Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Kwa mtaji wa turubai na viti vya plastick na maneno matamu utapiga hela na kula wake
 
Wanawake hawana lao, halafu eti ni haki, kwanini Wanawake wasipewe haki yao wa kuolewa nawanaume 72 mashababi?
Ktk hili mkuu ni ngumu kidogo, mfano wewe mwenyewe hapo ukiambiwa mke wako aruhusiwe hapa duniani kuwa na wanaume 72 hapa duniani hutokubali.
 
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,

Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
[emoji16][emoji16] Hoja nyepesi ktk Swali gumu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Hata zamuradi amekula sana pesa za kondoo hadi sirikati imeingilia kali
Sijakosea hivyo hivyo sirikati imeingilia kali
IMG-20220305-WA0002.jpg
 
Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo


Mathayo 26:29 BHN​

Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”

Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
Halaf divai siyo alcohol acheni kuwatapeli watu kifikra.
 
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,

Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Akili ya mtu hupelekea kufanya huo upumbavu unaouongelea sio kilevi. Hivi wewe unadhani ni wote ambao wanafanya huo upumbavu wakilewa?

Mfano mzuri ni Mama yangu mkubwa, huwa akilewa anaenda kujipumzikia ndani hiwezi kusikia anabwabwaja kuongea upumbavu.

Mwingine ni Baba yangu, yeye kwanza hanywi sana kwasababu ufahamu aliyopewa na MUNGU unamsaidia kutambua madhara ya excessive use of alcohol so huwa anatumia kiasi then anaenda kujipumzikia ndani.

Ugaigai wote unaofanywa na walevi ni matumizi mabaya ufahamu ambao ni zawadi kutoka kwa MUNGU.

Usilete ujinga wa kusema eti mbinguni watu wakilewa hawawezi kuleta maafa kwanza nani amekwambia watalewa? nani amekwambia mbinguni kuna bia? Nani amekwambia mbinguni kuna gongo,henessy na mapombe mengine?

Acheni kupotosha watu matapeli wa kifikra nyiee!!
 
hili sio suala la dini mkuu ni suala la watu kuwa wepesi wa kuaminishwa kutokana na maswahibu wanayokutana nayo kwenye maisha.

Watu wanapitia mengi haswa changamoto za kipato na magonjwa, ni katika hizi dini watu wanapata sehemu ya kupumulia wakipewa afuheni kupitia miujiza na maneno matamu ya kuwapa matumaini ya kuendelea kuishi tena

ni katika haya makanisa watu wanapatiwa watu wa kuwalaumu kutokana na matatizo yao huku wakiepuka mchango wao kwa yanayowakuta hivyo, kuwapa afuheni kihisia "umerogwa na mama yako lakini usijali tutakusaidia"

Ni nadra kukuta matajiri, wanaume wanaotumia zaidi logic kutatua matatizo yao kuliko hisia au watu wanaopata msaada sahihi haswa wa mental issues wakilowea huku

zamani watu wengi walikimbilia kwa waganga na sasa wanakimbilia kwenye haya makanisa
Nice
 
Hapna Boss inafikirisha snaa ivi umuombe Mt Nani sijui akuombeee wakati labda babu zako walifariki au Baba au mama akuombee kuna tofauti gani sasa na matimbiko kama sis wachaga kuomba babu zetu watupe baraka Kwa kuchinja mbuzi kama sadaka na kunywa mbege wao ni haki sisi siyo haki

Shetani anao uwezo wa kuchukua sura na roho ya mtu au ndugu yako aliekufa na kujifanya ndie yeye.Kutambika ni ibada ya kuzimu kuchinja mnyama ni kafara ya damu ile damu inayomwagika ni chakula cha shetani kwa lengo la kuimarisha maagano Kati ya mwanadamu na shetani kwa kuunganishwa na damu. Kinachofanyika pale ni kumuabudu shetani kupitia kivuli cha ndugu. Mtu akishakufa hana msaada tena hata kuwaomba watakatifu yote ni kumuabudu shetani. Mizimu ni wakuu wa giza wanaotawala eneo fulani mfano ukoo, familia, eneo. Mizimu ni mashetani yanayovaaa roho z marehemu waliokufa na ujua historia au asili ya familia au kizazi fulani
 
Halaf divai siyo alcohol acheni kuwatapeli watu kifikra.
Uzuri wake mi sipendi kubishana. Nakuwekea rejea katika biblia.


Isaya 5:11-12 BHN​

Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema wapate kukimbilia kunywa kileo; wanaokesha hata usiku, mpaka divai iwaleweshe! Katika karamu zao, hapakosekani vinubi, zeze, matari, filimbi na divai. Lakini hawajali matendo ya Mwenyezi-Mungu, wala kuzitambua kazi za mikono yake.
 
Wao wakatoa manabii kutoka kwao wakaleta dini sisi wakatuleta din zao baada ya kuja kutuchukua utajir wetu na kutuchukua Kama watumwa hizo din hazikuja kwetu kwa Nia njema iweje Leo ziwe na Nia njema kwetu?
Dini hizo hazikuja afrika tu pekee yake sasa iweje wewe muafrika ndio uone umeundiwa hizo dini na kuletewa kwa nia mbaya mbona jamii zengine hazioni hivyo? Kuna wakati huwa mnanishangaza kweli sijui huwa mnafikiria vp.
 
Dini hizo hazikuja afrika tu pekee yake sasa iweje wewe muafrika ndio uone umeundiwa hizo dini na kuletewa kwa nia mbaya mbona jamii zengine hazioni hivyo? Kuna wakati huwa mnanishangaza kweli sijui huwa mnafikiria vp.
Nione nimeundiwa kwa Nia mbaya ?!!! Unafahamu vitangulizi vya ukoloni Africa?
 
Back
Top Bottom