Chase your dreams
Member
- Jul 27, 2024
- 87
- 630
Mimi nimemmisi siku hizi amekuwa adimu
Vipi nyie hamjammisi?
Vipi nyie hamjammisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko wapi?Yupo mzima kabisa
Unamaanisha kwamba??
MaghetoniUnamaanisha kwamba??
Vincenzo Jr ya kweli haya?😁Vicenzo jr alishamtorosha sahizi tunampata inbox sio jf tena
Ndo inavyonyeshaNaona mshana anasema 'yupo mzima kabisa' naamini atakua na mawasiliano nae nje ya hapa
Mkuu mruhusu aje kutujibu 😂😂Demu wangu huyo
Atakuja tu yupo na kitoto changu tumboniMkuu mruhusu aje kutujibu 😂😂
Unamkataza asichangie jamvin?Demu wangu huyo
Hapana hashiki sana simu kwakua yupo na mtoto wangu tumboniUnamkataza asichangie jamvin?