Hamna kesi za kijinga na za kupotezeana muda kama Kesi za Madai kwa sisi Hohehae...

Hamna kesi za kijinga na za kupotezeana muda kama Kesi za Madai kwa sisi Hohehae...

Mbuzi mee

Senior Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
156
Reaction score
217
1.Yaan unaingia gharama kutafuta wakili..
2. Inachukua muda kuendeshwa..

3. Nado ukishinda unalipwa kwa mafungu mafungu yaani inachukua muda mtu kumaliza kiasi unachomdai..

4. Ukishinda mdai anakata rufaa muda unazidi kwenda na ww unashida na hela yako..yaan daah

5. Dhamana zenyew wanazotupa tuliowakopesha nyingi ni manjilinji tukizipeleka mahakaman km ushahidi..km sio feki basi zimekopewa sehemu kibao au zina mgogoro

Yaan ningejua bora ningeendelea na ule utaratibu alivyokuwa ananilipa japo kwa kusumbuana mpaka sasa angekuwa kamaliza deni..ila sio kuja huku..
NB: kupitia kesi hii nimejifunza mengi kwa kukutana na wadai wenzangu,tena wengine vibopa ila cha moto wanakiona

Wadaiwa huku hugeuka wafalme..yaan kuna mwamba nlimsikia kwa masikio yangu akimwambia mdaiwa wake anaenda kumroga..baada ya kuona mambo hayaendi alafu hana cha kumfilisi mdaiwa..
 
Ata akishidwa kukulipa ,akipelejwa jela ,wewe ndio utatakiwa kulipa gharama za chakula akiwa uko jela.
 
Fungua microfinance ukopeshe kwa kutumia vitu vya ndani upate uzoefu wa kupanic.
 
Kuna fundi nilimpa kazi ya makabati ya nguo yale kujengea ukutani nikampa hela ya vifaa na advance...ndiyo kimoja...
Muda sina basi huyu kenge anatamba kitaani aisee...
 
Yaan hivyo tunavyoandikishiana ndivyo vinavyotutesa... Tena mimi huwa tunaandikishia kwa wanasheria kabsaa...ila siku ukienda mahakama uvitumie ndio utajua haujui( yaan ni manjilinji) km havina mgogoro basi kuna kesi sehemu nyingine ina unguruma..
Usidanganywe na dhamani ya hati za nyumba au magari
Uliza maafisa mikopo wa Bank mabalaa wanayokutana nayo kwenye hizi HATI

Hujawahi kutana na mtu yuko radhi afungwe asikulipe hela yako..

Kumdai mtu inatakiwa muandikishane na aweke rehani kitu hati, au kadi ya gari n.k
 
1.Yaan unaingia gharama kutafuta wakili..
2. Inachukua muda kuendeshwa..

3. Nado ukishinda unalipwa kwa mafungu mafungu yaani inachukua muda mtu kumaliza kiasi unachomdai..

4. Ukishinda mdai anakata rufaa muda unazidi kwenda na ww unashida na hela yako..yaan daah

5. Dhamana zenyew wanazotupa tuliowakopesha nyingi ni manjilinji tukizipeleka mahakaman km ushahidi..km sio feki basi zimekopewa sehemu kibao au zina mgogoro

Yaan ningejua bora ningeendelea na ule utaratibu alivyokuwa ananilipa japo kwa kusumbuana mpaka sasa angekuwa kamaliza deni..ila sio kuja huku..
NB: kupitia kesi hii nimejifunza mengi kwa kukutana na wadai wenzangu,tena wengine vibopa ila cha moto wanakiona

Wadaiwa huku hugeuka wafalme..yaan kuna mwamba nlimsikia kwa masikio yangu akimwambia mdaiwa wake anaenda kumroga..baada ya kuona mambo hayaendi alafu hana cha kumfilisi mdaiwa..
Mbona mimi ndugu yangu anadaiwa kafungwa miezi 6 na deni liko pale pale.
 
Sasa hapo hujaona ugumu uko pale pale...kuna faida gani kufungwa kwa mdai km si kumcheleweshea hela yake ....!! Hivi hujawahi kuna shida na hela na kuna hela ela unaidai mahala ambayo ingekusaidia sn ila unakuja ipata miaka mitatu tena kwa mbinde sana.. !!!!
Hiz kesi zinatakiwa kulinda muda na uharaka wa MDAI
Mbona mimi ndugu yangu anadaiwa kafungwa miezi 6 na deni liko pale pale.
 
Back
Top Bottom