Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Wote tu nyie mmeshikiwa akili Kuna wengine Mungu anajua kiarabu tu ukisali kwa kiswahili haifai , ukivaa Kama waarabu ndo upo kwenye Imani , ukisalimia kiarabu ndo upo sahihi, mmeacha Mungu wa Babu zenu na kufuata tamaduni za ulaya na uarabuni , nyie wote Ni pipa na mfuniko
Kwanini usituambie tutafute Mungu wetu wenyewe na badala yake unataka tufuate Mungu wa mababu zetu? Kwahiyo sisi hatuwezi kutafuta Mungu wetu wenyewe kama hao wazee walivyotafuta Mungu wao kwa kipindi chao?
 
Hizi dini zilekebishwe ziendane na mazingira ya sasa na mahitaji ya wakati huu kulingana najamii husika.

Kingine ukristo ni dini ya upendo na amani..kila mtu amepewa free will mana tumepewa nja mbili ya uzima na upotevuni..kila kitu kimewekwa wazi ni uchaguzi huru.

Tofauti na dini nyingine zimejaa chuki..fitina mauaji..utengano husuda kwa waumini wake wanaofunguka akili ili kutoka vifungoni..kwa kutishiwa uhai na kutengwa na watu wao..kulazimisha wengine wajiunge dini yao wakikataa ni kuuwawa..absurd.

Mungu ubariki ukristo..dunia ni sehemu salama sana chini ya ukristo.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hujawahi kusikia kesi za watu waliyokuwa wakristo wakabadili na kutengwa na familia zao kisa kubadili dini?
 
Kwanini usituambie tutafute Mungu wetu wenyewe na badala yake unataka tufuate Mungu wa mababu zetu? Kwahiyo sisi hatuwezi kutafuta Mungu wetu wenyewe kama hao wazee walivyotafuta Mungu wao kwa kipindi chao?
Unaweza kumtafuta Mungu wako wewe peke yako sema tuanze na hapo kwanza tunapojitakataa mwenyewe
 
Kukiona hivyo hawana uhuru wa kuchagua..wamefungwa kwenye vitisho vya kifo na kutengwa..ni dini iliyotengeneza mazezeta na mazuzu zaidi..kiufupi ni wafungwa wa kiakili wasio jitambua na vikwazo vingi..wengi wanatamani kutoka ili vitisho vimewapoteza wengi ndio mana wanaishi kinafiki sana.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu unaongelea Tz au wapi? Mbona kuna yule mwiimbaji wa kwaya alikuwa muislamu ila sasa amebadili dini na anaimba kwaya na sijawahi kusikia kusema akifanyiwa vitisho, na wapo wengine maarufu waliyobadili dini na wanaishi vizuri bila kutishwa na yeyote.
Njoo home huku nikuoneshe jirani yangu aliyekuwa muislamu na sasa kafuata dini ya mkewe kutwa anasikiliza kwaya na maisha yanaendelea.
 
Unaweza kumtafuta Mungu wako wewe peke yako sema tuanze na hapo kwanza tunapojitakataa mwenyewe
Hata wewe unachangia huko kujikataa ndio maana unatangaza Mungu wa wazee wetu badala ya kutuambia tujitafutie na sisi wa kwetu na sio Mungu wa urithi.
 
Uislamu ni kopy ya uyahudi na ukristo..iliyochakachuliwa na wajanja kwa maslahi yao..ndio mana falsafa yake imejaa mawazo ya binadamu zaidi wala haijajengwe kwenye misingi ya kimungu...ndiomana waumini wake wanampambania mungu badala ya mungu kujipambania mwenyewe...kwasababu haijatoka kwa Mungu imetoka kwenye mawazo potofu ya wana damu.

#MaendeleoHayanaChama
Uislamu umekopy nini kwenye ukristo utatu au mafunzo ya Paulo?
 
Hata wewe unachangia huko kujikataa ndio maana unatangaza Mungu wa wazee wetu badala ya kutuambia tujitafutie na sisi wa kwetu na sio Mungu wa urithi.
Siwez kukuhamasisha kumtafuta Mungu kwa sababu Mungu wako unamjua pia unajua alikutuma Nini huku , ninacholenga Mimi Ni kukubali tamaduni za watu na kuacha za kwetu hizo dini zote Ni tamaduni ngeni huku Africa babu zetu walilazimishwa mpka kwa kumwaga damu kufuata hizo tamaduni Ila sisi wajukuu tunauana wenyewe kisa tamaduni za watu
 
Siwez kukuhamasisha kumtafuta Mungu kwa sababu Mungu wako unamjua pia unajua alikutuma Nini huku , ninacholenga Mimi Ni kukubali tamaduni za watu na kuacha za kwetu hizo dini zote Ni tamaduni ngeni huku Africa babu zetu walilazimishwa mpka kwa kumwaga damu kufuata hizo tamaduni Ila sisi wajukuu tunauana wenyewe kisa tamaduni za watu
Tamaduni zipi hizo mkuu tunazofuata ambazo ni tamaduni za watu wengine kupitia hizi dini? hebu zitaje.
 
Ungetaja ingekuwa vizuri tukazijadili, maana isije ukawa unachanganya mambo ya dini na mambo ya tamaduni.
Naomba nikuulize swal kabla ya kukujibu , Africa kabla ya ukoloni fikra zetu kumuhusu Mungu Ni zipi? Je tulikua tuna Imani zetu?
 
Wewe unamzidi Shekhe Kipozeo kwa Ilmu ya dini?

Mwanazuoni mbobevu Alhaji Kipozeo ametuhakikishia tutapewa BIKRA 72 na nguvu za kula wanawake 100 kwa siku.

Wewe ni nani hata upinge hayo?
Mbona mnashindwa kuelewa,wapi alipokwambia amepinga?
 
Naomba nikuulize swal kabla ya kukujibu , Africa kabla ya ukoloni fikra zetu kumuhusu Mungu Ni zipi? Je tulikua tuna Imani zetu?
Ndio walikuwa wanaamini wanayoamini kipindi chao hicho kama ilivyokuwa huko kwa wazungu na waarabu nao walikuwa na wanayoyaamini kutoka kwa mababu zao kabla ya hizi dini.
 
Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.

Je mwanamke atapewa nini?
Mwanamke atapewa vidume handsome 72 wenye six pack, halafu wenye hela[emoji1787]
 
Ndio walikuwa wanaamini wanayoamini kipindi chao hicho kama ilivyokuwa huko kwa wazungu na waarabu nao walikuwa na wanayoyaamini kutoka kwa mababu zao kabla ya hizi dini.
Wao wakatoa manabii kutoka kwao wakaleta dini sisi wakatuleta din zao baada ya kuja kutuchukua utajir wetu na kutuchukua Kama watumwa hizo din hazikuja kwetu kwa Nia njema iweje Leo ziwe na Nia njema kwetu?
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Haahahaaha.... Aise hii kali😂😂😂😅😅🤣🤣😂😂😅🤣
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
"Sio kila mzungu padri wengine wananyonya damu" huu msemo siwezi kuusahau
 
Back
Top Bottom