Hamjambo ?

Hamjambo ?

hapo palikuwa na minus grammatical erroe nawewe kwa ujuwaji umechemka vile vile usahihi wake ni futures
Ngoja bibi faiza aje akuchape viboko !! Izo Shule mlienda kusomea nini ..
 
Wana jukwaa hamjambo ?

Jaman mimi mgen hum ndani natumaini mtanipa taratibu za hum jukwaani

nini napaswa kukisema na nini sipaswi kukisema

Asanteni wote natumai niko kwenye mikono salama
Njoo nikupakate🙂
 
utakuwa unapewa mtihani mmoja kila baada ya wiki... kwa kuanza nakupa task ya kusuluhisha bifu/mgogolo kati ya mshana jr na FaizaFoxy kila la kheri... ukifeli unakula life ban.
 
utakuwa unapewa mtihani mmoja kila baada ya wiki... kwa kuanza nakupa task ya kusuluhisha bifu/mgogolo kati ya mshana jr na FaizaFoxy kila la kheri... ukifeli unakula life ban.

kwenye utambulisho niliambiwa huku mnaitana mkuu kweli hata wewe ni mkuu mgen ndio anapewa usuluhish kweli ?
 
Ee anastahili ila mie mwenyewe nastahili like nne.

mkuu uliniambia nisigawe hovyo nilihisi nilipaswa like nikupe wewe tu ok kila pahali palipohitaj like shade nipite
 
Back
Top Bottom