Hamna nchi ngumu kubuni, kuanza na kuendeleza biashara kama Tanzania kwa sasa.

Hamna nchi ngumu kubuni, kuanza na kuendeleza biashara kama Tanzania kwa sasa.

Hao wageni wanafanya biashara gani? Kwanini wakimbia kama biashara inalipa?, hizo ni mbinu za msamaha ya kodi miaka ikiasha ya msamaha anakimbia, ila mzawa hawezi kusamehewa kodi. Kwanini?
hiyo hiyo unayoona wewe ni ngumu.
 
Unachosema ni sahihi kabisa,kuendesha biashara hapa nchini ni mtihani sana lkn tukakomaa tu hamna namna na ndio maa biashara zetu hazikui….maana ukikaa hv TRA hao,wakitoka watakuha FIRE,mara TBS ,mara LEVY,Mara LESENI yaani kuna utitiri wa vikodi ambavyo havina msingi kabisa.

Gharama za kufanya biashara hapa nchini ni kubwa sana!
 
Unachosema ni sahihi kabisa,kuendesha biashara hapa nchini ni mtihani sana lkn tukakomaa tu hamna namna na ndio maa biashara zetu hazikui….maana ukikaa hv TRA hao,wakitoka watakuha FIRE,mara TBS ,mara LEVY,Mara LESENI yaani kuna utitiri wa vikodi ambavyo havina msingi kabisa.

Gharama za kufanya biashara hapa nchini ni kubwa sana!
Nchi zote vipo lakini ni kodi rafiki

Tatizo wabunge wengi na mawaziri wengi ni watu waliotoka sekta ya kuajiriwa sio ya biashara au viwanda wamiliki

Nyerere mfano aluanza vizuri sana unakuta mawaziri wake wengi walitoka sekta binafsi husika wizara nyeti mfano 8nakuta viwanda au biashara na fedha anampa mhindi Amir Jamaa ambbaye wahindi wenzie ndio walio wengi na wenye pesa ukija afya unakuta muitaliano Katoliki Dr Leader string kama sikosei spelling whatever ambaye ni Daktari toka private sector kanisa katoliki likiwa linaongoza kwa kuwa na hospitali nyingi anapewa uwaziri

Ndio maana viwanda vingi sana vilijengwa

Sasa hivi tunasema nchi ina uwakilishi angalia mawaziri ni aibu hawatokani na sector zilizoko mtaani ni ma ex employees tu tena mengi ya serikali na wachache walikuwa waajiriwa private sector ndio maana wakishika wakikutana na wamiliki wanakuwa na inferiority complex na maamuzi wakitoa yanakuwa ya kijinga ya kujionyesha tu wao ni nani

Mwawaziri watoke sekta husika mfano kama ni usafirishaji wapewe watu kama shabby nk

Viwanda wapewe uwaziri watu kama Mo Dewji ,Akina Bakheresa huko nk

Fedha wapewe wamiliki sekta Binafsi ya fedha na nk

Kilimo na mifugo wapewe wanaolima na kufuga akina ASAS nk kuwa mawaziri

Wanaoijua sekta hizo practically

Hapo wakishika mipango itatulia kila kona sababu watataka sekta yao ikue kila mmoja kwa eneo lake na nchi itasongq mbele



Lakini kuendekeza kujaza hawa vibarua ex employees wa serikali kujaa bungeni na kuwapa uwaziri ni vigumu sana nchi kwenda mbele
 
Nchi zote vipo lakini ni kodi rafiki

Tatizo wabunge wengi na mawaziri wengi ni watu waliotoka sekta ya kuajiriwa sio ya biashara au viwanda wamiliki

Nyerere mfano aluanza vizuri sana unakuta mawaziri wake wengi walitoka sekta binafsi husika wizara nyeti mfano 8nakuta viwanda au biashara na fedha anampa mhindi Amir Jamaa ambbaye wahindi wenzie ndio walio wengi na wenye pesa ukija afya unakuta muitaliano Katoliki Dr Leader string kama sikosei spelling whatever ambaye ni Daktari toka private sector kanisa katoliki likiwa linaongoza kwa kuwa na hospitali nyingi anapewa uwaziri

