Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Mwanzo 9:20-23
[20]Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
And Noah began to be an husbandman, and he planted a vineyard:
[21]akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
And he drank of the wine, and was drunken; and he was uncovered within his tent.
[22]Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
And Ham, the father of Canaan, saw the nakedness of his father, and told his two brethren without.
[23]Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
And Shem and Japheth took a garment, and laid it upon both their shoulders, and went backward, and covered the nakedness of their father; and their faces were backward, and they saw not their father's nakedness.
Unadhani kwanini Mungu kakuagiza uwe na kiasi kwa kila jambo?

Au unadhani ukila kupita kiasi huwezi kupata madhara?

Hivyo basi hata ukinywa divai, juisi, n.k lazima uathirike sababu hujatumia hicho kinywaji kwa kiwango cha afya isipokuwa umezidisha tokana na tamaa zako binafsi.
 
Za kuambiwa changanya na za kwako, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Wewe unamzidi Shekhe Kipozeo kwa Ilmu ya dini?

Mwanazuoni mbobevu Alhaji Kipozeo ametuhakikishia tutapewa BIKRA 72 na nguvu za kula wanawake 100 kwa siku.

Wewe ni nani hata upinge hayo?

Kafiri yamekufika leo [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Njooo katoro geita uone wanavyopigwapigwa wapiga kura wa nchi hii hadi huruma
 
Hizi ni mada za jamii forums huwa zipo siku zote tu, mtu anaponda dini za wazungu ila anataka tuabudu mizimu na ukimuhoji anakwambia ushaharibiwa akili na dini za wazungu na kudharau asili yako. Kwahiyo hakuna cha watu kujitambua hapa mkuu bali ni jitihada za imani za waabudu mizimu katika kufanyia matangazo imani yao hiyo.
Pomoja na hilo ndugu yangu kuna kau kweli fulani hivi kama wasilishwa, ujue ukweli mara nyingi huchelewa sana.

Kujua hilo jaribu kuangalia mapokeo ya dini huko kwao na huku kwetu, kule bwana hawana nia ya kwenda tena kanisani.
 
Hapna Boss inafikirisha snaa ivi umuombe Mt Nani sijui akuombeee wakati labda babu zako walifariki au Baba au mama akuombee kuna tofauti gani sasa na matimbiko kama sis wachaga kuomba babu zetu watupe baraka Kwa kuchinja mbuzi kama sadaka na kunywa mbege wao ni haki sisi siyo haki
Kuna mila fulani kule uchagani ya kufukua masalia ya marehemu baada miaka kadhaa ya kuzikwa.

Hili limekua likipingwa vikali na dini kwamba ni kama ushirikina au mila potofu.

Kule Vatican baada ya mchakato wa kumtangaza mtu kua mtakatifu kinacho fuatia ni kufukua masalia yake na kuyaweka sehemu rasmi kwa ajili ya kufanya maombi.


Kwa mfano likiwapo kanisa jipya linaloitwa kwa jina la mtakatifu fulani huchukuliwa masalia ya mtakatifu huyo na kuwekwa kwenye madhabahu, wanaita kutabaruku.

Kwao sio shida ibada kama hizo lakini fanya wewe sasa ushuhudie kutengwa.
 
We Wakala wa shetwani shindwa kwa jina la Yesu.

Hiyo ni damu wala si pombe, usirudie tena kujizima data kichwani mwako.



MATHAYO 26:26-29

"Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Nyweni nyote katika hiki;
kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.

Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu."
Kumbe damu ya Yesu. Wanauza wapi na sisi tukanunue?
 
Pomoja na hilo ndugu yangu kuna kau kweli fulani hivi kama wasilishwa, ujue ukweli mara nyingi huchelewa sana.

Kujua hilo jaribu kuangalia mapokeo ya dini huko kwao na huku kwetu, kule bwana hawana nia ya kwenda tena kanisani.
Sasa hapo ukweli ni upi ni kwamba kuacha tu dini ndio ukweli? Nilifikiri wanafuata imani za mizimu yao.
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo

Mkuu tofautisha ukristo na cults. Sio kila dhehebu Ni la kikristo . Ulishawahi kuona kanisani watu wanaucheza dansi au kuita roho za wafu?. Sio kila imani kiss siyo ya kiislam tunaipeleka kuwa Ni ya kikristo.
 
Mkuu tofautisha ukristo na cults. Sio kila dhehebu Ni la kikristo . Ulishawahi kuona kanisani watu wanaucheza dansi au kuita roho za wafu?. Sio kila imani kiss siyo ya kiislam tunaipeleka kuwa Ni ya kikristo.
Sijakuelewa, naomba uandike ukiwa umetulia, mara dansi mara kiss mara kiislam
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Vipi na wakina Aisha, Fatuma, Hassan, Ally, Khatib na wengineo hawajapigwa bado
 
Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.

Je mwanamke atapewa nini?
Magaidi ya isis sijui wapo bikra ya ngapi,maana putin alisema Kazi yake kubwa ni kuyapeleka kuzimu magaidi
 
Bado dini inayo nafasi kubwa Sana kuleta amani katika jamii. Mtu aliyeshika dini ustaarabika
 
Wote tu nyie mmeshikiwa akili Kuna wengine Mungu anajua kiarabu tu ukisali kwa kiswahili haifai , ukivaa Kama waarabu ndo upo kwenye Imani , ukisalimia kiarabu ndo upo sahihi, mmeacha Mungu wa Babu zenu na kufuata tamaduni za ulaya na uarabuni , nyie wote Ni pipa na mfuniko
 
Aise Buji Buji ahsante sana kwa kuleta mada hii.Ninachowashangaa wakristo pengine tunaweza kusema ndio waliosoma elimu dunia kuliko waislam lakini mkristo kumuingiza mkenge ni rahisi sana kuliko muislam.

Waislam si wongo sio watu wa kuwaingiza mkenge pamoja na kwamba tunadai hawana elimu dunia kubwa kwa wingi.

Je ulishasikia muislam anajiita nabii? au mtume nadhani akitokea kichwa na shingo yake itagombewa kama mpira wa kona.Uislam nimegundua sio dini ya kinafiki .Ona babu wa Loliondo marehemu RIP alivopagawisha watu.

Buji Buji wanawake ndio wahanga wa hili tatizo imefikia mahali nina mpango wa kumpa talaka mke wangu nikimpa matumizi pesa zote anapeleka huko.Nyumba yangu imegeuzwa kanisa na makelele.

Nilimpa uhuru wa kuabudu lakini unanitokea puani.
Wote mmeingizwa mkenge tu Ni pipa na mfuniko
 
Back
Top Bottom