Si uumpe hata hiiView attachment 467601
so ukiwa na likes nyingi zinakurank up nshakupata
Hapa sio pamchezo mchezo ee ?
Hahahaha naona unaanza kuiva kwenye majibu shombo.nakushangaa wataka picha yamwanaume
Samahan wandugu.. Kwa anayejua jinsi ya know kupost anielekeze maana kila nikijaribu naambiwa u are not able to post anything.. Hata pm nayo I nagoma,, exceptionally ipo kwenye comment tuu
Msaada tafadhali
vipi lakin mwisho wa mwaka kuna bonas yoyote ?
Samahan wandugu.. Kwa anayejua jinsi ya know kupost anielekeze maana kila nikijaribu naambiwa u are not able to post anything.. Hata pm nayo I nagoma,, exceptionally ipo kwenye comment tuu
Msaada tafadhali
Hamna bonans ila ukiwa na ka hela unaweza changia hii forums. Maelekezo yapo ukizurura sana utayaona
Tupiamo picha tukujuwe kwa sura.Wana jukwaa hamjambo ?
Jaman mimi mgen hum ndani natumaini mtanipa taratibu za hum jukwaani
nini napaswa kukisema na nini sipaswi kukisema
Asanteni wote natumai niko kwenye mikono salama
Hapo hujatukana mkuu, matusi ni sawa na yale yaliyopo uraiani tu.mdau samahani ndio nishatukana au ?
Hii platform iko tofauti kidogo na zingine kwanza naona futures baadhi nazipata leo tangia ni signup jana so ni vingi bado hum sijavipata
huku kweli sio pamchezo mchezo kumbe unatakiwa ku-like bila hivo kuna futures huwez pata ?