Ndio maana viwanda vingi sana vilijengwa

Sasa hivi tunasema nchi ina uwakilishi angalia mawaziri ni aibu hawatokani na sector zilizoko mtaani ni ma ex employees tu tena mengi ya serikali na wachache walikuwa waajiriwa private sector ndio maana wakishika wakikutana na wamiliki wanakuwa na inferiority complex na maamuzi wakitoa yanakuwa ya kijinga ya kujionyesha tu wao ni nani

Mwawaziri watoke sekta husika mfano kama ni usafirishaji wapewe watu kama shabby nk

Viwanda wapewe uwaziri watu kama Mo Dewji ,Akina Bakheresa huko nk

Fedha wapewe wamiliki sekta Binafsi ya fedha na nk

Kilimo na mifugo wapewe wanaolima na kufuga akina ASAS nk kuwa mawaziri

Wanaoijua sekta hizo practically

Hapo wakishika mipango itatulia kila kona sababu watataka sekta yao ikue kila mmoja kwa eneo lake na nchi itasongq mbele



Lakini kuendekeza kujaza hawa vibarua ex employees wa serikali kujaa bungeni na kuwapa uwaziri ni vigumu sana nchi kwenda mbele
Tatizo kubwa ni kwamba creteria wanao tumia kutafuta Raisi ni mbovu wanaangalia mwenyenyekevu kwenye Chama, sio mwenye kujua masuala ya uchumi uzoefu kwenye biashara, mtu hajawahi kjmiliki biashara yoyote ila anapewa Uraisi wa nchi unategemea nini kwa mtu kama huyu.
 
Tatizo kubwa linaanzia bungeni wabunge wengi ni watu wanaotoka sekta ya ajira iwe binafsi au serikali na taasisi zake

Hawajui kabisa jinsi private sector inavyotakiwa kuwa wamejaa bungeni ma ex employees tu hadi mawaziri wamejaa ex employees
Bunge likibadilika composition tutaona mabadiliko
Hao ex employees mbona hata kutunga sera na miongozo bora ya elimu pia imekuwa mtihani, wao wanaweza nn sasa?
 
Nchi zote vipo lakini ni kodi rafiki

Tatizo wabunge wengi na mawaziri wengi ni watu waliotoka sekta ya kuajiriwa sio ya biashara au viwanda wamiliki

Nyerere mfano aluanza vizuri sana unakuta mawaziri wake wengi walitoka sekta binafsi husika wizara nyeti mfano 8nakuta viwanda au biashara na fedha anampa mhindi Amir Jamaa ambbaye wahindi wenzie ndio walio wengi na wenye pesa ukija afya unakuta muitaliano Katoliki Dr Leader string kama sikosei spelling whatever ambaye ni Daktari toka private sector kanisa katoliki likiwa linaongoza kwa kuwa na hospitali nyingi anapewa uwaziri

Ndio maana viwanda vingi sana vilijengwa

Sasa hivi tunasema nchi ina uwakilishi angalia mawaziri ni aibu hawatokani na sector zilizoko mtaani ni ma ex employees tu tena mengi ya serikali na wachache walikuwa waajiriwa private sector ndio maana wakishika wakikutana na wamiliki wanakuwa na inferiority complex na maamuzi wakitoa yanakuwa ya kijinga ya kujionyesha tu wao ni nani

Mwawaziri watoke sekta husika mfano kama ni usafirishaji wapewe watu kama shabby nk

Viwanda wapewe uwaziri watu kama Mo Dewji ,Akina Bakheresa huko nk

Fedha wapewe wamiliki sekta Binafsi ya fedha na nk

Kilimo na mifugo wapewe wanaolima na kufuga akina ASAS nk kuwa mawaziri

Wanaoijua sekta hizo practically

Hapo wakishika mipango itatulia kila kona sababu watataka sekta yao ikue kila mmoja kwa eneo lake na nchi itasongq mbele



Lakini kuendekeza kujaza hawa vibarua ex employees wa serikali kujaa bungeni na kuwapa uwaziri ni vigumu sana nchi kwenda mbele
Inawezekana ila sio kwa katiba tuliyonayo isee itakuwa majanga zaidi..
 
Back
Top Bottom