Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii


Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Hizi dini zilekebishwe ziendane na mazingira ya sasa na mahitaji ya wakati huu kulingana najamii husika.

Kingine ukristo ni dini ya upendo na amani..kila mtu amepewa free will mana tumepewa nja mbili ya uzima na upotevuni..kila kitu kimewekwa wazi ni uchaguzi huru.

Tofauti na dini nyingine zimejaa chuki..fitina mauaji..utengano husuda kwa waumini wake wanaofunguka akili ili kutoka vifungoni..kwa kutishiwa uhai na kutengwa na watu wao..kulazimisha wengine wajiunge dini yao wakikataa ni kuuwawa..absurd.

Mungu ubariki ukristo..dunia ni sehemu salama sana chini ya ukristo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Rahisi kutapeliwa ni wanawake na graduates
Desperate individuals ndio wanaotapeliwa sana..sidhani kama wanapenda bali ni matatizo ya kimaisha kama uchumi..magonjwa..kazi..ndoa..na mengineyo mengi..kama haya yasingekuwepo katika jamii sidhani kama watu wangekuwa wanahangaika hivi..

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukiona hivyo jua unabii unatimia
Screenshot_20220305-075827_1.jpg

 
Aise Buji Buji ahsante sana kwa kuleta mada hii.Ninachowashangaa wakristo pengine tunaweza kusema ndio waliosoma elimu dunia kuliko waislam lakini mkristo kumuingiza mkenge ni rahisi sana kuliko muislam.

Waislam si wongo sio watu wa kuwaingiza mkenge pamoja na kwamba tunadai hawana elimu dunia kubwa kwa wingi.

Je ulishasikia muislam anajiita nabii? au mtume nadhani akitokea kichwa na shingo yake itagombewa kama mpira wa kona.Uislam nimegundua sio dini ya kinafiki .Ona babu wa Loliondo marehemu RIP alivopagawisha watu.

Buji Buji wanawake ndio wahanga wa hili tatizo imefikia mahali nina mpango wa kumpa talaka mke wangu nikimpa matumizi pesa zote anapeleka huko.Nyumba yangu imegeuzwa kanisa na makelele.

Nilimpa uhuru wa kuabudu lakini unanitokea puani.
Kukiona hivyo hawana uhuru wa kuchagua..wamefungwa kwenye vitisho vya kifo na kutengwa..ni dini iliyotengeneza mazezeta na mazuzu zaidi..kiufupi ni wafungwa wa kiakili wasio jitambua na vikwazo vingi..wengi wanatamani kutoka ili vitisho vimewapoteza wengi ndio mana wanaishi kinafiki sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huku hakuna kutishana bali tunaelezana ukwei.

Kutokuelezana ukweli katika Ukristo ndiyo maana mmebaki kuwa wajinga na kuwaogopa viongozi kama miungu wenu. Hili litawagharimu sana, leo katika Ukristo kila mtu anafanya analo taka na mmekaa kimya. Shida ni kuwa Ukristo hakuuacha Yesu hii dini imezushwa ndiyo maana hata Injili zote zimeandikwa si kutokana na kile kilicho nukuliwa moja kwa moja toka kwa Yesu.

Yaani msijilinganishe na sisi kabisa.
Kumbe unabudu ili kujilinganisha na dini flani..absurd.

#MaendeleoHayanaChama
 
Una hoja kuhusu watu kujiita manabii, tokea awali, mtu hata akijiita nabii ni yeye na Mungu wake, muda hufika na kama ni unabii wa uongo basi hupotea. Uislam ni dini ya kujichukulia hatua mkononi, mtu akisema Mohammad hakuwa mtume au vipi, badala ya kumwacha huyo Mohammad ajidhihirishe huko aliko, utaona watu wanachinjwa, wanapigwa etc. Katika ukristu ni Mungu anawapigania watu ila katika Uislam ni watu wanampigania Mungu.
Zaidi kwa akili yako unaamini Mungu anaweza kuandaa pepo ambapo mtu anapewa wanawake bikra 72 na mito ya pombe ?? Huyu Mungu itakuwa amefungua danguro.
Ukifanya tathmini ya haki kabisa utagundua Uislam si zaidi ya tamaduni za kiarabu, zilizojengwa katika chuki ya dini nyingine na wivu wa kimapenzi.
Sio wivu wa kimapenzi bali ni tamaa ya ngono ya waanzilishi wake.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndiyomaana nikakujibu hivyo sababu ulijitetea kuwa maisha ya huko peponi ni tofauti ndipo nikakukatalia kwa huo ushahidi wa madhara ya pombe

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Uislamu ni kopy ya uyahudi na ukristo..iliyochakachuliwa na wajanja kwa maslahi yao..ndio mana falsafa yake imejaa mawazo ya binadamu zaidi wala haijajengwe kwenye misingi ya kimungu...ndiomana waumini wake wanampambania mungu badala ya mungu kujipambania mwenyewe...kwasababu haijatoka kwa Mungu imetoka kwenye mawazo potofu ya wana damu.

#MaendeleoHayanaChama
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Wanatapelika kiurahisi kama Wana #CHADEMA
 
Desperate individuals ndio wanaotapeliwa sana..sidhani kama wanapenda bali ni matatizo ya kimaisha kama uchumi..magonjwa..kazi..ndoa..na mengineyo mengi..kama haya yasingekuwepo katika jamii sidhani kama watu wangekuwa wanahangaika hivi..

#MaendeleoHayanaChama
Kweli hata walimu nao pia kesi zimekuwa nyingi za kutapeliwq
 
Wakristo tumepungukiwa maarifa...Biblia inasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"..hatutaki kutafuta kweli kwa kusoma maandiko,tumekuwa Ni watu wa kufuata wanachosema manabii bila ya kuhoji,tumejawa tamaa ya miujiza na utajiri wa dunia hii,tumesahau neno linatuambia tuwekeze mbinguni ambapo nondo wa kutu havitaharibu hazina yetu... Anyway Mungu ampe kila mkristo ufahamu na macho ya rohoni apate kuona.
 
Uislamu ni kopy ya uyahudi na ukristo..iliyochakachuliwa na wajanja kwa maslahi yao..ndio mana falsafa yake imejaa mawazo ya binadamu zaidi wala haijajengwe kwenye misingi ya kimungu...ndiomana waumini wake wanampambania mungu badala ya mungu kujipambania mwenyewe...kwasababu haijatoka kwa Mungu imetoka kwenye mawazo potofu ya wana damu.

#MaendeleoHayanaChama
Naelewa sana tena Muddy alipachikwa hapo na RC kama Mtume wa mungu kwa masilahi yao binafsi.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Wakristo tumepungukiwa maarifa...Biblia inasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"..hatutaki kutafuta kweli kwa kusoma maandiko,tumekuwa Ni watu wa kufuata wanachosema manabii bila ya kuhoji,tumejawa tamaa ya miujiza na utajiri wa dunia hii,tumesahau neno linatuambia tuwekeze mbinguni ambapo nondo wa kutu havitaharibu hazina yetu... Anyway Mungu ampe kila mkristo ufahamu na macho ya rohoni apate kuona.
Sio kwamba hawana maarifa..ni majaribu na changamoto za kidunia..kuna wakati unakosa pakushika..kuna wakati unakosa hata uamini lipi..shukuru wewe hujapatwa na matatizo makubwa..kuna watu wanateseka sana kujikwamua katika shida na majaribu mbalimbali..ndio mana wanahangaika huku na kule kupata masaada..popote pale msaada utakapo patikana.

Ndio mana wengi huwa wamezunguka makanisa na sehemu nyingi..na wataendelea kufanya hivyo mpaka watakapo pata masaada wa matatizo yao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom