Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ktk hili mkuu ni ngumu kidogo, mfano wewe mwenyewe hapo ukiambiwa mke wako aruhusiwe hapa duniani kuwa na wanaume 72 hapa duniani hutokubali.Wanawake hawana lao, halafu eti ni haki, kwanini Wanawake wasipewe haki yao wa kuolewa nawanaume 72 mashababi?
[emoji16][emoji16] Hoja nyepesi ktk Swali gumu.Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,
Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Pesa yako atakula sangoma ni swala la muda tu.Mimi aisee mtu hali pesa yangu kirahisi hivyo
We mwenyewe tapeli mwenzetu tu, halafu unaleta unafiki humu kujiona kondoo kumbe ni mbwa mwitu boya tu.Manabii wanawapigeni sana hela na viungo vya uzazi pia
Kweliiii?Nimeipenda argument yako
Kwa uwezo wa mnyaazi Mungu nirakubali kwa roho safi kabisaKtk hili mkuu ni ngumu kidogo, mfano wewe mwenyewe hapo ukiambiwa mke wako aruhusiwe hapa duniani kuwa na wanaume 72 hapa duniani hutokubali.
Halaf divai siyo alcohol acheni kuwatapeli watu kifikra.Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo
Mathayo 26:29 BHN
Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”
Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
Akili ya mtu hupelekea kufanya huo upumbavu unaouongelea sio kilevi. Hivi wewe unadhani ni wote ambao wanafanya huo upumbavu wakilewa?Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,
Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Nicehili sio suala la dini mkuu ni suala la watu kuwa wepesi wa kuaminishwa kutokana na maswahibu wanayokutana nayo kwenye maisha.
Watu wanapitia mengi haswa changamoto za kipato na magonjwa, ni katika hizi dini watu wanapata sehemu ya kupumulia wakipewa afuheni kupitia miujiza na maneno matamu ya kuwapa matumaini ya kuendelea kuishi tena
ni katika haya makanisa watu wanapatiwa watu wa kuwalaumu kutokana na matatizo yao huku wakiepuka mchango wao kwa yanayowakuta hivyo, kuwapa afuheni kihisia "umerogwa na mama yako lakini usijali tutakusaidia"
Ni nadra kukuta matajiri, wanaume wanaotumia zaidi logic kutatua matatizo yao kuliko hisia au watu wanaopata msaada sahihi haswa wa mental issues wakilowea huku
zamani watu wengi walikimbilia kwa waganga na sasa wanakimbilia kwenye haya makanisa
HakikaKweliiii?
Basi kheri!Hakika
We mwenyewe tapeli mwenzetu tu, halafu unaleta unafiki humu kujiona kondoo kumbe ni mbwa mwitu boya tu.
Jamaa zangu wengi niliosoma nao Chuo ni mapastor Kwa sasa na hawatak kusikia msamiati ajiraHasa wanawake
Graduates dini biashara changamkeni
Hapna Boss inafikirisha snaa ivi umuombe Mt Nani sijui akuombeee wakati labda babu zako walifariki au Baba au mama akuombee kuna tofauti gani sasa na matimbiko kama sis wachaga kuomba babu zetu watupe baraka Kwa kuchinja mbuzi kama sadaka na kunywa mbege wao ni haki sisi siyo haki
Uzuri wake mi sipendi kubishana. Nakuwekea rejea katika biblia.Halaf divai siyo alcohol acheni kuwatapeli watu kifikra.
Dini hizo hazikuja afrika tu pekee yake sasa iweje wewe muafrika ndio uone umeundiwa hizo dini na kuletewa kwa nia mbaya mbona jamii zengine hazioni hivyo? Kuna wakati huwa mnanishangaza kweli sijui huwa mnafikiria vp.Wao wakatoa manabii kutoka kwao wakaleta dini sisi wakatuleta din zao baada ya kuja kutuchukua utajir wetu na kutuchukua Kama watumwa hizo din hazikuja kwetu kwa Nia njema iweje Leo ziwe na Nia njema kwetu?
Nione nimeundiwa kwa Nia mbaya ?!!! Unafahamu vitangulizi vya ukoloni Africa?Dini hizo hazikuja afrika tu pekee yake sasa iweje wewe muafrika ndio uone umeundiwa hizo dini na kuletewa kwa nia mbaya mbona jamii zengine hazioni hivyo? Kuna wakati huwa mnanishangaza kweli sijui huwa mnafikiria vp.