa hamna namtania tu. Ila comment nyingi na ujanja unasaidia kupata unavyotaka
huku kweli sio pamchezo mchezo kumbe unatakiwa ku-like bila hivo kuna futures huwez pata ?
 
Tupiamo picha tukujuwe kwa sura.

Mdau tujulishe vile hii platform inafanya kazi kuliko sisi kuja kuharibu hum bila kujuwa maana sheria haitanitambua kwamba sikuwa najuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…