inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,Eti ungali hai unakatazwa usitumie pombe na usiwe mzinzi, lakini cha ajabu ukishakata umeme unaruhusiwa kutumia vyote, inabidi uzimie uzinduke kama mara trilioni hivi ndipo utaweza kuelewa huo mstari [emoji1787]
Wewe unamzidi Shekhe Kipozeo kwa Ilmu ya dini?Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo
Mathayo 26:29 BHN
Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”
Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
Bora hayo anayapata kashapotea duniani kuliko Comedy hizi.Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.
Je mwanamke atapewa nini?
Kumbe unamsikiliza Kipozeo na kwako wewe ndiyo unamuona mbobevu?Wewe unamzidi Shekhe Kipozeo kwa Ilmu ya dini?
Mwanazuoni mbobevu Alhaji Kipozeo ametuhakikishia tutapewa BIKRA 72 na nguvu za kula wanawake 100 kwa siku.
Wewe ni nani hata upinge hayo?
Kumbe unamsikiliza Kipozeo na kwako wewe ndiyo unamuona mbobevu?Wewe unamzidi Shekhe Kipozeo kwa Ilmu ya dini?
Mwanazuoni mbobevu Alhaji Kipozeo ametuhakikishia tutapewa BIKRA 72 na nguvu za kula wanawake 100 kwa siku.
Wewe ni nani hata upinge hayo?
Mkristo akiingia msikitini tayari wote waliopo pale wnajulikana ni dini flani kinyume chake.Mwamnani wa pale kawe ana waisilamu wengi sana pale huyo ni mfano tu
Manabii wote wa mchongo wana waisilamu kibao
Lakini wakristo wanatapeliwa kirahisi kivipi
Wakati wao ndiyo matapeli hayo mathehebu ya kitapeli hayana mfungamano na ukristo kwa sababu hizo ni fursa watu wameziona na kisheria ni halali basi kila mtu anajifanyia anavyojiskia
Tatizo wanawaamini watu wanaacha kusoma muongozo wao ambao ni biblia.Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo
Mathayo 26:29 BHN
Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”
Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
Kwahiyo anaweza toa maneno yake ya Tandale kwa tumbo kwenye mhadhara na maulamaa wakakaa kimya tu?Kumbe unamsikiliza Kipozeo na kwako wewe ndiyo unamuona mbobevu? Huku sisi huwa hatumsikilizi mtu bali rejea kwenye vitabu. Sio kama nyie vitabu hamsomi Bali unakichukua kama kilivyo kisa Gwajima
Aise Buji Buji ahsante sana kwa kuleta mada hii.Ninachowashangaa wakristo pengine tunaweza kusema ndio waliosoma elimu dunia kuliko waislam lakini mkristo kumuingiza mkenge ni rahisi sana kuliko muislam.View attachment 2138109Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.
Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.
Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.
Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.
Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?
Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.
Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.
Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.
Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Nasubiria. Nyie mnadanganywa mbinguni kutakuwa na kuimba na kucheza tu.Kwahiyo anaweza toa maneno yake ya Tandale kwa tumbo kwenye mhadhara na maulamaa wakakaa kimya tu?
Ngoja nikuletee aya na hadithi shekhe
Wengi hawajui maandiko. Wao wanafuata mambo ya kusikia tu.Tatizo wanawaamini watu wanaacha kusoma muongozo wao ambao ni biblia.
Si kila Mkristo ni Mkristo.View attachment 2138109Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.
Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.
Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.
Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.
Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?
Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.
Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.
Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.
Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo