Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Ndio maana yake. Mkristo OG humkuti anapumbazwa na maujinga ujinga. Cheki hii kitu aliyosema Yesu ambaye ndiye mmiliki wa Ukristo:

"Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,yeye anifuataye mimi hatakwenda gizani kamwe bali atakuwa na nuru ya uzima" YOHANA 8:12

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Amina
 
Eti ungali hai unakatazwa usitumie pombe na usiwe mzinzi, lakini cha ajabu ukishakata umeme unaruhusiwa kutumia vyote, inabidi uzimie uzinduke kama mara trilioni hivi ndipo utaweza kuelewa huo mstari [emoji1787]
Huo mstari unapatikana wapi, kiongozi..?!
 
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,

Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Nani kakudanganya pombe haina madhara wewe mfia dini?

Kisukari, kuugua ini hakutokani na pombe [emoji848][emoji28]
 
Eti ungali hai unakatazwa usitumie pombe na usiwe mzinzi, lakini cha ajabu ukishakata umeme unaruhusiwa kutumia vyote, inabidi uzimie uzinduke kama mara trilioni hivi ndipo utaweza kuelewa huo mstari [emoji1787]
Naona mnahamisha magoli hahaha haa chuki ni mbaya sanaaa
 
Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo


Mathayo 26:29 BHN​

Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”

Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
Umemaliza mjadala.
 
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,

Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Umeelezea vizuri,na wamekuelewa.
 
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,

Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Ahera zinaenda roho siyo miili, ya kula na kunywa yanaishia hapahapa.
 
Halafu wenyewe wanahisi wanatatua tatizo. Huu ukweli wanatakiwa kuufanyia kazi, aisee hawa watu wanatapelika kirahisi sana, mpaka unajiuliza hata kuona hawaoni au hawahoji ? Kingine ajabu mpaka Wanaume wa huko aisee wanapelekwa pelekwa na mtoto wa kike, wakati sisi wanaume ndiyo wasimamizi wa Wanawake.

Hawapendi kuambiwa ukweli hata kama wanaangamia
Ni kama wacheza kamari hawa hawa uwaambie nini

Mada ni kuhusu wao halafu wanaukimbia ukweli wanaanza kutukana wengine

Guys wake up and smell the coffee waambie [emoji23][emoji23]

Hawa wanaamini mtu mwingine anaweza kuwafutia madhambi kwa kuombewa badala waombe wenyewe
 
Aise Buji Buji ahsante sana kwa kuleta mada hii.Ninachowashangaa wakristo pengine tunaweza kusema ndio waliosoma elimu dunia kuliko waislam lakini mkristo kumuingiza mkenge ni rahisi sana kuliko muislam.

Waislam si wongo sio watu wa kuwaingiza mkenge pamoja na kwamba tunadai hawana elimu dunia kubwa kwa wingi.

Je ulishasikia muislam anajiita nabii? au mtume nadhani akitokea kichwa na shingo yake itagombewa kama mpira wa kona.Uislam nimegundua sio dini ya kinafiki .Ona babu wa Loliondo marehemu RIP alivopagawisha watu.

Buji Buji wanawake ndio wahanga wa hili tatizo imefikia mahali nina mpango wa kumpa talaka mke wangu nikimpa matumizi pesa zote anapeleka huko.Nyumba yangu imegeuzwa kanisa na makelele.

Nilimpa uhuru wa kuabudu lakini unanitokea puani.
Una hoja kuhusu watu kujiita manabii, tokea awali, mtu hata akijiita nabii ni yeye na Mungu wake, muda hufika na kama ni unabii wa uongo basi hupotea. Uislam ni dini ya kujichukulia hatua mkononi, mtu akisema Mohammad hakuwa mtume au vipi, badala ya kumwacha huyo Mohammad ajidhihirishe huko aliko, utaona watu wanachinjwa, wanapigwa etc. Katika ukristu ni Mungu anawapigania watu ila katika Uislam ni watu wanampigania Mungu.
Zaidi kwa akili yako unaamini Mungu anaweza kuandaa pepo ambapo mtu anapewa wanawake bikra 72 na mito ya pombe ?? Huyu Mungu itakuwa amefungua danguro.
Ukifanya tathmini ya haki kabisa utagundua Uislam si zaidi ya tamaduni za kiarabu, zilizojengwa katika chuki ya dini nyingine na wivu wa kimapenzi.
 
Mwamnani wa pale kawe ana waisilamu wengi sana pale huyo ni mfano tu

Manabii wote wa mchongo wana waisilamu kibao

Lakini wakristo wanatapeliwa kirahisi kivipi

Wakati wao ndiyo matapeli hayo mathehebu ya kitapeli hayana mfungamano na ukristo kwa sababu hizo ni fursa watu wameziona na kisheria ni halali basi kila mtu anajifanyia anavyojiskia
Sasa kwanini hao manabii wasifungue na misikiti na kuendelea kupiga fursa maana kama waislamu wanaenda kwenye makanisa kufuata hizo huduma zao maana waislamu nao ni fursa hivyo wangejenga misikiti ili wawapate vizuri waislamu wengi kuliko sasa wengine wanaogopa kwenda huko makanisani wataonekana na ndugu zao?
 
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,

Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Ukilewa duniani na kumuomba boda boda akupeleke nyumbani kuna tatizo kwani
 
Japo hizi mada zimekua nyingi mpaka zinaogopesha.

Ni kwamba watu wameanza kujitambua au ni mwendelezo wa yule shetani kuvuruga waumini?
Hizi ni mada za jamii forums huwa zipo siku zote tu, mtu anaponda dini za wazungu ila anataka tuabudu mizimu na ukimuhoji anakwambia ushaharibiwa akili na dini za wazungu na kudharau asili yako. Kwahiyo hakuna cha watu kujitambua hapa mkuu bali ni jitihada za imani za waabudu mizimu katika kufanyia matangazo imani yao hiyo.
 
Back
Top Bottom